Ticker

6/recent/ticker-posts

Ad Code

Responsive Advertisement

Chombezo: Kitumbua Cha Nani Sehemu Ya Tisa (09)



Naam wakati mama huyu mwenye uzuri wake na umbo la kuvutia, akiwa anataka kuingia barabara kuu, mala akaliona gari lina kuja, likitokea kule anako elekea yeye, hivyo akaona itakuwa busara kama ata lingojea, lipite kisha yeye aingie barabarani, na lilipo karibia akaona lina onyeha inducator, ya kuingia kule anakotokea yeye, lilikuwa ni Toyota alphad, lenye upya wake, na wakati lina pita pembeni yake upande wa kulia kwake, akamtazama dereva wa gari lile, japo gari lilikuwa na tinted lakini kwa kupitia kioo cha mbele aliweza kuona kuwa, dereva alikuwa ni mschana mdogo, na mrembo, japo alionekana akuwa amejiweka vipodozi usoni kwake, japo alionekana kujawa na furaha usoni kwake, nikama sura yake aikuwa ngeni kwake, ilo akulijari sana, “mabinti wadogo wanaendesha magari mazuri, sisi wenye waume wenye elea tunaangaika” aliwaza Stellah, huku anakanyaga mafuta, kuingia barabara kuu, na kuelekea kule lilikotokea lile gari, “alafu nime kumbuka” aliwaza Stellah huku ana papasa kwenye dash board na kutoa simu yake, “sitaki usumbufu wowote, toka kwa watu” alisema Stellah huku ana zima simu yake, na kuiweka tena kwenye dash board, huku ana endelea na safari yake, ambayo alikuwa amebakiza mita chache, kuingia eneo ambalo, toka jana aliona kuwa siku ichelewa.*******

Polisi walipotoka pale hospital ya muhimbili ya Mloganzila, wakarudi tena kule luguruni, safari hii wakiwa na maswali mapya kwa wahudumu, moja wapo likiwa ni watu walio kuwa pamoja na wakina Kipanta, mhudumu alie wahudumia vinywaji na mhudumu alie wahudumia chakula, aliletwa mtu wajikoni, na pia akaletwa Sinder, huku kila mmoja akihojiwa kwa wakati wake, lengo alikuwa mhudumu wa chakula, sababu vipimo vinaonyesha kuwa, sumu ilikuwa kwenye kinywaji, “tume ambiwa kuwa wewe ndie ulikuwa una wahudumia wale watu wawili, ebu tueleze uliweka nini kwenye vinywaji vyao” aliuliza mmoja wa askari waliokuwa wanamhoji Sinder, na hapo Sinder akiwa amesha ona habari za kwenye mitandao, zinazo mshuku Rose kuwa ame wafanyizia wakina Kipanta, “kwakweli mimi nilikuwa na chukuwa vinywaji na kuwafungulia mbele yao, sijuwi ata kama kuna kitu waliwekewa” alijibu Sinder kwa sauti ambayo kwa haraka haraka, ungesema huyu binti ni mtoto wa mchungaji, “ebu tueleze kama siyo wewe ata kuwa nani?” naam ilo swali la polisi, ndilo ambalo Sinder alikuwa analisbiri kwa hamu kubwa, “labda kuna dada mmoja hivi, nilipo kuwa natoka kuwapelekea vinywaji nilimwona ana ingia chumbani kwao, na wao wakamfungulia mlango” alisema Sinder kwa sauti ile ile ambayo atakama unge kuwa ni wewe lazima unge amini kila anachoongea, “huyo dada ni mhudumu wa hapa au?” aliuliza mmoja kati ya wale polisi waliokuwa wana mhoji, “hapana siyo mhudumu, ata mimi simjuwi, ila wanaonekana kuwa wanafahamiana na wale wateja, maana walipoingia niliona kama wana laumiana, kuwa anamthaliti” mpaka hapo Sinder akawa amaesha washa sigara kwenye kituo cha mafuta, maana wale askari wakatazamana…….


