"aaashiiii mhhh tamuuu aahhh nimejua kwanini unao wengii kumbe tamuuu uwiii aaaaashhh jamaa mhhh"
alikatika Dokta huku anasikilizia utamu wakati mimi niko katika usingizi mzito.
Alijisevia Dokta huku akilalama kwa miguno mizuri.
"oohooo jaman amka basi unipe mapigo yako jaman uwiii aaah hapo nakojoaa jaman mwenzio mamaweeeeeeh taaaamuuuuuu iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii aaaaahhhh"
Alivunja dafu la hatari hadi akakosa nguvu za kuamka, alinilalia na kujisahau hadi usingizi ukampitia.
:::::::::::..::::::
Nilipatwa na fahamu baadae na kuzinduka ila niliona mwili wangu mzito na nimechoka sana.Nilipo fungua macho nilimwona yule Dokta amenilalia, tena mashine yangu ikiwa bado ndani ya naniliu yake.
Sikuwa na nguvu za kumwamsha nilimwacha kwanza.Ila baada ya muda alishtuka na kukurupuka, akasimama pembeni nakuanza kuniangalia kwa aibu ila sikumwonyesha kama nimechukizwa nae
kwa kile kitendo.
Alivyoona nipo kimya alinisogelea na kupiga magoti.
"Naomba unisamehe ni shetani tu amenipitia nikaingiwa na tamaa za ngono ila nisamehe,naomba usinishtaki nitafukuzwa kazi hata kufungwa pia tafadhali niambie chochote nitafanya ili unisitiri kwa hili"aliongea kwa huruma hadi nikajikuta natabasamu hali iliyomshangaza na kunikazia macho?.
"Usijali ila nikipona nataka turudie mechi siunajua sikuwa nafahamu ila utamu wako umenifikia hadi huko nilipo kuwepo"nilimjbu huku natabasamu hadi nae alitabasamu na kuja kunikisi mdomoni,
aliniaga na kuondoka.
::::::::::::::::::::::::::::::::::::
"Jamani mi mbona nasikia kichefuchefu mwenzenu sijielewi hata kidogo,maana sijaona siku zangu nina wasiwasi"
"hehehehe halow kimenuka hicho we nenda kapime kijacho, kama kinakuja tuambie kabisa tuandae nepi dada heheee nicheke miee"
Walipokuwa wanaongea hivyo mara ghafla mwenzao mwingine nae akaanza kutapika.
"khee we vipi nawe au ndo mkumbo mmoja nawee tukuandalie pampas"
"Jamani we Careen na Isabela mna mimba wote wawili au vipi siwaelewi"
"We kumanyoko fanya yako niwe na mimba nisiwe nayo haikuhusu, kwani we ndo uliyenipa ovyoo"Careen alimjibu mpangaji mwenzake ovyo maana alishajihisi kuwa ana mimba na alibakiza kwenda hospitali tu kuthibitisha.
Upande mwingine Isabela nae alihisi pia ana mimba nae akapanga kwenda kupima apate ukweli.
:::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
"Waaooohg baby umeamka my love"
"Yah ninashukuru niko vizuri Mungu amenusuru maisha yangu ila samahani sana kwa kukuharibia gari lako"
"Kuhusu gari usihofu ina bima mbona na tayari nimeongea na watu wa bima wiki hii napata mpya?"
"Ohoo kama inabima hapo afadhali maana nilikuwa nawaza sana"
"Wala usihofu baby"
"Sawa my"
Tulipiga story na secretary ila kuna muda nilimwona akiniangalia kwa wasiwasi akionyesha kuwa kuna jambo anataka kuniambia ila anashindwa aanzie wapi, nilipogundua hilo sikumkawiza nikamuuliza?.
"Mbona kama una wasiwasi mpenzi na kama kuna kitu unataka kuniambia ila unaogopa vile"
"Kweli Hb kuna jambo linaniumiza sana kichwa hata sielewi nianzie wapi ila usijali tuombe upone ila niahidi utaniowa kweli"
aliponiuliza nilikosa jibu nikabaki namshangaa ana maana gani kuniuliza hvyo?.
