Ticker

6/recent/ticker-posts

Ad Code

Responsive Advertisement

Chombezo: Sharobalo wa tandale sehemu ya kumi (10). MWishooooo

 


Mama Maduu na Dullah wakiwa pale sebuleni simu yake ikaanza kuita, alipoangalia mpigaji alikuwa bosi wake, moyo ukapiga paa!


Hata hivyo, ilibidi aipokee na kuanza kuzungumza na bosi wake aliyemuuliza alikuwa wapi akamwambia alikwenda benki mara moja. Baada ya kukata simu, licha ya kutaka kuendelea kufanya yao na Dullah alimwambia kwamba anahitajika ofisini.

Awali mama huyo alitamani kama amuache Dullah pale ili atakaporejea jioni waendelee kuburudika lakini akagundua ilikuwa mapema mno kufanya hivyo.

“My baby, nilishaamua nisurudi tena ofisini lakini bosi kaniita itabidi tuondoke ila tukitoka tu jioni tunarudi hapa kuponda raha, sawa mpenzi wangu?” Mama Maduu alimwambia Dullah .

“Hakuna shida maana kwa mambo uliyonifanyia nilitamani leo tujifungie hapa ndani hata kama mpaka asubuhi,” Dullah alimwambia, mama huyo akacheka na kumpiga kibao f’lani hivi cha mahaba begani.

Wawili hao ambao tayari kila mmoja aliujua mwili wa mwenzake, waliingia bafuni kuoga lakini kabla hawajaanza mama alitoka na kurejea na mswaki mpya akaweka dawa na kumkabidhi Dullah kisha naye akachukuwa wake wakaanza kujiswafi kuondoa harufi ya mvinyo waliokunywa.

Walipomaliza, waliingia kwenye gari na kuanza safari ya kurudi ofisini, njiani mama alizidi kumfagilia Dullah kwa mautundu aliyomfanyia hasa alipompa mkomboti wa uhakika.

Mama Maduu alipokaribia ofisini alimshusha Dullah na kumweleza asubiri kama dakika kumi na tano ndipo aende, akafungua pochi yake na kumpatia noti mbili za shilingi elfu kumi akaachia tabasamu na kumuaga Dullah .

“Da! Haya ndiyo mambo ninayoyatakaga, huyu mama sitamwacha, kwanza nimuache kwa sababu gani? Kama mapenzi anayaweza!” Dullah aliwaza.

Baada ya kupita dakika ishirini, Dullah alirudi eneo lake la kazi na kumkuta Ipyana akiosha gari la bosi mmoja wa idara ya fedha.

“Niambie kijana mwenye nyota inayong’ara, umeshamsaidia mama kazi yake?” Ipyana alimwuliza.

Kufuatia swali hilo, Dullah alicheka sana na kumwambia hakukuwa na kazi yoyote zaidi ya kukata mitaa kisha kurudi na faida ya kupewa shilingi 20,000, akatoa teni moja na kumpatia rafiki yake.

“Eh! Au umemkwangua mama wa watu maana wewe Dullah ni noma!” Ipyana alimwambia.

Dullah alicheka na kumwambia anapopata nafasi huwa afanyi makosa akimaanisha tayari alimgaragaza mama Maduu!

“Nilijua tu, wewe upewe shilingi ishirini elfu bure tu!” Ipyana alimwambia rafiki yake.

Wakiwa wanaendelea na stori zao, Ipyana alimfahamisha Dullah kwamba akiwa hayupo dada Fatu alifika pale mara mbili kumwulizia akamwambia alitoka kidogo.

“Anasemaje?”CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Anasisitiza tu jioni uende naye kwake ukamsaidie kazi ambayo nimemwuliza ni kazi gani kakataa kuniambia,” Ipyana alimwambia.

Wakiwa wanaendelea na maongezi, si wakamuona dada Fatu anaelekea walipokuwa, alipowafikia akamwuliza Dullah alikwenda wapi, akamdanganya kwamba alikuwa ameenda Feri mara moja.

“Sasa nimepata nafasi, tunaweza kuondoka muda huu?” Fatu alimwuliza Dullah ambaye alimwambia hakuwa na kikwazo.

“Oke safi sana, kwa kuwa nimeacha mkoba wangu ndani wewe tangulia pale kwenye kona nakuja,” Fatu alimwambia Dullah .

Lakini kabla hajaondoka aliingiza mkono kwenye mfuko wa siketi aliyovaa akatoa noti ya shilingi elfu kumi na kumpatia Ipyana na kumwabia;

“Hela ya lachi hiyo ngoja rafiki yako akanisaidie kazi, tukichelewa mtakutana nyumbani.”

