Ticker

6/recent/ticker-posts

Ad Code

Responsive Advertisement

Chombezo: Kitumbua Cha Nani Sehemu Ya Kumi (10)



Ukweli bado jibu lilikuwa mbali, maana Pross alibakia kimya, akitazama chini, “au ujuwi wanavyo fanyaga?” alisema Stellah kwa utani, na kubugia wine yake, Pross nae akacheka cheka, Stellah alimaliza wine kwenye glass na kumiminia nyingine, kisha akataka kumiminia kwenye glass ya Pross, akaona bado hipo nusu, “kunywa bwana Pross, alafu nikufundishe wanavyofanyaga” alisema Stellah huku anakamata glass iliyokuwa mkononi kwa Pross na kumnywesha, ambapo Pross ambae alikupatwa na msisimko mkubwa, kwa kusikia kuwa ata fundishwa, kufanya wanavyo fanyaga, alipiga funda moja kubwa la wine, kabla Stellah ajaitoa glass mdononi kwa Pross, “au upendi nikufundishe?” aliuliza Stellah, kwa sauti ya kubembeleza, Pross akashindwa kujibu, na kubakia anajitabasamulisha, “unapenda hen?” hakika unge mwona stellah, usingeweza kuamini kama ndie yule ambae amevumilia kuto kuithaliti ndoa yake toka akiwa na miaka 22, mpaka leo anaingia kwa kijana mdogo, anae karibia kulingana na binti yake, ndie anae mwuliza kijana huyu, maswali kama aya, Pross akaitikia kwa kichwa akikubari kuwa anapenda kufundishwa, “hapo ume furahisha, aya maliza ni kuwekee nyingine” alisema Stellah, huku anaisogeza tena ile glass ya wine mdomoni kwa Pross na kumnywesha tena, Pross nae aka bugia funda la nguvu, na ile Stellah anaitoa Glass akamsindikiza kwa busu la shavuni, kisha akamkabidhi Galss yake, na kumwongezea nyingine, kisha akainuka na kuelekea nyuma ya nyumba ambako ndio kama chooni kwake, akimwacha Pross anatafakari mambo yanavyokwenda, maana akujuwa kama ile ni bahati au baraha, inawezekanaje huyu, mama ambae akuwa anamjuwa vyema, aanze kuja hapa shambani, na leo anataka kumpa kitumbua, bule bule, na ukizingatia juzi yake alikiona kilivyo tuna, ungesema kitumbua cha buku.


Wakti anaendelea kuwanza akamwona yule mama anakuja, kutoka nyuma ya nyumba huku, ameshika kitenge mkononi, na kubakia na lile gauni jepesi, “tumalize hii chupa kisha tuhamie ndani, nika kufundishe” alisema Stellah, huku anakaa kaibu na Pross, pasipo kujari kuwa kile kigauni chake chepesi, kinacho angaza, kuwa kinapanda juu na kuachia mapaja wazi, na kuyafanya macho ya Pross yasiyo na panzia, kutazama mapaja ya mama huyu, ambayo ungesema ya binti mdogo, kwa ung’aavu wake, na kusasbabisha, dudu ya kijana huyu, izidi kutibuka, ali hiyo aliiona Stellah, yani mke wa Kipanta, na kumfanya ahisi, kikunde chake kina tekenyeka, na kutamani kupata msaada wa haraka.******


Taarifa za kukamtwa kwa Rose zilidi kuzagaa, na kuwafikia watu wengi zaidi, ambao kila mmoja alitafthili kwa jinsi anavyo juwa, wengine wakisema kuwa afadhari, maana waliamini kuwa Rose amefanya kitendo cha kikatili, huku wengine wakimwonea huruma mschana Rose, wakiamini kuwa ni mschana mdogo, ambae ndiekwanza alikuwa anaanza kufaidi maisha, sasa akaodhee jelah, itakuwa siyo poa kabisa, taarifa zile pia zilizagaa kwenye mitandao, japo zilikosa picha za tukio, lakini tayari picha ya Rose, ilionyeshwa kwenye habari hizo.


Taarifa ili mfikia Adellah, ambae alikuwa anasubiri pakuche aanze safari na mume wake, ambae atakuwa amesha omba luksa, ya kusafiri, ukweli ilizidi kumtia wasi wasi na wazoni, akujuwa namna ya kumsaidia mdogo wake, ili aepukane najanga ili, akutaka kuwajulisha wazazi wake, ambao walikuwa wazee sana, akiofia kuwapa pressure za bule bule, hivyo Adellah, alitamani pakuche mapema ili waondoke, akamsaidie mdogo wake.*******


Polisi walienda mpaka shule ya msingi Luguruni, ambako awakumkuta mtu yoyote, zaidi ya watoto wachache waliokuwa wanacheza kwenye eneo la karibu na shule, hivyo wakawauliza hao watoto waliokuwa wanacheza, “eti watoto, kuna mwalimu yoyote wa shule hii anae kaa hapa karibu?” aliuliza insp, na wale watoto waka mwelekeza kwa mwalimu Stellah wowo, “watoto bwana eti mwalimu Stellah wowo, sijuwi kama mwenyewe anajuwa kuwa anaitwa hivyo” alisema insp akiwa ndani ya gari, wanaelekea kule walikoelekezwa, ambako walitumia dakika cheche tu! kufikia, lakini ukweli ni kwamba akukuwa na dalili ya uwepo wa mtu, japo alama za matairi ya gari yalionyesha kuwa kuna gari limetoka asubuhi ya siku hiyo.