"Mbona upo kimya? mpenzi"aliniuliza baada kuona nipo kimya?.
"Yah nitakuowa mpenzi nakupenda sana"nilimjibu.
"Sawa nitafurahi kama ni kweli ili tulee kiumbe chetu"
"Kiumbe gani baby"nilimuuliza.
"Hb nina ujauzito na muhusika ni wewe"
"Whaaaaaaaat"
"Tafadhali usikatae hii mimba ni yako Hb"
"Mh! subiri nipone tutayapanga vizuri"
"Sawa ila kama hutaki niambie nijue bado mapema"
"Hapana we usijali nakupenda niamini"
"Sawa asante mpenzi wangu"
Tulipiga story mwisho akaniaga kuwa anarudi nyumbani.Nilikaa nakuanza kuwaza itakuwaje kuhusu mimba na sijapanga kulea kwa wakati huu ila nikapotezea na kujisemea litakalo kuwa na liwe bhana sina jinsi,nikageukia upande wa pili na kulala.
::::::::::::::::::::::::::::
"Mama dada analia chumbani tumbo linamuuma"
"Mwambie anywe dawa ziko kabatini"
"Anatapika mama twende ukamwone"
Huyu alikuwa mdogo wake na Maryana akimpa taharifa mama yake kwamba Maryana anaumwa na anatapika.
"Mwanangu una tatizo gani tena jamani"
"Mama tumbo linauma sana nipeleke hospitali mamangu"
"Mh! mwanangu unanipa wasi wasi ila twende tu"
::::::::::::::::::::::::::::
Baada ya kupimwa baadhi ya magonjwa ndipo dokta alipotoa ushauri wa kumpima mimba?
"Tumempima binti yako vipimo vyote hana ugonjwa wowote ila tulichokigundua ni kwamba binti yako ana ujauzito"
"Mama weeeeee Maryana una mimbaaaah jamani weee mtoto mbona umenitia aibu,nasema twende nyumbani na utakoma kwa babako kwanza ni nani aliyekupa hiyo mimba sema upesi"aliuliza mamake kwa sauti ya ukali.Kutokana na woga aliokuwa nao akaamua kutaja.
"Anaitwa HB mama naomba unisamehe"
"HB huyu anaeumwa"Dokta akadakia.
"Ndio dokta"
"Mh! au mwingine"
"Hapana Dokta ndio h..."
"Mama weeeeee Maryna una mimbaaaah jaman weee mtoto mbona umenitia aibu nasema twende nyumbani na utakoma kwa babako kwanza ni nani aliyekupa hiyo mimba sema upesi"
kwa kutetemeka akaropoka
"Anaitwa Hb mama naomba unisamehe"
"Hb huyu anaeumwa"Dokta akadakia.
"Ndioo Dokta kwani anaumwa na amelazwa hapa"Maryna alijibu nakuuliza maana ye peke yake ndo alikuwa hana habari kuhusu ajali yangu?.
"Ndio amelazwa hapa alipata ajali ya gari"aliongea Docta pasipo kujua kuwa anazidi kuniweka pabaya mwana wa watu.
"Amelazwa chumba gani huyo mnayemuita Hb"aliuliza mama yake na Maryna.
"Yupo chumba cha uangalizi maalamu ila kwa sasa haruhusiwi kuonana na mtu yeyote maana bado yuko katika hali isiyoridhisha"
aliambiwa mamake Maryna na Dokta.
"Sawa Dokta,Maryna nenda kwenye gari kanisubri nataka niongee na Dokta tujue tunafanyaje"Mama Maryana alimtoa mwanae ili apate njia ya kunijua vizuri kupitia Dokta.
Baada ya Maryna kutoka mama yake akaanza kuongea na Dokta kwa hali ya upole na utulivu.
"Dokta naomba unionyeshe huyo mtu nitakupa pesa uitakayo amenipa aibu nisiyoitarajia tafadhali nionyeshe huenda nikaacha amuoe mwanangu"
"Kiukweli sitoweza maana chumba alichopelekwa kwa sasa ni chumba ambacho haruhusiwi mtu kuingia, we nenda njo kesho nadhani nitakusaidia ila si kwa leo"
"Sawa nitakuja hiyo kesho"
"Sawa safari njema"
Baada ya mama Maryana kuondoka Dokta aliwaza sana na kujilaumu.