Nikama walikuwa wanaulizana, ya hapo waka hoji maswali amawili amatatu na kuondoka zao, wakirudi kituoni, ili wajipange na kuanza kumsaka huyo mwanamke, pamoja na ndugu wa wale watu wawili yani Kipanta na Matrida.*******

Mwingine alie ipata habari ya Kipanta na Matrida, huku shutuma zikienda kwa Rose, ni mwana dada Joyce ambae mida hii ndio kwanza ana hamka ndani ya chumba chake, hii ni kutokana na uchovu wa kuchelewa kulala usiku, akinywa pombe na mpenzi wake, mala kupeana dudu, huku ikiwalazimu kuhamka mapema, ili awaku kumsindikiza mpenzi wake huyu stendi, ambae alikuwa anasafiri kuelekea mbeya anako fanyia kazi, Joyce alihamashwa na njaa kali, iliyo kuwa inamchamanda, tumboni mwake, akaingia bafuni kumwaga kojo la pombe na kurudi chumbani ambako moja kwa moja, aliangalia simu yake kwa lengo la kujuwa muda, ilikuwa ni saa tano kasoro, lakini licha ya kuona muda, pia mwana dada huyu, alikuta notification na missed call kadhaa, juu ya kioo cha simu yake, nyingi zikiwa ni sms za whatsaap, na akatazama zile missed call mbili zilikuwa za manager wao, yani wa NMB tawi la Kibaha, “ananini huyu nae” aliwaza Joyce huku anashusha macho kutazama messed cali nyingine, ilikuwa ni ya mpenzi wake ambae muda mfupi uliopita alikuwa ametoka kumpeleka stendi, na kuhakikisha amesha panda basi, Joyce akatabasamu, “ume data, si unioe basi” aliwaza huku anatabasamu, na kuibofya ile namba, kwa kuipiga, lakini kabla aijapigika vizuri, akatuka akiipokea simu ya ambayo ilikuwa inaingia kwenye simu yake, akaipokea haraka bila kuangalia mpigaji, maana wazo lake lilimtuma kuwa ni mpenzi wake, aliepo safarini, “hallow” aliita Joyce, kwa sauti tulivu na legevu, lakini alikutana na sauti ya kusha pumzi nzito, “Joyce ebu niambie, imekuwa mpaka mna fanyiana michezo mibaya kama hii?” sauti iliyo uliza swali ilo, ilimfanya Joyce ashtuke na kuitazama simu yake kwa lengo la kutazama mpigaji, alikuwa ni manager, “michezo gani boss, au Matrida kufumaniwa na Rose?” aliuliza Joyce kwa mshangao, maana siyo kawaida manager wa benk kuulizia, maswala binafsi kama yale, unaliona dogo, wakati atujuwi kama amewapasumu gani, atujuwi kama watapona au watakufa wewe unaona hayo ni madogo?” aliuliza Manager na kumstua Jiyce ambae akuwa na habari ya kilicho tokeza usiku wa jana, “sumu, amewawekea sumu kivipi?” aliuliza Joyce kwa mshangao, “inamaana ujuwi lolote, juu ya Matrida kupewa sumu na Rose?” aliuliza manager kwa mshangao, “mungu wangu, inawezekana vipi, Rose kufanya kitu kama hicho, mbona jana akuonyesha kuchukizwaka lolote juu ya ilo” alisema Joyce kwa mshangao na bumbuwazi, kisha akakata simu na kupiga kwa Rose pasipo kujari kuwa pegine boss wake bado alikuwa anaitaji kuongea nae.

Simu ya Rose akupatikana, kwa mana kama siyo kuzimwa basi aikuwa kwenye eneo lenye net work, “au amesha kamatwa, kwanini Rose ukafanya kitu cha kikatili kama hiki” aliwaza Joyce, huku anabofya kwenye upande wa whatsaap ilikuona kama kuna ujumbe unao usiana na habari hiyo.