Na ata walipo gonga mlango awakujibiwa lolote na awakuwa na ujanja zaidi ya kwenda kwa majirani kuomba msaada wa kuonyesha nyumba ya mwalimu mwingine, wa shule ya msingi Luguruni, imanaana bado awakujuwa kama Stellah wowo, ndie mwalimu wanae mtafuta, “labbda niwasaisie namba ya mwalimu mkuu, yeye anakaa kibamba sheri” alisema yule jirani wa Stellah, nao wakaipata ile namba na kuwasiliana na mwalimu mkuu, ambae aikuwa na aja ya kuonana nae, walimalizana kwenye simu, wakimweleza shida yao, ya kumpata mwalimu wakike, ambae ni mke wa bwana Kipanta, nae akaweleza jina lake na kwamba anapatika huko huko Luguruni, “inamaana huyu Stellah wowo, ndie mke wa bwana Kipanta?” alishangaa insp, ambae mwisho alichukuwa maamuzi ya kuacha maagizo kwa yule jirani, kwamba muda wowote akionekana, basi aende kituo cha polisi, wilaya ya ubungo.*****


Joyce alienda moja kwa moja mpaka kituo cha polisi, na kukutana na askari wa zamu pale kituoni, alie mluhusu, kuonana na Rose, kwa dakika tano, ambazo zilitosha kabisa kwa Rose, azikuwasaidia kabisa, kuelezana jambo la kufanya, maana muda wote Rose alikuwa analia, na kusisitiza kuwa siyo yeye alie fanya hivyo.


Joyce akaelekea hospital walikolazwa wakina Kipanta na Matrida, ambako akuweza kupewa nafasi ya kuwaona, maana bado walikuwa wajalejewa na fahamu, na walikuwa wanaendelea kupata matibabu, chini ya uangalizi wa polisi.*****


saa nane kasoro, Stella alikuwa wakwanza kuinuaka toka kwenye mkeka na kummwinua Pross kwa kumshika mkono, “twende ndani basi, alafu tutaendelea kunywa wine” alisema Stellah alie onekana kutamani sana dudu, maana aliona kila sekunde zinavyosonga ndivyo kikunde kinavyosidi kutekenya, walipoingia ndani Stellah akamvua nguo Pross na kumwacha kama alivyo zaliwa, huku dudu ikiwa imesimama kweli kweli, maana ilisha juwa kitu kinacho fwatia, kisha Stellah aka vua gauni lake, na wakati ana vua Chupi, ndipo alipo mtazama Pross kwenye dudu yake, akaiona imezidi kusimama maladufu, na kumsisimua mama huyu, ambae alivua chupi haraka na kupanda kitandani, akijilaza chali na kutanua miguu, “aya njoo Pross” alisema stellah, akitarajia kumwona Pross ana panda kitandani na kuingiza dudu, lakini ilikuwa tofauti kabisa, na alivyo tegemea, akabakia ameduwaa anamtazama Pross kwa macho ya mshangao…





Maana alimwona akiwa amekodoa macho anatazama kati kati ya mapaja yake manene, huku macho yakilenga kwenye kitumbua chake, kilicho tuna vyema kama vile kitumbua, cha shilingi elfu moja, kabla aja pandisha pandisha macho yake tumboni, huku akisogea taratibu, na kukilaza kiganja cha mkono wake wa kulia, kwenye tumbo la mama huyu, usawa wa kitovu, na kupitisha kidole chake kwenye kitovu hivho na kufanya kama anakitekenya flani, mtekenyo ambao ulimsisimua mama huyu, mke wa bwana Kipanta, ambae mume wake alikuwa hospital ajitambui, ata kidogo, Stellah aka pengine ni mshangao wa kijana huyu, ambae yeye aliamini kuwa ndio mala yake yakwanza kuona vitu kama vile, lakini alishangaa zaidi, na kuzidi kuhisi msisimko, wa hajabu, baada ya kuona Pross anatembeza kiganja chake cha mkono, taratibu kuelekea kifuani, mka kwenye ziwa la kushoto, kisha mkono uka gota kwenye chuchum, na kwa kutumia vidole vitatu, yani gumba chapili na chakati, akaanza kuchezea chuchu taratibu, na hapo Stellah akaazidi kusikia msisimko wa ajabu, ulioambatana na shangao, kuona kijana huyu, anafanya kitu kinachompa raha.


Ukweli Stellah, alijisikia raha ya ajabu, wakati Pross alipokuiwa anaendelea kuchezea chuchuzake taratibu, bila kumtazama usoni, japo yeye alikuwa anatamani kijana huyu aiue usowake watazamane usoni, akufikilia kuwa yeye tayari macho yake yalikuwa yanafunguka robo, maana yalikuwa mzito ungesema amevuta bangi, sasa Stella alianza kuhisi kutamani afanyiwe vitu vingine zaidi, asa sehemu za kitumbua chake, akatamani kumweleza kijana huyu mdogo, juu ya tamanio lake, lakini kabla aja sema kitu, akashangaa kuona kijana huyu, ana ptisha mkono wake kwenye mapaja yake manene na yeye akanua zaidi miguu, kumpa nafasi kijana huyu, ambae alipeleka mkono wake, akitanguliza kidole cha kati, na kukukilaza kwenye kikunde cha kitumbua Stellah, ambacho siyo kwa utelezi wa ute ute ulio wagika sehemu hiyo, ila lilikuwa bakuri la bamia, au mlenda, Stellah akuwza kutulia wakati, kidole kile kikisugua kunde yake, hapo alijikuta ana chezesha kiuno taratibu, kufwata mwenendo wa kidole hicho, ambacho kilikuwa kina sugua taratibu kikundde cha mama huyu, mwenye watoto wawili, alie telekezwa na mume.


