Ticker

6/recent/ticker-posts

Ad Code

Responsive Advertisement

Chombezo: Sharabalo wa tandale sehemu ya tano (05)



 “Jamaaa yangu kwa sasa hayupo nchini kaenda kusoma Marekani, sina mtu ndiyo maana nakuomba kama hutajali uchukue nafasi yake,” Atu alimwambia Dullah .


Dullah alifurahi sana kupata habari hiyo njema alimkubalia Atu na kumwambia aonde shaka watakuwa pamoja lakini moyoni alijiuliza itakuwaje dada huyo aliyeelewa Dullah alikuwa mambo safi atakapobaini kumbe alikuwa kibarua aliyekuwa akimsaidia fundi ujenzi kubeba zege.

“Hili si litakuwa soo hili?” Dullah alijisemea moyoni.

Hata hivyo, alipanga kutumia ujanja wa hali ya juu ili Atu asigundue kama hakuwa na kazi na baada ya maongezi ya kusifiana walivyopeana raha yalipoisha walikwernda kuoga.

Baada ya kumalizika kwa zoezi hilo, walitoka mle gesti wakiwa wepesi ambapo Atu alitangulia nje na kumuacha Dullah akimalizana na mhudumu wa ile gesti.

Wawili hao waliondoka pale gesti kila mmoja akiwa amefurahia walichokuwa wamekifanya bila kujali kama walikuwa na maradhi kwa sababu hawakutumia kinga jambo ambalo lilikuwa hatari.

Kwa kuwa Dullah alikuwa akielekea Tandale, walipofika kituo cha daladala, kijana huyo kabla ya kuagana na Atu aliyekuwa akielekea karibu alitaka kumpatia shilingi elfu tano lakini msichana huyo alikataa.

Hata hivyo, kabla ya Dullah kupanda gari walipanga kukutana tena siku ya Ijumaa jioni kisha kijana huyo alipanda kwenye daladala la Tandale akiwa mwenye furaha kufuatia kujiburudisha na Atu baada ya kumkosakosa Doreen.

Alipofika Tandale breki ya kwanza ilikuwa nyumbani kwa fundi Yassin kwa nia ya kumpa mchapo wa kilichojiri akiwa na Atu na kumshukuru kwa sapoti ya hela alizomtumia.

Bahati nzuri alipofika kwa fundi huyo alimkuta akiwa amesimama kibarazani, Dullah aliyekuwa na furaha alimshukuru fundi wake kwa kampani nzuri aliyompa na kumweleza kila kitu kilichojiri na Atu.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Mi nilijua tu yule mtoto asingechomoa maana wewe ni mtaalam wa vimwana wakali,” fundi Yassin alimwambia Dullah wakaishia kucheka.

“Kaka siyo siri, mtoto nimemkubali na yeye kanikubali vilevile yaani kanifagilia kinona kwamba hakuwahi kukutana na mtu kama mimi, hata hivyo kwa mambo niliyomfanyia ana haki ya kutoa ufagio,” Dullah alimwambia fundi Yassin, wakacheka.

Fundi Yassin alipogundua mkewe angesikia maongezi yao ya kipuuzi alimwambia Dullah kwamba siku iliyofuata wataongea kwa kirefu ili ampe mchapo wote ndipo kijana huyo ambaye alikuwa kalewa kwa mbali alimuaga lakini akakumbuka harufu ya pombe ingemuumbua kwa wazazi wake.

Baada ya kubaini hivyo, alikwenda kwenye genge la kijana mmoja wa Kimakonde aliyezoeleka kuitwa Chinga aliyekuwa akichelewa kufunga biashara yake akamwambia ammenyee tango.

Kwa kuwa Chinga huyo alikuwa akifahamu kwamba tango linakata kilevi pamoja na harufu akamtania kwamba alikuwa akiogopa so kwa washua wake nini, Dullah akacheka na kumwuliza alijuaje!

“Jamani niuze matango nisijue pia kama yanakata kilevi?” Chinga alimwambia Dullah , wakacheka.

“Tena kula na ndizi hii mbivu hakuna atakayekushtukia kabisa,” Chinga alimwambia Dullah na kumpa ofa ya ndizi moja mbivu.

“Na ndizi zinakata kilevi?” Dullah alimwuliza.

“Tena fasta,” Chinga alijibu kisha kumkabidhi Dullah tango alilokuwa amelimenya na kumwambia akipenda anaweza kula huku akitoweza kwenye chumvi.

Wawili hao waliendelea kupiga stori za hapa na pale na Dullah alipomaliza kula tango alimlipa Chinga shilingi mia mbili kisha akamuaga na kwenda kwao, ambapo aliwakuta wazazi wake wakiangalia runinga.