Naam ukweli ni kwamba huko ndiko aliko changanyikiwa Joyce, maana alitumiwa video nyingi zinazo fanana, zikiwaonyesha Kipanta na rafiki yao Matrida wakiwa wamelala uchi wa mnyama, huku povu zikiwatoka midomoni, “maskini Mat, nini kilikutuma uchukuwe bwana we mwenzio jamani” alisikitika Joyce, ambae ata ule uchovu na njaa, vilimwishia, hapo aka onelea aingie bafuni kuoga, ili aende nyumbani kwa Rose, kujuwa kwanini aliamua kuchukuwa maamuzi makubwa kama yale.*****

Naam baada ya kuiacha barabara ya Manelomango, na kuikamata barabara ya kiluvya madukani, huku akipishana na gari dogo,ambalo akujiangaisha kumtazama mmilikiwake, mschana mrembo Rose mary, aliendesha gari lake taratibu, huku aki vuta picha na kumbukumbu ya matukio ya siku ya jana, japo kulikuwa na baadhi ya matukio ambayo, kiukweli ayakumpendeza, asa lile la rafiki yake Matrida kutembea na Kipanta, lakini tukio ilo, lilimezwa na tukio tamu la, kuwa pamoja na kijana Pross, “utazani Pross ameniloga, yani sizani kama leo nitakuwa tayari kulala mwenyewe, naweza kwenda kulala shamba alafu nika hamka mapema, kuwa nyumbani kubadiri nguo, niende kazini” aliwaza Rose, ambae alijikuta anazidi kumpenda Pross, “au nitaenda kumchukuwa alafu nina lala nae hapa nyumbani, kisha kesho wakati naenda kazini, namchukulia boda boda imrudishe” aliwaza tena Rose, ambae akakumbuka kosa alilo lifanya, “alafu katika wajinga, mimi ni mjinga sana, yani sija chukuwa namba ya Pross, alisema Rose huku anapapasa kuitafuta simu yake, na kuikuta kwenye kibegi chake, akikumbuka kuwa akuwa ametumia toka jana jioni, hivyo akupigiwa wala kupiga.

Rose akaitoa simu na kuitazama, akabofya kidogo, ili kuona kama kuna missed call au sms, lakini simu aikuwaka, hapo akagundua kuwa simu hii ilikuwa imesima chaji, “ndio maana” alisema Rose huku anaweka gari pembeni na kuichiomeka, kwenye chaja iliyo wekwa mlendani ya gari, kwenye mp 3, kisha akaendelea na safari.*******

Naam polisi, nao walizipata zile video zenye habari inayo muusisha Rose moja kwa moja, na tukio la wakina Kipanta, hapo wakaanza uchunguzi, wa sehemu ambayo anapatikana mschana huyu mrembo, ambae ni mfanya kazi wa benk, “wanapigania fedha tu, akuna lolote, unazani mzee kama huyu ana wapa mambo kama inavyo stahili?” alisema polisi mmoja wakati wakiwa njiani wanaelekea nyummbani kwa manager wa benk hiyo, anae ishi kibaha kwa enginear .

Aikuwa kazi ngumu kumpata manager, ambae aliamua kuwaongoza kwa mschana huyu, huko kibamba njia panda ya shule, huku moyoni mwake akisikitika kwa tukio lililo tokea.******

Naam baada ya mume wake bwana Mauricio Fernandez, kurudi nyumbani, Adellah ali mweleza kila kitu, kama kilivyo jili kwenye mitandao, ya kijamii, juu ya Rose, ukweli habari hii ilimsikitisha sana, bwana Mauricio, huku yeye na mke wake wakiamini kuwa Rose ameyafanya hayo kwa kulipiza kisasi, na siyo wivu wa mapenzi, “nazani, itakuwa muhimu tukienda wote, hivyo tuondoke kesho jioni, ili kesho mapema, nikaombe mapumziko ya week mbili, kisha twende Tanzania” alishauri Mauricio, yani shemeji yake Rose, sababu leo ilikuwa ni boxing day, hivyo singeweza kuomba luksa.******