Stellah mwenyewe alijikuta akifumba macho na kutanua mdomo, na kusikilizia utamu, huku akizungusha kiuno chake taratibu, huku Pross akiondoa mkono wa kulia kwenye chuchu, na kusogeza mdomo, akianza kunyonya Chuchu, ya mwana mama huyu., iliyo nyonyesha watoto wawili, ilifikia wakati Stellah aliona alishika Kichwa cha Pross kama vile afanyavyo mama anae nyonyesha, na kumkanda miza kwenye ziwa lake hilo, ambalo lilikuwa lina chezewa chuchu kwa ulimi, na kumsisimua sana, msisimuo ulio mpa utamu lama dufu, “Pross! pross! baba nifanye mpnzi….kumbe unaweza, nifanye basi mpenzi”alilalamika Stellah, akiomba Pross aingize dudu, nikama ombi lake lilipokelewa, maana alimwona Pross anaiachia chuchu na kuondoa mkono wake, kwenye kitumbua, na kukaa usawa wa paja ya mama huyu, hapo Stellah akajuwa sasa ndio wakati wa kuingizwa dudu ya na kijana huyu, mdogo.


Lakini aikuwa hivyo, ndio kwanza akashangaa, akimwona kijana huyu, anamshika miguu, na kumweka sawa, kisha akainamisha kichwa cheke kati kati ya mapaja yake na kupeleka mdomo wake kwenye kitumbua cha mama huyu kilicho tuna kweli kweli, huku urimi, akiwa ameutoa, kama jibwa lenye kiu ya maji, Stellah akahisi wa uwazi kabisa, ulimi wa kijana huyu, ukianza kupita kwenye mpasuko wa kitumbua, chake, yani kuanzia, kwenye tumbu la kuingilia dudu, na kupanda juu, ukisugua mashavu ya kitumbua hicho, vinemmbe, mpaka kwenye kikunde, ambapo aukutulia, ukaanza kufanya kama vile ambavyo jibwa lina kunywa maji, “we mtoto utaniuwa, jamani, kumbe tamu hivi” ukweli stellah, alijihisi kama vile ndio kwanza leo anaonja kitu kinachoitwa kufanya mapenzi, maana siku zote, akuwai kutumia muda wake kufanyiwa vitu kama hivyo, katika kuanya mapenzi, inamaana mume wake ambae ndie mwanaume pekee alie wai kuwanae, akuwai kumfanyia mambo kama aya, ambayo kijana huyu, alijifunza siku iliyopita, na leo asubuhi, ilikuwa mshangao kwa Stellah, ambae akuwai kuhisi wala kuona ulimi wa mwanaume ukipita kwenye kitumbua chake, tena akiwa na bahati kukutana na kijana ambae alifundishwa kwa muda mfupi na kuelewa somo, hakika angekuwa anazingatia masomo yake kipindi anasoma, kama alivyo fanya hapa, basi asingefeli, kidato cha sita.


Sasa Stellah alikuwa anahisi, utamu unazidi kuongezeka kwa kasi sana, na kuanza kutoa sauti flani za kuugulia utamu, pasipo yeye kujuwa kuwa, anapiga kelele, akuzania kama kuna ufundi mwingine uliobakia kwa kijana huyu, juu ya mwili wake, asa kitumbua chake, lakini akashangaa kuona kijana huyu, akiacha kulamba kikunde na kukidumbukiza chote, mdononi, sasa basi, hapo akahisi joto flani ndani ya mdomo wa Pross, ambao ulikifanya kikunde hicho kizidi kujisikia utamu, na kuhisi, koo lina mkauka, hapo mama huyu akahisi kitu kama mkojo una kuja kwa kasi na kutaka kumchomoka, mkojo ambao uliambatana na utamu wa hajabu, akajikuta ana kikamata kichwa cha mtoto wa mwanamke mwenzie, na kukikandamiza kwanguvu sana kwenye pachu pachu yake, huku akikaza makalio na mapaja yake, kusindikiza utamu ambao nikama ulikuwa unafika ukingoni.******