Baada ya salamu, baba yake alimuuliza habari za kazi aliyokwenda kuifanya akawaambia ilikuwa nzuri na kuwaelezea jinsi watu walivyokuwa wakijenga majumba ya kifahari pande za Madale.

“Kwa hiyo mwanangu na wewe leo umefanya kazi anazofanya baba Hadija?” mama yake Dullah alimwuliza kijana wake.

“Tena hapa nilipo hadi mgongo unaniuma kwa ajili ya kuchota mchanga, yaani tulipofika walinipangia kazi ya kuhamisha mchanga kwa kuuzoa na chepe,” Dullah aliwaambia wazazi wake ambao walicheka kwani hawakutegemea kama kijana wao sharobaro angeweza kufanya kazi hiyo.

“Lakini umeifurahia hiyo kazi?” baba yake Dullah mzee Reli ya Uhuru alimwuliza kijana wake.

“Sana tu, kwani nimeweza kufika eneo ambalo sikuwahi kufika, nimefahamina na vijana wawili mmoja anaitwa Zakayo na mwenzake anaitwa Haruni wanaomsaidia baba Hadija kazi, hata kesho nitaenda,” Dullah aliwaambia wazazi wake.

Baada ya kuzungumza na wazazi wake ambao hawakugundua kama kijana wao alikuwa ametoka kufanya mambo yasiyofaa na Atu na alikuwa amekunywa pombe, Dullah alikwenda chumbani kwake.

“Mama Dullah umemsikia mwanao mpenda usmati alivyosema kafanya kazi ya kuhamisha mchanga kwa chepe, kweli hiyo ni habari njema na huko ndiko kujifunza maisha,” baba Dullah alimwambia mkewe.

“Nami kaniacha hoi, nahisi leo alipewa kazi nyepesi, tusubiri siku atakayotuambia kabeba zege akituambia ataendelea hapo nitaamini kweli kaamua kujishughulisha,” mama Dullah alimwambia mumewe.



Kule chumbani Dullah aliendelea kumuwaza Atu hasa alivyokuwa akiyazungusha macho yake mazuri na alivyokuwa akihema, akajikuta akisema peke yake kwamba watakapokutana Ijumaa waliyokubaliana atampa mambo matamu zaidi.

Hata hivyo, kutokana na ulevi aliokuwanao kichwani hakuchukua muda mrefu alipitiwa na usingizi hata mama yake alipokwenda kumuamsha ili akale hakumsikia.

“Baba Dullah , kweli mwanao leo kachoka, nimemwita mpaka nikapata wasiwasi, nilipoingia kumwangalia yaani kalala fofofo,” mama huyo alimwambia mumewe.

“Ndivyo inavyotokea kwa mtu ambaye hajazoea kufanya kazi ngumu, muache akiamka atakula,” mzee Reli ya Uhuru alimwambia mkewe bila kujua Dullah licha ya kuchoshwa na kazi lakini zaidi ni kwa vile alitoka kumdungua kiumbe na pombe aliyokunywa.

Mpaka wazazi wake wanakwenda kulala, Dullah hakuamka hadi kulipokucha akawa wa kwanza kuamka kujiandaa kwenda site na fundi Yassin, akiwa anaoga mama yake naye aliamka.

Alipomaliza kuoga na kutoka bafuni alimkuta mama yake akiwa anaweka mkaa jikoni kwa ajili ya kumwandalia chai baba yake, wakasalimiana ndipo mama mtu akamwuliza jana yake alikuwa kachoka sana?

“Yaani mama nilichoka sana, lakini ndiyo kazi na maisha hayana njia ya mkato,” Dullah alimwambia mama yake.

“Nilijua tu ulichoka maana nilikuandalia chakula nikaja kukuamsha lakini hukunisikia kabisa, vipi nikupashie moto utakula alfajiri kwa chai?”

Baada ya mama mtu kumwambia hivyo mwanaye, Dullah aliwambia asiwe na wasiwasi atakunywa site mama hakuwa na la zaidi akamwambia sawa ndipo kijana huyo akaingia chumbani kwake kujiandaa kisha amfuate fundi Yassin.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Baada ya kujiandaa wakati anataka kutoka alikutana na baba yake wakasalimiana kisha alimuaga ndipo mzazi wake akamtakia kazi njema, Dullah akatoka na kuelekea kwa fundi Yassin.

Alipofika alimkuta fundi huyo akimsubiri na baada ya salamu wakaondoka bila kuwa na mzigo wowote kuelekea kupanda daladala la Mwenge, kwa bahati walikuta ma DCM matatu yakiwa yanasubiri abiria, wakapanda na kukaa siti ya pamoja.