Mida hii akiwa ajuwi wala na akuwa na sababu ya kujuwa kinachoendelea, huko mjini, Pross akiwa amevalia kijibukta, huku kifua kikiwa wazi, kwa maana akuvaa shati, alikuwa anafanya usafi wa chumba chacke, na mazingira yanayo izunguka ile nyumba, ni baada ya kuona kuwa inabaraka ya kutembelewa na wageni mbali mbali, juzi alikuja mwanamama Stellah, na akalala, jana mwana dadaRose boss wake, ambae sasa ni mpenzi wake, na akalala mle ndani wakifanya waliyo yafanya.

Pross alifanya usafi huku kichwani kwake ikimjia picha ya tukio la jana usiku, na leo asubuhi, la kula kitumbua cha boss wake, wakati mingine alikumbuka juzi jioni, alivyoweza kuona mtuno wa kitumbua, cha mwanamama Stellah, ambae alivalia kile kinguo chake, cha hatari, “mh! kumbe nisinge ondoka kitandani, pengine na yeye angenipa” aliwaza Pross, akiendelea kufanya usafi, huku sufuria la mihogo likiendelea kuchemka jikoni, “lakini yule mwana mama mkubwa sana, awezi kunipa pengine alifanya vile kwaajili ya pombe tu!” aliwaza Pross, ambae anakumbuka jinsi Stellah, alivyo kuwa ana mkubatia kumbatia, na mwisho kujikuta wakiwa kitandani pamoja, nayeye kuamua kumwachia kitanda kwa heshima.

Pross akiwa ama malizia kufanya usafi mala akasikia muungurumo wa gari, na alipo tazama kwenye njia ya kuingilia pale shambani, akashangaa kuliona gari la yule mwana mama, mwanzo alizania kuwa ni wenge lake, lakini lile gari lilipo fika na kusimama pale lilipo simama juzi, na kumwona mwanamama anashuka huku akiwa ameachia tabasamu pana, ndipo Pross alipo alipogundua kuwa ni kweli kabisa mama huyu amekuja tena, alafu leo mavazi yake nikama alikuwa nje ya nyumba yake, ukiachilia gauni la mikanda mabegani, ambalo akujuwa urefu wake, huku chini alijifunga kitenge, tu, ambacho kili kaa vizuri, kikilemewa na hips, na maalio mapana ya mama huyu, “jamani Pross mbona unanishangaa baba, njoo basi unipokee basi” aliongea stellah kwa sauti ya kudeka, huku anafungua mlango wanyuma na kuanza kushusha mazaga zaga, yakiwemo yale mahot pot, na box la wine lenye vyupa sita.