Saa kumi na mbili za jioni, ndio muda ambao, Kipanta alilejewa na fahamu, lakini hakuwa na nguvu za mwili, akajikuta yupo hospital, na wakati mala ya mwisho alikuwa, ndani ya chumba cha guest pale luguruni, inakuwaje, awe hapa hospital, akatazama kushoto na kulia pengine ange mwona mtu wa kumwuliza, ni kweli kulikuwa na watu wengi sana mle ndani, tena ni wagonjwa na watu ambao walikuja kutazama wagonjwa, ambao sasa ndio walikuwa wanatangaziwa kuondoka mle ndani, maana muda ulikuwa umesha isha, “mh! imekuwaje nipo hapa” aliwaza Kipanta, huku akipekuwa pekuwa pembeni ya kitanda chake, ili kuangalia kama anasimu, ili apige kwa Matrida ili amwulize imekuwaje, lakini akukuwa na simu wala kitu chochote, akajipapasa wallet kwenye mifuko ya suruali yake, lakini akagundua kuwa yupo uchi, akatazama pembeni kama angeona nguo zake, lakini akukuwa na dalili ya uwepo wanguo yoyote yenye mwonekano wa kuwa yakwake, zaidi ya mapanzia kila kona, akatamani kumsimamisha mmoja wa watu waliokuwa wanaanza kutoka mle ndani, ambamo bila kuuliza ungejuwa kuwa ni ndani ya ward, lakini akachelea kwa mambo mawili, moja ni kwamba akujuwa amefikaje pale hospital, hivyo paengine, ingekuwa ni aibu kwake, kuuliza kuwa amefikaje, na kwamba watu wangejuwa kuwa akujijuwa alivyo fika, na ukizingatia alitokea kwenye ulevi na uzinzi, pili pengine habari za kuja kwake pale, zilisha tapakaa, na kama ni kitendo cha aibu, basi inge zidi kumchafua, hivyo akatulia kidogo, akizuga kuwa bado amezima gari.


Lakini alisha Chelewa, maana tayari mmoja wa wauguzi alisha mwona, na bila kumsemesha akatoka nje, na ssekunde chache akarudi, na mle ndani akiongozana na polisi wawili, ambao inainyesha walikuwa kwenye kolido kabla ya hapo, “vipi bwana Kipanta, unajisikiaje?” aliuliza yule nurse, “najisikia vizuri, ila sijuwi nimefikaje hapa, alafu naona polisi, kuna tukio lilinitokea, na yule mschana niliekuwa nae yupo wapi, pamoja na vitu vyangu?” aliuliza Kipanta, na hapo mmoja wa polisi aka mjibu, “sibiri kila kitu utaambiwa, pamoja na kujibu maswali ambayo yatatusaidia kukusaidia” alisema yule polisi, na wakati huo huo, akaja nurse mwingine akisema kuwa Matrid nae amesha rudiwa na fahamu.******


Naam saa kumi na mbili na nusu, Stellah na Pross walikuwa wamekaa kwenye mkeka Stellah, akiegemea gogo, pale nje ya kibanda chini ya mti, moto mkubwa ukiwa mita kadhaa mbele yao, wepesi kama karatasi, wakiendelea kunywa wine zao kwa furaha, Pross akiwa amelaza kichwa cheke kwenye mapaja manene ya Stellah, huku akiwa amevalia kijikaptulah, kama Stellah alie valia lile gauni jepesi, pasipo nguo yoyote ndani, “mpenzi umenidanganya, kumbe unajuwa kufanya, mpaka najisikia raha” alisema Stellah huku akimsika sikio Pross na kufanya kama ana mvuta flani hivi, Pross akajichekesha kidogo, naangalia ga kwenye video” alijibu Pross na wote wakacheka kivivu, yani leo nita lala hoi” alisema Stellah, ambae mpaka sasa alisha mwaga mizigo kama yote, ni baada ya kurudia kufanya mchezo huo, kwama mala kadhaa, mana ilikuwa kama ratiba, wakiingia ndani wanagonga round mbili wanatoka na kupumzika kidogo, kisha wanaanza kupandishana pale pale kwenye mkeka, kisha wanaingia ndani na kupenda dudu, walisha rudia mala tatu, na kila mala wanaenda round mbili, “mh! kwani tuanyi tena?” aliuliza Pross, baada ya kusikia kauri ya Stellah, “mh! kwani ujatosheka tu, mwenzio, nimechoka” alisema Stellah kwa sasuti ya kivivu huku anacheka cheka, “kama umechoka sawa” alisema Pross kiunyonge, “usiwe hivyo bwana, basi nitakupa, lakini usichelewe, alafu kesho nitakupa tena, mpaka utanichoka” alisema Stellah, safari hii akipinya pua ya Pross, kwa utani, hapo waliendelea kuongea ili nalile kwa mahaba ya hali ya juu, huku wakifanyiana michezo ya kimapenzi, wakiendelea kunywa wine kwa furaha, kiasi cha Stellah, kusahahu machungu ya mume wake, na vitendo vya kizalilishaji anavyo mfanyia, Pross yeye alikuwa anaomba kuwa leo Rose asije kufika pale ata kwabahati mbaya, maana mama huyu, alionyesha wazi kuwa analala pale pale.*******