Gari lilipojaa wakaanza safari ndipo fundi Yassin aliyekuwa na shauku ya kujua kilichojiri kati ya Atu na Dullah akaomba ampe mchapo huo, Dullah akaanza kumsimulia kwa sauti ya chini ili abiria wengine wasisikie.

“Wewe dogo sikuwezi, unatisha kuliko hata moto wa gesi,” fundi Yassin alimwambia Dullah baada ya kijana huyo kumpa mchapo wote na wakati huo walikuwa wamefika Magomeni.

“Kiasi tu bro, unajua wakati mwingine tunajenga heshima tu kwani huwezi kumuona mtoto mzuri kama yule halafu umuache tu, hivi unajua unaweza kulaumiwa hata huko mbinguni?” Dullah alimwambia fundi Yassin, wakacheka.

Hata hivyo, Fundi Yassin alimwambia Dullah aache utani wa kuhusisha mambo maovu na mbinguni, Dullah akagundua kosa lake na kutengua kauli yake, ambapo fundi Yassin akasema hapo sawa kabisa.

Kwa kuwa wakati walipokuwa wakipeana michapo walikuwa bize na jambo hilo, Dullah akuwaona mabinti wawili wakali waliokuwa wamepandia Kigogo ambao walikosa siti hivyo kusimama pembeni yake.

Kufuatia kuwaona mademu hao, moyo ukapiga pa akambonyeza pajani fundi Yassin, fundi alipogeuka akamnong’oneza kama aliwaona watoto wale wakali.

“Wewe ndiyo unawaona muda huu, mbona wamepandia Sinza Vartican” fundi Yassin alimwambia Dullah .

“Sikuwaona mkuu, da watoto wakali sana hawa hasa huyu aliyevaa suruali ya jinzi, ana kifua kama ninavyovipenda,” Dullah alimwambia fundi Yassin kwa kumnong’oneza.

Wakati akifanya hivyo, yule dada mwenye suruali ya jinzi alimuona na kubaini Dullah alikuwa kadatishwa na uzuri wake kwa makusudi mazima akajigeuza ili kumuonesha Dullah kiwowowo chake tata.

Baada ya msichana huyo aliyesimama pembeni ya kiti cha Dullah kujigeuza, Dullah akajikuta damu zikimwenda mbio kwani kihisia alimvua viwalo dada huyo na kupata picha kama vile walikuwa chimbo, akapagawa kabisa.

Hata hivyo, Dullah alizidi kuumia kwani alishindwa hata kumsemesha mrembo huyo hadi walipoteremka kituoni, jambo lililomuweka Dullah katika wakati mgumu kwani alipanga kama wangefika mwisho wa safari pamoja lazima angeomba namba yake ya simu.

“Kaka leo imekula kwako, watoto wameshuka hata salamu hujawapa,” fundi Yassin alimtania Dullah .

“We acha tu mkubwa wangu, ila tungefika mwisho ungeona ambavyo ningepewa namba yake kirahisi si unanijua lakini mi mdogo wako?” Dullah alimwambia fundi Yassin wakacheka.

Wawili hao waliendelea na stori hadi walipofika Mwenge wakapanda gari la Tegeta, wakiwa kwenye gari hilo Dullah akiwa anamuwaza Doreen ghafla fundi Yassin akamkatisha kwa kumuuliza alijisikiaje kufanya kazi za kifundi.

“Bro bwana! Kazi ni kazi tu na mtoto wa kiume hapaswi kuchagua kazi!” Dullah alimjibu fundi Yassin.





“Kama ni hivyo, poa sana tena kadiri tutakavyokuwa pamoja nitakufundisha kazi kibao,” fundi Yassin alimwambia Dullah .

Kwa kuwa gari lilikuwa likienda kwa kasi, kufumba na kufumba walifika Tegeta ambapo walipanda basi la kuelekea Kisauke na hawakuchukua muda mrefu wakawasili site.

Kama kawaida, fundi alipofika getini alibonyeza kitufe cha kingele na baada ya dakika kama moja geti likafunguliwa, ingawa ilikuwa kawaida kufunguliwa na Anne siku hiyo likafunguliwa na Doreen.

Sharobaro Dullah na Doreen walipokutanisha macho kila mmoja akaachia tabasamu lakini fundi Yassin kwa umahiri mkubwa alijifanya anaangalia nyuma ili wasibaini kama aliona jinsi walivyotabasamu.

“Shikamoo fundi?” Doreen alimwamkia fundi Yassin.