Ipyana aliyejiona mwenye bahati siku hiyo ya kupata shilingi ishirini ya bure alimwambia hakukuwa na shida kwa upande wa Dullah wangewasiliana kwa simu.

Dullah aliyekuwa amefurahi alijua hata dada Fatu hakuwa na kazi yoyote zaidi alimzimikia, akaapa kwamba akijilengesha tu hasira zote atazimalizia kwake baada ya mama Maduu kupigiwa simu na bosi wake na kukatisha mchezo.

Kama alivyoelezwa, alipofika kwenye kona ya mtaa wa Samora na Oio hata hakumaliza dakika nne akaliona gari la dada Fatu, liliposimama alizama ndani safari ya kwenda ambako hakukujua ikaanza.

Dada huyo aliyeonekana mwenye furaha aliendesha gari kwa kasi huku wakipiga stori za hapa na pale na Dullah hadi walipofika Kinondoni nyumbani kwake.

Fatu alipoegesha gari uani mwa nyumba aliyokuwa akiishi alimkaribisha Dullah sebuleni kwake, Dullah akiwa ameketi akawa anaangaza macho huku na kule kufuatia sebule kuwa na vitu vya thamani.

Sebule ya dada Fatu ilikuwa kubwa sana, ilikuwa na sehemu ya kulia chakula, kusomea na kaunta ya baa ya ndani iliyokuwa imesheheni vinywaji mbalimbali zikiwemo pombe kali na za kawaida.

“Dullah hapa ndipo nyumbani kwangu karibu sana na jisikie upo nyumbani,” Fatu alimwambia Dullah .

“Nashukuru sana tena sana na hongera kwa haya maendeleo ninayoyaona,” Dullah alimwambia.

“Dullah bwana, asante ila ni maendeleo ya kawaida sana,” Fatu alimwambia.

Baada ya mazungumzo hayo ya kupongezana, Fatu alimwambia Dullah kwa kuwa alikuwa kijana wa kisasa aliamini alikuwa akitumia kilevi na kama hakukosea ajongee pale kaunta ajihudumie alichokihitaji.

Kauli hiyo ilimpa raha Dullah aliyekatishwa mzuka wa kulamba gambe nyumbani kwa mama Maduu aliyepigiwa simu wakati ndiyo kwanza mambo ya chumbani zaidi yalianza kunoga.

Baada ya Dullah kumshukuru dada Fatu aliyekuwa na lake jambo, walijongea kwenye kaunta ya vilevi ambapo kijana huyo mkali wa watoto wazuri alimwelekeza Fatu kinywaji alichotumia, akafunguliwa na kuanza kupasha.

“Samahani mgeni wangu, wewe endelea nakuja baada ya dakika sifuri,” Fatu alimwambia Dullah .

Fatu akaenda chumbani kwake ambako hakukaa sana akarejea akiwa kajifunga kanga nyepesi iliyoonesha jinsi maungo yake yalivyokuwa yamenona na kifuani viembe bolibo vyake vya kiuchokozi vilichomoza.

“Hivi hawa viumbe utafikiri wanaambiana, mama Maduu naye nilipofika kwake alivaa hivihivi, huyu naye mlemle, sasa kujenga heshima naye namchinjia baharini,” Dullah alijisemea moyoni.

“Dullah , nakuomba uwe huru na chochote unachokihitaji niambie hapa kwamba kila kitu kipo,” Fatu alimwambia Dullah .

Dullah aliyejua Fatu hakuhitaji chochote zaidi ya mkomboti alimtazama kwa macho Fulani hivi yenye meseji nzito, Fatu akaachia tabasamu pana.

“Dada Fatu, siyo siri umeumbika sana ten asana, hebu angalia kama hizi hipspi zako zilivyo da wewe kweli mzuri,” Dullah alimwambia Fatu huku akiwa kaishika hipsi yake pana.

Ni kama vile Fatu alikuwa akisubiri Dullah alimchokoze, alimwambia asante ndipo naye akamsifia Dullah kwamba alikuwa handsome boy na alionekana alikuwa akiyajua mapenzi.

Kitendo cha Dullah kupewa fagio hilo, si akajivuta na kukugusana na Fatu kasha akamwomba dada huyo mfanyakazi wa serikali amsogezee shavu, alipolisogeza Dullah akambusu mmwaaa.

Busu hilo lilimshanganya Fatu, sin aye akajibu mashambulizi na kwenda mbele zaidi kwa kuutoa ulimi wake uliodakwa na Dullah kama vile kinyonga anavyodaka nzi aliyekatiza mbele yake.

Wawili hao walikula denda a.k.a mua mpaka macho yakawa mekundi si baadaye wakaanza kuleteana fujo za kugusana kila eneo linaloleta muwashawasha.

CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



“My dear, inatosha naomba usimame,” Fatu alimwambia Dullah ambaye wakati huo pombe ilianza kumchemka kichwani.