Wakati Stellah anaendekea kula raha na Pross, Ukweli kwa upande wa Kipanta, ambae alisimuliwa kila kitu, na wale askari, jinsi alivyo kutwa pale guest, akiwa amelala na Matrida, pasipo kuwa na kitu chochote, kuanzia nguo wala simu wala kitambulisho, alielezwa pia ushukiwa wa Rose katika tukio ilo, sasa Kipanta,akajihisi kuchanganyikiwa, maana ukiachilia kwenye account yake, ya benk, ambayo lilikuwa na fedha za kustaafia, ilikuwa imebakia na fedha isiyo zidi million tano, na hiyo ni kabla aja toa fedha million mbili kumrushia, Matrida, na ile ya kustarehe nayo, ambayo walitoa mala mbili, na kila mala million moja, hivyo kama kuna fedha nyingi basi isinge zidi million moja, Kipanta aliendelea kuwaza, na kujikuta, akikumbuka fedha zote alizo zitumia kwenye starehe, na pia alizo zitumia kumhudumia Rose, kuanzia miaka iliyopita, alipo anza kumjengea, nyumba mala baada ya kutoka nchini sudani kikazi, na mduka na saloon alizo mfungulia pamoja na shamba, alilo mnunulia, baada ya kulipwa fedha zake za kustaafu, ukweli kwa yote aliyo mfanyia, Rose ndie mtu pekee ambae akienda kuishi nae angekuwa ndio msaada, lakini kwa kile alicho kifanya kwa kutembea na Matrida, ukweli aliondoa matumaini ya kupokelewa na mschana huyu, na kwa kulitambua ilo, Kipanta akajikuta anaingiwa na uchungu mkubwa sana , ametumia fehd nyingi, alafu fedha zenyewe zinaenda kuishia hewani, “bola ninge jenga nyumba nzuri ya familia” aliwaza Kipanta, ambae muda huo huo, ndio akakumbuka kuwa, akuwa na kitu chochote cha kujivunia, kwa ufanyaji wa kazi wa miaka zaidi ya therathini, ndani ya jeshi, akiwa na cheo kikubwa, akilipwa mhshara mkubwa, zaidi ya gari ambalo kwa sasa lisinge zidi thamani ya million nne, na nguo zake ambazo siku chache zilizopita aliziona kuwa zimesha pitwa na wakati, alijikuta anamchukia Rose, na anajichukia mwenyewe, sijuwi nifanyaje ili nichukuwe kila kitu changu toka kwa mwanamke huyu mshenzi” aliwaza Kipanta, kabla ajakumbuka kuwa ana mke na watoto, ambao wanaishi kwenye nyumba nzuri, “lakini siyo mbaya, nitarudi nyumbani kujipanga upya” aliwaza kipanta, ambae alisha sahau kuwa sehemu anapo paita nyumbani, akuwa amechangia kitu chochote, zaidi ya maumivu kwa mke na watoto.********


Saa mbili usiku tayari insp alisha rudi malatatu nyumbani kwa Stellah wowo, mke wa bwana Kipanta, lakini akuweza kumwona mama huyu, wala dalili ya uwepo wa mama huyu, kiasi cha kuanza kumtilia mashaka pengine yeye ndie anausika na swala hili, maana alizingatia kuwa bwana Kipanta, kabla ya tukoio la kukutwa pale Guest, asubuhi, ya siku ile ya Christmass, alifumaniwa na mschana mwingine, inamaana huyu bwana alikuwa kiwembe, na pengine mke wake akupenda swala hili, na kuamua kumfanyia hivyo alivyo fanyiwa, “huyu mama anatakiwa kutafutwa na kuhojiwa, pengine yeye anausika na siyo yule binti” alisema insp, kabla ajapokea ujumbe kuwa bwana Kipanta amesha zinduka, na yeye kuamua kuelekea hospital kwenda kupata jibu, ambalo lita weza kuwasaidia katika uchunguzi wao.


Nusu saa baadae tayari insp alisha fika kwenye ward aliyo lazwa Kipanta, “bahari bwana Kipanta, pia pole kwa yaliyo kukuta” alisalimia insp, mala baada ya kuika kwenye kitanda cha Kipanta, “asante sana, kwakweli tukio lime nistua sana, sikutegemea kama mambo aya yatakuwa hivi” alisema Kipanta amba kiukweli akuwa na kumbukumbu yoyote ya tukio lililo mtokea, usiku wa jana, kule Guest, “dah! nivigumu kuikabiri hali hii, bwana Kipanta, ila sisitupo hapa, kukusaidia kupata haki yako na kurudishiwa vitu vyako, ulivyo poteza?” alisema insp kwa sauti tulivu, uku askari aliokuwa nao wakifwatilia mazungumzo yale, “nitashukuru sana, afande wangu, alisema Kipanta, huku akiongeza, “yani wameiba simu na kadi za benk, hapa nilipo sina chochote” alisema Kipanta kwa sauti ya kuomboleza, “ok! ilo lita wezekana iwapo utatupa ushirikiano mzuri” alisema insp kwa sauti ya upole na tulivu, “wala usiwe na wasi wasi insp, nitakupa ushirikiano mzuri tu!” alisema Kipanta kwa msisitizo, hapo insp alitulia kidogo naku toa kijitabu kidogo, mukoni mwake, na kufunua unua, alafu aka ganda kwenye kurasa moja, akaisoma kimya kimya, kwa nukta chache, alafu akamtazama Kipanta, lbda bwana Kipanta, nani unahisi anausika na kuwawekea dawa kwenye pombe?” aliuliza insp kwa sauti ya upole huku anamtazama Kipanta, hapo nikama Kipanta alipata jibu la kitu cha kufanya ili kupata malizake na fedha alizotumia kwa Rose, “unazani kuna mwingine zaidi ya Rose?, ni Rose ndie alie fanya hivyo, ili kunikomoa” alisema Kipanta kwa sauti iliyojawa machungu ya hali ya juu……