“Maraba, hujambo Doreen?” fundi Yassin alimsalimia Doreen.

“Nzuri fundi!” Doreen aliitikia.

“Mambo yako?” Doreen alimsalimia Dullah na kuachia tabasamu pana lililoonwa na fundi Yassin lakini alijifanya hakuliona.

“Nzuri, za hapa?” Dullah alitikia salamu ya mtoto huyo wa kigogo.

“Poa!” Doreen aliitikia ndipo fundi Yassin akamwuliza kama akina Zakayo na Haruni walikwishafika.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Wamefika lakini siyo zamani sana wako kule ndani nahisi watakuwa wameanza kazi,” Doreen aliyekuwa kafurahi sana kumuona sharobaro Dullah aliwaambia.

Baada ya salamu msichana huyo ambaye mpaka muda huo alikuwa hajafunga geti alilifunga kasha akaanza kutembea kuelekea nyumba kubwa lakini kabla hajaingia aliangalia nyuma na kugongana macho nay a Dullah wote wakatabasamu.

“Yaani huyu kijana kanivutia sana nitafanya kila liwezekanalo lazima nifurahi naye tena leo sijui kama itapita na nilivyo na hamu we acha tu!” Doreen aliwaza akiwa amejibwaga sofani.

Wakati Doreen anawaza hivyo, kama vile waliaambiana na Dullah naye alikuwa amepanga kufanya ukomandoo wake kuhakikisha anamchinja mtoto huyo palepale kwake ili kujenga heshima.

“Kumuacha mtoto kama huyo aliyeonesha dalili zote na za kunikubali ni kosa kubwa kuliko hata walilofanya mafisadi waliokwepa kulipa kodi bandarini, huyu namhesabia kama siyo dakika saa lazima niwe nimempa mambo,” Dullah aliwaza.

Dullah aliyekuwa akiwaza mambo ya kuduu tu alishtuka baada ya kumsikia fundi Yassin akisalimiana na Haruni na Zakayo, kasha Zakayo ambaye alikuwa mkubwa kuliko akina Dullah alimsalimia Dullah kwa kusema;

“Vipi dogo za tangu jana?”

“Poa bro vipi hali yako?”

“Mi nipo fiti, nilidhani leo hautakuja kwa jinsi alivyochoka maana naona hizi kazi hujazizoea?” Zakayo alimtania Dullah .

Dullah alimwambia atazioea kadiri siku zinavyokwenda, kwa kuwa walikuwa bado hawajasalimiana na Haruni walipeana hi kasha fundi Yassin alimwambia Dullah akaendelee na kazi aliyokuwa akiifanya jana yake.

Dullah aliyefikiria siku hiyo angepangiwa kazi nyingine alipoiambiwa hivyo alifurahi sana kwani alijua ingekuwa rahisi kupiga stori na Doreen na hata kuingia ndani kwao.

Baada ya kupangiana majukumu, Dullah alibadili nguo na kwenda kuendelea na kazi huku fundi Yassin na akina Zakayo wakiendelea na kazi ya kuweka marumaru ndani.

Kwa kuwa akili yake ilikuwa kwa mtoto mkali Doreen, kabla hata ya kuanza kazi aligeuza shingo na kuangalia dirishani si akamuona Doreen akiwa anamtazama kwa jicho linalosema ‘jamani wewe kaka na uzuri wote huo unafanya kazi ya ujenzi!’

Kitendo cha wawili hao kutazamana, walitabasamu kwa pamoja ndipo Doreen alimuuliza Dullah kama alifungua kinywa, kwa kuwa hakunywa hata maji alimwambia bado.

Msichana huyo alipojibiwa hivyo alimwambia Dullah aingie ndani kwa kupitia mlango wa uani ili amwandalie chai, Dullah bila woga akafuata maelezo na kwenda moja kwa moja kukaa kwenye sebule ya kishua.

“Vipi Yule dada mwingine sujui Anne hayupo?” Dullah alimwuliza Doreen.

“Unajua Yule licha ya kwamba ni dada wa kazi baba anamsomesha chuo cha kompyuta kishaenda chuoni kwao mapema sana, hapa nimebaki peke yangu,” Doreen alimwambia Dullah .





“Da! Kumbe baba yako ana roho nzuri sana, anamsomesha hata hausigeli?” Dullah aliyekuwa kafurahi kusikia Anne hayupo alimwambia Doreen.

“Yeah! Hapendi akitoka hapa kwetu akaendelee kufanya kazi za ndani ndiyo maana kaamua kumsomesha,” Doreen alimwambia.

