Ticker

6/recent/ticker-posts

Ad Code

Responsive Advertisement

PENZI LA MCHORA TATTOO-8



LATIFA NTANGA
0719618409
"Mh mtoto unahatari wewe!" Alisema Romeo na kuanza kukibinya kiuno cha Nicole, huku akimlamba shingo yake kwa nyuma. Nicole akaanza kulalamika kimahaba na kuzidi kumpandisha mizuka Romeo, ambaye hapo hapo akambinua vizuri na kuingiza mashine yake kwa staili hiyo waliyolala.
"Asssssss..baby!" Nicole alichombeza baada ya mchi wa Romeo kuzama wote kwenye kinu. Na alikuwa amejaaliwa mtwangio wa maana ukiingia lazima mwanamke ausikie haswa! Hapo hapo Romeo akaanza kazi yake ya kutwanga taratibu bila papara. Nicole alikuwa akijimaliza na maneno mengi yalimtoka mdomoni, Romeo aliendelea zaidi ya lisaa akimbadirisha kila staili hadi alipofika mwisho Nicole alikuwa hoi hajiwezi.
"Mh wewe mwanaume hatari sana"
"Hahaha kwanini mama?"
"Hufai unasugua sana yani sina hamu"
"Lakini umeinjoi au nimekubaka jamani?"
"Mh nimeridhika sana umejua kunipatia"
"Ha-haaa basi usilalamike sasa"
"Nakupa sifa zako bwana, wewe kiboko"
"Ha-haaa na kiboko nae atakuwa nani?"
"Aah huyo atakuwa kiboko kiboko"
"Hahahahaaaaa unavituko wewe mwanamke sana' Baada ya hapo wakaingia bafuni kuoga na kurudi kitandani kupumzika kidogo ikiwa ni saa kumi na moja kasoro. Usingizi mzito uliwapitia, walikuja kushtuka saa tatu asubuhi. Waliamka na kujimwagia maji bahati nzuri hiyo Lodge ipo na baa pembeni wakatoka na kuingia hapo wakapata supu ya nguvu na kushiba.
"Sasa baby"
"Nambie"
"Romeo naomba unipende please sikufichi ninae boyfriend ila hajawahi kunikuna kama wewe jamani"
"Pole mamii jamani"
"Asante Romeo naomba niwe wako"
"Ila nina mke ujue"
"Jamani unanidanganya mke umeoa lini?"
"True sina mke sijaoa ila nina girlfriend wangu ambaye ni kama mke naanzaje kukupenda na wewe wakati nina moyo mmoja"
"Romeo nakuomba nipo tayari kununua mapenzi kwako, hata usiponipenda sawa baki na mkeo naomba nikikuhitaji tuwe pamoja"
"Ok hamna noma"
"Asante nimefurahi kusikia hivyo" waliongea na kukubaliana baada ya hapo wakaagana Nicole akafungua mkoba wake na kutoa laki tatu akampa Romeo.
"Nakupenda sana" Nicole alimbusu Romeo wakaagana na kila mmoja akaondoka kwake Romeo aligoma kupelekwa kwake na Nicole kwa sababu hakutaka tena kupeleka mwanamke nyumbani kwake kuogopa kufumaniwa na Lisa.
**
"Oya jamaa niaje"
"Fresh mwamba nambie"
"Daaah jana ilikuaje mkali wangu naona kimya kimya ukasepa na yule demu bila kuaga jamani?"
"Hahahahaaaaa jamaa acha tu demu alikolea kichizi mwenyewe akataka mechi si unajua sirembi nikaenda kumpa kitu roho inapenda kapagawa hatari"
"Hahha daaah jamaa hufai wewe nuksi kimona, ila yule demu nae jana nilienda kumkaza ujue alitokea kunikubali kichizi"
"Aaah usinambie bwana"
"Ndio hivyo yani hapa nimeachana nae ndio narudi home"
"Poa wangu mwenyewe leo natulia gheto kwanza nipumzike maana shoo nilizopiga ni hatari"
"Nakukubali mwanaume wa mkoani"
"Sana mimi sio mwanaume wa Kinondoni"
"Sawa mwamba badae basi"
"Poa mzee"
Cruz alimpigia simu Romeo wakaongea na mwisho wakaagana.
Romeo akiwa anakatiza mitaa ya kwao kuna mdada alikuwa amebeba beseni anauza mihogo mibichi basi akamsimamisha akanunua mihogo mibichi, pamoja na nazi akamlipa pesa na kwenda dukani hapo akanunua karanga kilo tano. Kwa sababu ndani kwake kulikuwa hakukosi karanga mbichi alikuwa ananua nyingi na kuziweka ndani. Basi akaongoza hadi nyumbani kwake akafungua mlango na kuingia ndani. Alikuwa mchovu sana akajilaza kwenye kochi na kuanza kutafuna mihogo mbichi alikula wote akaingia kwenye nazi nazo akazimaliza huku akitizama movie ya mapenzi alikuwa mpenzi mkubwa sana wa kuangalia movie za mapenzi kuliko hata za mapigano.
"Baby I miss you" Romeo alimtumia meseji Lisa ambaye alikuwa yupo kwenye kipindi chuo hivyo hakuweza kujibiwa. Aliendelea kula karanga zake mwisho akaingiwa na uchovu akaamua alale hapo hapo kwenye kochi.
Alikuja kushtuka tayari muda umeenda ni mchana akaamka na kutoa matunda mengi kwenye friji akaanza kula na kushushia maji mengi ya uvugu-vugu hayakuwa baridi sana. Akainuka na kwenda bafuni kujimwagia maji baada ya hapo akarudi chumbani kwake akijisikia mwepesi sana. Romeo alijali sana afya yake kwanza alikula vitu vyenye kumpa nguvu sio chips yai. Hakuwa akila vyakula laini alipendelea sana matunda na mboga za majani zaidi alipenda sana kutafuna karanga. Asubuhi alikuwa anafanya mazoezi sana na hiyo ilipelekea awe na pumzi sana hata akiwa na mwanamke hachoki haraka akiamua masaa mawili yupo kifuani bila kupumzika.
Baada yakuona muda umeenda sana na hajui kitu chakula aliamua kutoka zake na kwenda hadi barabarani akatafute chakula. Alienda hadi kwenye pub moja ipo maeneo ya barabarani kabisa walikuwa wanauza supu na mchemsho mzuri sana. Akaamua aagize mchemsho wa kuku na ndizi, alikaa hapo hapo na kusubiri aletewe ghafla kuna mwanamke mmoja mtu mzima akasogea kwenye meza aliyokuwepo Romeo.
"Samahani naomba nikae hapa" alisema huyo mwanamke.
"Hakuna shida karibu" alijibu Romeo na kuanza kumuangalia huyo mwanamke ambaye alivaa sketi fupi alipokaa mapaja yake makubwa meusi yakaonekana wazi na ugonjwa mkubwa wa Romeo ni mwanamke mweusi! Nyoka wake akaanza kutingishika kwenye suruali.
"Aaah tulia bwana" alisema Romeo huku akijishika sehemu yake ya mbele.
"Vipi unaongea na mimi?" Aliuliza huyo mwanamke.
Itaendelea.
Kipande kimoja 250, buku vipande vitano.
0719618409 lisa ntanga.

Post a Comment

0 Comments