insp aka tabasamu kidogo, lilikuwa tabasamu laaina yake, kwa haraka ungesema nikama alikuwa anamfariji bwana Kipanta, lakini uhalisia insp alikuwa anamcheka bwana Kipanta, sababu alisha fahamu kasa wa bwana kipanta kufumaniwa na Rose, ambae ni hawara, huku huyo huyo Kipanta akiwa na mke na familia yake, “unazani ni kwanini aliamua kukukomoa, au unaugomvi nae huyo Rose?” aliuliza insp kwa sauti tulivu, baada ya kuandika kitu flani kwenye note book yake, “afande siunajuwa tena awa mademu, yani ukiwanae una mpatia vicent, anataka uwe nae peke yake tu, sasa inapotokea uka chepuka kidogo, uwa wanakosa moyo wa huruma” alijibu Kipanta, kwa sauti flani ya kujifanya anasikitika, “ladba bwana Kipanta, kwanini asiwe mtu mwingine na iwe Rose?” aliuliza insp huku anacheka cheka kidogo, “mwingine nani afande, zaidi ya huyu huyu mshenzi, na amefanya hivi, akijuwa kuwa nitakua, ili aibe ela zangu benk, sababu yeye ndie anafahamu mpaka namba yangu ya siri, ya ATM card” alisema Kipanta akiwa amejawa na machungu ya hali ya juu, “pole sana bwana Kipanta, labda nikuulize kama una kumbuka mala ya mwisho ulikuwa na vitu gani kabla uja potezea ahamu na kujikuta hupo maali hapa?” aliuliza insp na Kipanta akataja vilivyo kuwepo na visivyo kuwepo, ikiwa na fedha tathlim, million kumi na tano, ambazo alimini kuwa lazima Rose ataambiwa azilipe, na yeye kupata kianziao, maana ukweli alijuwa fika kuwa, kwenye account yake akuwa na nafedha inayo zidi million moja, “umesema kuwa kati ya vitu ulivyo ibiwa ni pamoja na card ya benk, je unaweza kutuambia kama kwenye account yako kulikuwa na kiasi gani cha fedha?” aliuliza insp, na hapo insp pamoja na askari wale wawili, wakaweza kuonadalili za mshtuko usoni kwa Kipanta, “lakini afande nazani kisheria akiba ya fedha kwenye account ni siri yangu, na sitakiwi kumwambia mtu yoyote” alisema Kipanta ambae alikuwa anajuwa kuwa ni kawaida katika matukio kama aya kutaja kiasi cha fedha kilichopo kwenye account yake, ili ikitokea kuna upungufu, basi mtu atakae kamatwa kwa kosa la kumnywesha dawa na kumwibia, ndie atakae wajibika na upotevu wa fedha zake, “bwana kipanta, hapa nipo kama mpelelezi, naliwakilisha jeshi la polisi, ambalo mpaka sasa linatakiwa kujuwa akiba ya fedha zilizopo kwenye acconyt yako ambayo card yake imeibiwa” alisema yule insp akitilia msisitizo, hapo Kipanta akakumbuka jambo na kupata wazo la haraka, “nikweli afande kuna umuhimu wakujuwa akiba ya fedha iliyo kuwepo, maana yule mwanamke ni mfanyakazi wa benk hiyo hiyo, anaweza kutoa fedha kwa mbinu yoyote, kulikuwa na million ishirini” alisema Kipanta, akizidi kumsukumia msala mpenzi wake huyo, ambae ata yeye Kipanta alikuwa anajuwa fika, kuwa mapenzi yalisha isha, maana ukiachilia kuumaniwa pia walikuwa na muda mrefu wanaishi kama kaka na dada.


Naam insp aliandika kwenye note book yake kisha aka mtazama Kipanta, “ok! bwana Kipanta, umesema una mtilia mashaka Rose, na siyo mtu mwingine, je zaidi ya uliyo ya sema, juu ya wasi wasi wako kwa Rose, je una kigezo kingine cha kumshuku Rose kuwa alikuwekea dawa kwenye kinywaji?” aliuliza insp ambae kiukweli kabisa, ilo ndilo swali ambalo kila mmoja alikuwa analingejea, ata kama ni mahakamani lazima wange uliza, hapo Kipanta ndipo alipo gundua, kuwa licha ya kumsingizia Rose, lakini akujiandaa kwa swali ilo, “kivipi bwana polisi, wakati nimesha sema mtuhumiwa wangu ndi Rose?” aliuliza Kipanta kwa jazba, “kuna mambo ambayo popote utatakiwa kueleza, maana kufumaniwa na Rose, siyo sababu ya Rose kukufanyia hivyo, mfano, kuna mwingine anaweza kuwa na machungu zaidi ya Rose, kumbuka una mke, na watoto, ambao sizani kama wameipokea vizuri taalifa ya wewe kufumaniwa na hawara ukiwa na hawara” aliongea yule insp kwa sauti tulivu, nay a upole, hapo Kipanta akashusha pumzi kidogo, nikama alikuwa anashusha jazba, japo uso wake ulionekana kuwa amejawa na hasira, “afande nazani mmesha anza kumtetea huyu mshenzi, napengine mnaweza kuacha kumkamata, mpaka amalize ela zangu kwenye account, mimi nasema ni yeye ndie alie fanya hivyo” alisema Kipanta kwa msisitizo, “lakini bwana Kipanta ujajibu swali, maana jibu lako ndilo litakalo kusaidia, kupata vitu vyako, na kuhusu Rose tayari yupo chini ya ulinzi, hivyo basi naomba unieleze, ushaidi wa kimatukio, maana hapo umemshuku” alisema insp kwa sauti ile ile tulivu, “nasema hivyo ni nanauhakika, sababu alikuja pale na kugusa gusa vinywaji vyetu, sababu nilikuwa nime lewa sikuona kama ameweka kitu” alisema Kipanta, kwa sauti ya jazba, kisha insp akatabasamu, “nazani utayakumbuka maelezo ayo mbele ya mahakama, nikutakie upumzike salama, mpaka madoctor watakapo kuruhusu, utoke hapa hospital, tuna fanya juhudi za kumtafuta mke tumjulishe juu ya hili” alisema insp na hapo Kipanta akapinga vikari sana, juu ya kutaalifiwa mke wake, “nazani mke wangu ilo alimuhusu kabisa, achananeni nae, nita mweleza mwenyewe” alisema Kipanta na insp akatoka zake, pamoja na nurse na wale askari wawili, kipnta akiwasindikiza kwa macho, wakitokomea kolidoni, pasipo kujuwa kuwa wanaenda kwa Matrida, kuuliza maswali kama aliyo ulizwa yeye.*******