[hivi kwanini nimeropoka kuwa Hb yuko hapa wakati nami nampenda, jeh akikubali kumuoa huyu binti mi sinitamkosa khaa! haiwezekani wakija nitawadanganya kuwa amehamshwa.Ila Hb wangu siwaonyeshi ng'o nampenda jomoni ana joto tamu mashine yake ilivyonikuna nilipata raha ya hatari wacha waende zao bhana eboh]
.............................,............
:::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
"We nimekwambia nataka mzigo wangu vinginevyo nitakuharibu,mi sio wa kunichezea hivyo wewe"
"Boss nipe muda nina imani mzigo wako upo na utapatikana nivumilie nijue nafanyaje ukinifokea unanipa msongo wa mawazo na kushindwa kuifanya kazi kwa ufanisi,niamini boss wangu sijawai kukuangusha hata siku moja na usitegemee hivyo haitatokea"
"Acha kupayuka.Wewe mwehu nini hivi unazani ule mzigo ni wakitoto?
Una thamani kuliko maisha yako sasa nakupa siku mbili tu mzigo uje vinginevyo utarudi mavumbini kenge wewe"Boss alikuwa mkali kuliko kawaida yake ila hakujua kuwa mtu mwenye mzigo wake ni mfanyakazi wake mpya ambaye ni mimi? aliondoka kwa hasira na kumwacha yule dada akifikiria njia za kupata mzigo wa boss wake.
:::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
"Jamani mi naomba mnipe zamu kama ya jana naitaji kumwangalia Hb vizuri hali yake.Napenda sana kumsaidia apone"
"Hapana Dokta Happy we leo si upo off hadi kesho mchana atakaa Evelyn we kapumzike"
"Hapana sitaki off leo anaetaka achukue mi nitachukua siku nyingine"
"Ya leo kali yani unakataa off sio bure hapa mh!"
"Jamani si nimekataa mimi kinachowachoma nini nendeni kwenye majukumu yenu,msinitibue sasa hivi"
Kwa kuwa Dokta Happy alikuwa na cheo pale hosptali ilibid watii amri na kuondoka.Walivyoondoka Dokta Happy akaanza kuja wodini kwangu.
"Mambo mgonjwa mtamu"
"Haha acha matani bhana"
"Kweli na nimelilia zamu ya huku hadi nimepewa"
"Ooh! karibu"Dokta Happy
alifunga mlango kisha akaja hadi nilipo na kufunua shuka akaivua bukta nakuitoa dudu yangu kisha akaibugia mdomoni kama pipi. Utamu nilioupata ulinifanya mpaka nisahau kama naumwa.
"Mmhh! mh! aaaah uwiii"niliguna huku nameza mate.
"Panda geukia chini ukilamba na mimi nilambe kwa nyuma"nilimwambia akacheka kisha akatii.
"Aaash! aaaa! mhh! hapoo uwii! mhh!"
nilinyonya ikulu yake huku ye akilamba hadi nikaingiza kidole cha kati na kukichezesha nje ndani"
"Ooh! baby aaah! mh aaaaa mamaaaa! weh! mhh aaaaaaash"punde akakojoa cha kwanza.Akasogea chini na kuishika miguu yangu kisha akajichomeka mtambo mwenyewe kisimani kwake,kiukweli kitu kilityt na kinamnato wa hatari.
"Ash! yes yes aaaah mhh aaaaahshi aaaah aaaaa"
alitoa miguno ya utamu huku akizidisha spidi,nami nikawa nayapiga piga makalio yake huku nayaminyaminya.
"Aiiyaaa aaaaa fuck me baby uuuuyeeh aaaaa hapo baby tamu hiyo aaaaaash"alijichomoa na kugeukia juu na kunipa romance huku akijiweka sawa dudu izame tena.
"Una utamu mtamu staki tuachane Hb jamani mhh! aaaaaaah oohshii mhhh na.. Ukipona...aaaash uni..oe... Nupate raha zaidi.. Uiii"aliongeza spidi hadi nikaanza kupata maumivu?.