Baada ya mazungumzo hayo, Doreen akiwa anachekacheka alikwenda kuchukua chupa iliyojaa maziwa, mkate wa bofro, jam na kumuandalia chai Dullah , Dullah alifungua kinywa kama vile alikuwa mtoto wa tajiri.

Alipomaliza kunywa, Dullah alimtazama na kumrembulia macho na kumwambia jana yake alimuweka katika wakati mgumu sana, Dullah akamwuliza kivipi!

“Muone kwanza vimacho, eti unaniuliza kivipi si vile ulivyonifanyia yaani usiku sijalala mwenzako da!” Doreen alimwambia Dullah kwa sauti f’lani ya kuhamasisha malovee.

Dullah aliposikia mtoto wa kike wa ushuani akilalamika, akajisemea moyoni kwamba pale alikwenda kazini lakini kufanya kazi na dawa halikuwa kosa, akamuuliza Doreen alitakaje?

“Jamani eti ninatakaje, wewe sijui ukoje?” Doreen alimwambia Dullah na kumpiga kibao cha uchokozi shavuni Dullah akaachia tabasamu lakini tayari mwili wake ulishapata moto.

Dullah alipokitazama kipensi cha kubana hipsi alichokivaa Doreen na kitopo kilichoonesha michomoko ya viembe sindano vya mtoto huyo akaona ni halali kabisa inzi kufia juu ya kidonda yaani alikuwa tayari fundi Yassin amtimue site lakini siyo kuidhulumu nafsi yake.

Kijana huyo aliyekuwa na hamu ya kumchinjia baharini Doreen alikivamia kifua chake na kuanza kumfanyia vurugu zilizokwenda sambamba na denda ambalo a.k.a yake kula mua mpaka mtoto wa watu macho yakamuiva mithili ya tunda damu.CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Wakati mtoto huyo wa kishua akijibu mashambulizi ya kumshika Dullah maeneo mbalimbali ya mwili wake hususan makazi ya rais mpenda raha, Dullah akadata kabisa.

Alichokifanya kijana huyo ni kumuuliza Doreen eneo ambalo lingekuwa salama kwao kuzitafuna tende kama siyo harua, Doreen akamshika maungoni na kumkokota kwenda naye chumbani kwake.

Kwa kuhofia fundi Yassin au Zakayo angetoka na kukuta hayupo, wawili hao walipofika ndani Dullah hakuona sababu ya kuremba kwa sababu Doreen hakuwa dada yake, akampunyua kila kitu kisha akajipunyua haikupita hata dakika moja uwanja waliokuwa wapo juu yake ulichimbika balaa.

Sharobaro Dullah , hakuwa na huruma na mtoto wa watu, alimvuruga kweli Doreen ambaye alikuwa amemisi kuvurugwa kwa muda mrefu na kwa utaalaam wa kuchimbua visiki wa kijana huyo wote walijikuta wanagota mwisho wa safari pamoja.

Baada ya kumaliza kazi nzito iliyokuwa mbele yake, Dullah hakutaka kuendelea kukaa mle chumbani, aliingia bafuni akajimwagia maji na kutoka haraka lakini ile anatokeza sehemu aliyotakiwa kuhamisha mchanga akamuona Zakayo akiwa amesimama.

Dullah ambaye wakati huo hakujali chochote kufuatia kumkwangua mtoto mzuri Doreen ambaye aliumbika hasa na kumhamasisha mwanaume yeyote rijali, akawa anacheka.

Zakayo ambaye alifahamu kwamba Dullah hakuwa mfanyakazi zaidi ya usharobaro alimkata jicho na kuingia ndani ambako fundi Yassin alikuwa akiendelea na kazi.

“Kaka mkubwa, kama ambavyo nilikuwa nakuambia huko nje hakuna kazi inayofanyika sikukosea hata kidogo, nilipokwenda kumuangalia huyo dogo uliyetuletea nimemkuta akitokea jikoni kwa bosi,” Zakayo alimwambia fundi Yassin.

“Acha masihara bwana! Yaani bado hajaanza hata kazi?” fundi Yassin alimwuliza Zakayo.

“Ndo maana yake, yaani chepe kalichomeka juu ya mchanga nahisi tayari kisha kuwa mwenyeji kutupita wenyeji, kweli hawa vijana masharobaro wana mambo,” Zakayo alimwambia fundi wake.

Kufuatia kauli ya Zakayo, fundi Yassin anayemuelewa vizuri Dullah akaishia kucheka ndipo Haruni akamwuliza Zakayo kwa nini alisema Dullah kishakuwa mwenyeji kuliko wao.

INAENDELEA

Post a Comment

0 Comments