Naam shambani nako mambo yalikuwa moto moto, mwanamama Stellah alijiona kama amevunja ungo siku chache zilizo pita, maana siyo kwa kufaidi dudu alivyo kuwa anafaidi, ilifikia kipindi alimweleza wazi kijana mdogo Pross jinsi anavyo jisikia wakati wa kupeana dudu, “yani Pross mwenzio najisikia utamu mpaka natamani tuwe tunafanya kila siku” alijieleza Stellah, yani mke wa kipanta, wakati wakiwa bado wamekaa nje ya kibanda cha Pross, chini ya mti, juu ya mkeka, pembezoni mwa moto, Pross, akiwa bado amelaza kichwa kwenye mapaja manene ya Stellah, alie kuwa amevalia kitenge cha kujifunga kifuani ambacho kilishindwa kuifadhi vizuri mapaja manenen ya mama huyu, aliekaa huku ameegemea gogo, kila mmoja akiwa na Grass yake ya wine mkononi, “hivi mume wako akijuwa kama umefanya hivi, si ataniuwa?” aliuliza Pross ambae alikuwa amevalia kibukta pekee, ambacho muda mwingi kilishindwa kuizuwia dudu yake isionekane ilivyo simama, “sina mume” alisema Stellah, huku anacheka cheka, wakati huo mkono wake wakushoto ulikuwa una tembea tembea kwenye tumbo wazi la kijana Pross, na kumfanya azidi kusisimkwa, “mhhh! we muongo, na wele watoto umewapataje?” aliuliza Pross kwa mshangao, Stellah akacheka kidogo, “sasa kama nikiwa na mume kwani wewe ujisikii utamu?” aliuliza Stellah, kama vile anatania, huku mkono wake akiupeleka kwenye bukta ya Pross na kupapasa dudu kwa juu, “atakama nasikia, lakini akitukuta tutafanyaje?” aliuliza Pross, ungesema anafahamu kuwa huyu mwana mama ni mke wa Kipanta, yani hawara wa boss wake Rose, “wala usiwe na wasi wasi, mume wangu alisha toweka siku nyingi, ameniacha mimi na watoto” alisema Rose bila kufafanua, huku akiamisha mkono wake toka juu ya bukta, na kupenyeza ndani ya bukta ya Pross, na kuikamata dudu iliyo simama kweli kweli, “lakini akuwafi kunifanya kama unavyo nifanya wewe, mpaka nime kujoa mala nyingi” alisema Stellah huku aanza kuichezea dudu taratibu, “mh unajuwa bado najiuliza kwanini amekuacha mwanamke mzuri kama wewe?” aliuliza Pross, huku akiusikilizia mkono wa stellah uliokuwa unaendelea kuchezea dudu yake ndani ya bukta, “ndiyo ujiulize sasa, pengine aliwafwata waschana warembo zaidi” alisema Stellah, ambae sasa aliona kama vile bukta ya Pross inamzuwia kuichezea dudu vizuri, hivyo akaipeke nyua na kuitoa dudu, ambayo sasa aliweza kuiona ilivyo simama, “mhh! we mtoto utaniuwa kwa utamu” alisema Stellah huku ana achia dudu Pross na kumtoa Pross mapajani mwake, kisha akasimama akimwacha Pross amelala chali, alau aka enda kuchuchumaa akimweka Pross katikati yake, kama vile anataka kujisaidia, akiile nga usawa wa dudu, hapo akaishika dudu ya Pross yeye mwenyewe, na kuilengesha kwenye kitumbua, alafu aka ichezeshachezesha, kwa kuiparuza kwenye kitumbua chake, kwa kurudia rudia, mala kadhaa, huku kichwa cha dudu iliyo simama na kuwa ngumu, kikiparuza kuanzia kwenye uswa wa tobo la kuingilia ndani, ikipita kwenye mashavu ya kitumbua, mpaka kwenye kunde, alifanya hivyo stellah, huku akihisi msisimko flani, mtamu sana, mpaka alipoakikisha bakuli lake lime lowa ute ute, akalengesha dudu kwenye kwenye mlango wa kitumbua, na kujishusha chini taratibu, dudu ikiteleza ndani, mpaka alipoona kipimo kime fikia pazuri, ndipo alipo anza kuchezea kichura chura, huku Pross akipeleka mkono kwenye manyonyo ya mwana mama huyu, na kuminya chuchu kwa ncha za vidole vyake, wakati huo kiuno chake kikiendeleae kufwata mapigo ya kichura chura cha Stellah, yani pale Stellah alipo panda juu yeye alishuka chini, na Stellah alipo shuka chini, yeye pia alipanda juu, na viungo vyao vya uzazi vikikutana katikati.********