"Kojoaa mpenzi tufike wote hizooo baby hiyooo uwiiiii mamaaaa tamuuuuu iiiiiiiiiii aaaaaash aaaaah"
alinilalia huku mashine iko ndani ikitema sumu yenye viini lishe.
"Wee umemwagia ndani ukinipa mimba"aliniuliza huku akigugumia maana nae alikuwa anawashusha waarabu.
"Nitakuoa Dokta wangu"
"Mh! kweli"
"Kabisa yani maana unanipa huduma hadi za dharula"
"Hahahaha"tulicheka wote kisha akaanza kunihudumia,alipomaliza akaniaga na kutoka.
Baada ya muda umeme ukakatika ila nikahisi hali flani isiyo shwari
"PAA! PAAA!"
"PAAA!"ilianza kusikika milio ya risasi hali iliyonipa wasiwasi kuwa hapa nimefwata na wale wenye madini yao.
Nilijitaidi kutaka kuamka ila nilishindwa maana miguu nayo haikuwa na nguvu hata kidogo.Nilifunua pazia la dirisha na kuchungulia nje.Sikuamini macho yangu nilimwona yule dada mwenye madini akiwa anakuja ndani akiwa na watu zaidi ya sita wakiwa wamevaa maski nyeusi,niliogopa sana."Leo nimepatikana Hb"nilizungumza nikirudishia lile pazia.
Nikajitahidi kushusha miguu mpaka chini,ili nifichame uvunguni.Bahati nzuri nikafanikiwa ile nataka nisimame
looh! nikaanguka chini puu!.Ile najizoa zoa pale chini mlango ulifunguliwa kwa nguvu nikabaki nimedu.
Bahati nzuri nikafanikiwa kushuka.Ile nataka nisimame looh! Nikaanguka chini puu!.Ile najizoa zoa pale chini,mlango ulifunguliwa kwa nguvu.Nikabaki nimekodoa macho kuangalia nani ataingia huku moyoni namuomba Mungu aniokoe.
"Puu! tiiii!"Kilisikika kishindo cha mtu kuanguka pale mlangoni.
Mapigo yangu ya moyo yakaongezeka kudunda.Baada ya sekunde saba akaingia Dokta Happy mkononi ameshika mtungi wa kuzimia moto(Fire Extinguisher)nikajua tu ndio alompiga mtu mlangoni.
"Amka tuondoke hapa hapafai kuna hatari"Aliniambia akinisogelea.
"Lakini siwezi kutembea na nguvu sina"Nilimwambia.
"Acha kudeka wewe kuna hatari"
alininyanyua na kuanza kunikokota kutoka nje.
Mlangoni nilimwona mtu aliyelala chini akiwa anavuja damu kichwani.Dokta Happy aliniachia akaanza kumsearch,akamkuta na bastola ndogo iliyofungwa kiwambo akaichukua nakuikagua.Akakuta ina risasi za kutosha.
"Tukimbie humu ndani hapafai leo na wapo wengi,sasa jikaze kiume usilete ubwege wako hapa.Mawazo ya kuwa ulikuwa nami kitandani yatoe sawa?"
Niliitikia kwa kutingisha kichwa maana nilishachoka na maumivu yalizidi kila dakika
iliyokuwa inakatika.
Kwa kuwa Dokta alikuwa mzoefu hapa hospital hivyo alijua njia zote za dharula ambazo zilituongoza hadi nje ya hospital kwa upande wa nyuma. Tukaanza kujikokota taratibu huku nikilia.
"Sasa tunaenda wapi Dokta nimechoka mno"Nilimuuliza baada ya kuona tunakokotana tu tunakoenda hatufiki na maumivu yanazidi kuongezeka.
"Mwanaume wewe acha ujinga hujui wewe ndio unaesakwa mi nimekusaidia tu ili usipatwe na majanga makubwa. Au unataka mtoto wako aje kuishi maisha magumu"
"Mtoto gani"
"Maryna unamfahamu?"
Nilibaki kimya nikimtazama bila kumjibu chochote,
Dokta aliniangalia kisha akatabasamu na kuniambia tena.
ITAENDELEA
0 Comments