Dullah aliposimama, Fatu alimkumbatia kama siyo ‘kumuagi’ akampiga mabusu kadhaa sijui alifanyaje bwana si ile kanga aliyovaa ikamfunguka na kubaki mweupe peee!

“Kumbe ndicho ulichokuwa ukikihitaji, ngoja nikupe mavituvitu ambayo tangu ulipoanza kujihusisha na zoezi hili la kiutu uzima hujawahi kukutana nayo,” Dullah alijisemea moyoni.

Kama kawaida yake, sharobaro huyo anapokutana na vitu hivyo adimu lazima ajilambe midomo, alifanya hivyo na kumeza mafunda mawili makubwa ya mate.

Alipofanya hivyo hakusubiri anyonyolewe manyoa na Fatu, alijivua viwalo vyake, si Fatu akaachia tabasamu pana nafikiri ni baada ya macho yake kutua kwenye makazi makuu ya Dullah .

Kama vile alikuwa akisubiri hatua hiyo, mtumishi huyo wa serikali ambaye hakuona kama aliutumia vibaya muda wa kazi na kwenda kujirusha na Dullah kwake, aliyavamia makazi ya Dullah na kucheza nayo alivyopenda.

Baada ya kuleteana fujo, Sharobaro Dullah alihisi kama angeendelea kumchelewesha Fatu huenda naye angepigiwa simu na bosi wake kama ilivyotokea kwa mama Maduu, si akamvuta na wote kuanguka puu juu ya sofa la watu watatu.

Kwa kuwa tayari joto liliwapanda sana, Dullah hakumuonea huruma Fatu hata kidogo, alimpa mambo ambayo dada huyo hakuwahi kukutana nayo akaishia kulia na kucheka kwa raha.

“Dullah , asante ndiyo maana nilipokuona tu siku ya kwanza nilikupenda na sikukosea hata kidogo, kwa jinsi ulivyonifikisha hakika utakuwa mtu wangu wa kudumu, nikuulize kitu?” Fatu alijikuta akifunguka mfululizo.

“Niulize tu mpenzi wangu!” Dullah alimwambia.

“Una mpenzi?” Fatu alimwuliza.

Kufuatia swali hilo Dullah alimdanganya kwamba alikuwa naye lakini waliachana kufuatia demu huyo kumsumbua mara kwa mara akitaka fedha wakati hakuwa nazo.

“Kama hivyo, itakuwa poa, kuhusu fedha sasa mimi ndiyo nitakuwa nakupa wewe na siyo fedha tu hata gari la kutembelea nitakupa, sawa mpenzi?” Fatu alimwambia Dullah .

Dullah alimshukuru sana Fatu na kumpagawisha kabisa, si akaanza kuzigusa tena zile sehemu zilizokuwa zikimletea mushawasha Fatu, dada wa watu akaanza kuweweseka.

Kama alivyofanya awali, alipomuona alikuwa yupo hoi, si akamvuatia kwake na kumpa tena mavitu matamu, Fatu akawa hoi.

Siku hiyo, wawili hao walishinda ndani wakipeana raha, kule ofisini mama Maduu alipotoka kazini alimpigia simu Dullah bila mafanikio na hata alipokwenda kumwuliza Ipyana alimwambia alipata dharura alirudi nyumbani.

Tangu siku hiyo Dullah akawa anatoka na mama Maduu, dada Fatu na mademu wake wengine akiwemo Doreen na Atu kwani hakuwa na tatizo la fedha.

Baada ya kupita muda mrefu, Dullah ambaye alikuwa gumzo mitaani kwa tabia yake ya ukware alianza kuugua na kukohoa kulikokwenda sambamba na kupungua mwili.

Kufuatia maradhi hayo yaliyokwenda sambamba na homa za mara kwa mara, mama yake alimpeleka kupima damu akabainika alikuwa ameambukizwa virusi vya Ukimwi.

Alipoambiwa alikanyaga miwaya alipatwa na mshtuko, licha ya ushauri aliopewa wa namna ya kuishi kwa matumaini, Dullah alikata tamaa na usiku wa siku hiyo akajinyonga kwa kamba ya manila hadi kufa kwenye mti wa muarobaini.

Kulipokucha habari za kifo chake zilitapakaa kila kona ndipo baadhi ya watu ambao hawakumfahamu vizuri waliwauliza wengine ni Dullah yupi aliyefariki, wakajibiwa Dullah Sharobaro wa Tandale.



Kwa heri Dullah.

Kwa heri Abdallah.

‘Innalillah Wainailah rajjiunn’

Mugu ilaze roho ya marehemu Dullah mahali pema peponi..... Amina



Mwishoooooo!.

Post a Comment

0 Comments