Yap! insp na wenzake wakiongozwa na yule Nurse, walielekea kwenye ward namba 4, ya flow ya pili, ya hospital ya mhuhimbili, tawi la mloganzila, ambako walimkuta mschana Matrida akiwa amelala, kitandani macho ameyaelekeza juu, kama vile kuna kitu alikuwa anakitazama, au alikuwa anakosoa ujenzi wa wakorea walio jenga lile jengo, na alipo waona tu akaonekana kustuka, “shikamoni” alisalimia Matrida huku anatetemeka, “marahaba Matrida, naomba punguza wasi wasi, sisi tupo hapa kukusaidia” alisema insp, kwa sauti ya upole na utulivu, Matrida akaitikia kwa kichwa.


Hapo insp akajitambulisha, na kueleza lengo lake la kuja pale hospital, “Matrida unaweza kutueleza ilikuwaje, mpaka umejikuta hupo hapa?” aliuliza insp, ambae alikuwa ameshika kijitabu chake na karamu mkononi, hapo Matrida akaanzza kueleza kuanzia alipo itwa na Kipanta kule kituoni kiluvya, yani siku moja kabla ya tukio, na kueleza jinsi alivyo mkuta mke wa Kipanta, pale kituoni, na yeye kuondoka na Kipanta, wakimwacha mke wa Kipanta anatokwa machozi.


Matrida akaeleza jinsi walivyoenda mbezi, kuchukuwa chumba makuti bar, na kulala pale, mpaka asubuhi walipo fumaniwa na Rose, ambae aliondoka zake, kisha wao kuhama na kwenda Luguruni, ambako walishinda kutwa nzima wakinywa pombe, “tuka toka pale nje salama kabisa, ile kuingia ndani na kuanza tena kunywa pombe, ndipo nilipo shangaa kuona, naanza kulegea, alafu nikaona giza, nakuja kuzinduka nipo hapa hospital” Matrida alimaliza kusimulia, huku akitokwa na machozi, sambamba na kilio cha kwi kwi, “pole sana dada yangu, kwa kifupi Matrida mliwekewa dawa za kulevya kwenye vinywaji mlivyo kuwa mnatumia, je una hisi ni nani alie wawekea dawa hizo?” aliuliza insp kwa sauti tulivu, kama kawaida yake, “kwakweli ata sijuwi, mi naona hii ni lahana, sijuwi kwanini nilishawishika kutembea na mwanaume wa rafiki yangu” alisema Matrida uku akiendeleea kulia chini chini, “lakini mtu alie wawekea alikuwa anasababu zake, pengine ni adui yenu, au wa mpenzi wako au adui yako, uwezi kukumbuka mtu ambae aliwavamia chumbani, na kugusa vinywaji vyenu?” aliuliza insp mbae muda wote alikuwa analinganisha majibu ya Kipanta, na ya Matrida, kwakweli sikumwona mtu yoyote alie vamia chumbani, zaidi ya mdada alie kuwa anatuhudumia, ndie alie tuhudumia, toka asubuhi mpaka tunaingia chumbani, yeye ndie alie tubebea vinywaji vyetu” alijibu Matrida, hapo insp akawatazama wenzake, kabla ya kuandika maneno yale kwenye note book, kisha akamtazama Matrida, “ukimwona huyo mhudumu uta mkumbuka?” aliuliza insp, kwa sauti ya upole, “nita mkumbuka, sababu yeye ndie alie kuwepo muda wote anatuhudumia, na ata wenzake walipo maliza muda wao, yeye aliendelea kutu hudumia” alisema Matrida na insp aliandika kile alicho eleza matrida, kisha akamgeukia tena, “Matrida, uwezi kufikilia kuwa rafiki yako Rose, ndie alie wafanyia kitendo hiki?” aliuliza insp akimkazia macho Matrida, “mhhh! hapana Rose sizani kama anaweza kufanya hivi, kwanza yeye alikuwa anaonyesha amesha mchoka Kipanta, maana ata akutaka kwenda kumlipia ela kule kituoni iliatoke” alisema Matrida kwa sauti iliyo onyesha kuwa alikuwa na uhakika na anacho kisema, hapo akari wale wakatazama na kupeana ishara kama ya kukonyezana, kwa vichwa, insp akaandika na alipomaliza akamtazama tena Matrida, “ok! dada Matrida, kabla atuja kuacha upumzike labda nikuulize swali la mwisho, Rose alipo wavamia pale Luguruni guest House, alifanya nini na ilikuwa saangapi?” aliuliza insp kwa sauti tulivu, huku wote mle ndani wakimtazama Matrida………




Wakigojea jibu lake, ambalo lilikuwa na maana kubwa sana kwa Rose, ambae mpaka sasa alikuwa mahabusu, “siyo Luguruni, Rose alitufumania Makuti kule mbezi, ana aliondoka bila kufanya fujo yoyote” alisema Matrida, pasipo kujuwa kuwa amepishana maelezo kwa kiasikikubwa na mpanzi wake Kipanta.


Hapo insp akaaga na kuondoka zake akiongozana na askari wake na Nurse, ambae alionywa kuwa asije akaongea lolote kwa Matrida wala Kipanta. *******

INAENDELEA

Post a Comment

0 Comments