Sijuwi sababu alisha onja kitumbua, maana Pross kwa mwonekano wa Stellah, aliunga nisha na picha ya juzi ya mtuno wa kitumbua, na picha ya jana ya kuingiza dudu Kwenye kitumbua cha Rose, hapo dudu ika stuka na kututumka, ikiinua bukta aliyo kuwa ameivaa, “shikamoo mama” alisalimia Pross, akiwa amesha msogelea Stellah, pale kwenye gari, “marahaba mwanangu, za toka jana” aliitikia Stellah, huku akipeleka macho yake kwenye bukta ya Pross, na kuona jinsi kijana huyu, alivyo simamisha mnazi, “nzuri, naona mme faidi sikukuu” alisema Pross, kwa sauti iliyo jaa uchangamfu, akijitaidi kupotezea mawazo, ya msambwanda na hips, huku ana chukuwa hot pot tayari kuzipeleka ndani, “nifaidi wapi, wakati nilikuwa mwenyewe, mpaka nikatamani kama ninge kuwa huku” alisema Stellah, japo kauri hii ilimshangaza kidogo, Pross, lakini akaipotezea, “kwani wale watoto wako awapo” aliuliza Pross, huku anaelekea ndani, akimwacha Stellah ana malizia kushusha mizigo, “hii sikukuambia, wameenda bagamoyo kwenye Chriss mass, wanarudi kesho kutwa” alisema Stellah, huku Pross akiingia ndani, ambako aliweka zile hot pot, na kujitazama jinsi dudu inavyo muumbua, kweli ilikuwa imesimama, barabara, na ukizingatia ndani akuvaa boxer, ilikuwa ni baraha, “mh! nitaonekana mtoto mbaya, ngoja nivae suruali” alijisemea Pross, ambae alitazama kwenye nguzo moja ya mbao, aliyo gonga misumari, maalumu kwa kutundukia nguo, akaona jinsi na boxer, aka vua haraka ile bukta na kuchukuwa ile boxer, huku bado dudu imesimama kweli kweli, “hooo baba kumbe unavaa?” Pross alishtuliwa na sauti ya Stellah, na kwabahati mbaya, akageuka kutazama kule upande wa mlangoni ilikotokea sauti, na macho yake yakakutana na Stellah, alie kuwa amebeba , cartoon la maji ya kunywa, ambae macho yake yalikuwa yanaitazama dudu ya kijana huyu, ambayo kiukweli bado ilikuwa imesimama kweli kweli.*******

Joyce baada ya kumaliza kuoga, alivaa kikawaida tu, yani kijigauni simple sendo za kawaida, akajifunga na kitenge, akachukuwa simu yake na kuelekea kwa Rose, ambapo ni mwendo wa dakika kumi mpaka kumi na tano, kwa miguu, “jamani Rose baraha gani hili, wakijuwa polisi si utakamatwa wewe, aliwaza Joyce huku anatembea kuelekea kwa Rose, na ata alipofika, akuliona gari la Rose, na milango ilikuwa imefungwa, pale nje lilikuwepo gari la Kipanta, Toyota IST, akajaribu kugonga mlango, lakini akukuwa na dalili ya kuitikiwa, hapo akaamua kurudi kwake, akiwa na hisia kuwa pengine Rose amesha kamatwa na pilisi, maana ata simu yake aikuwa inapatikana, safari hii aliamua kupita njia ya mkato.

Naam ile anakaribia barabara kubwa ya vumbi, mala akaliona gari la Rose lina kata kona kuelekea, kuelekea nyumbani kwa Rose mwenyewe, akuwa na uwezo kulikimbilia, hivyo akuwa na namna zaidi ya kurudi tena kwa miguu, lakini akufika mbali, akaliona gari la polisi, likuwa na polisi wanne nyuma yake, likielekea kule kule kwa Rose, “mungu wangu, Rose anakamatwa” alisema Joyce, akitamani kukimbia ili akashuhudie mwenzie anapatwa na nini……….



Lakini ilikuwa ngumu kwake, asingeweze kwenda na kasi ya defender la polisi, lakini aikumfanya kukata tamaha, aliongeza kasi ya kuelekea kwa rafiki yake, maana hakilii mwake aikumwingia kabisa, kuwa yeye ndie alie wawekea sumu wakina Matrida, kwa sababu wamemthaliti.

Lakini basi, wakati Joyce anakaribia kuifikia nyumba ya Rose, ambayo ukiiona kwa haraka ungesema kuwa mwana dada huyu, pengine anakaa kwa wazazi au ndugu ambao wanafedha nyingi, na siyo nyumba yake, kwa jinsi ilivyo kuwa ya kifahari, na kubwa sana, ikipambwa kwa viji gae na mauwa kwenye eneo la kuzunguka nyumba yote, Joyce aliweza kuliona gari la polisi, likiondoka nyumba ni kwa Rose huku Rose akiwa amebebwa nyuma ya gari lile, huku mikono yake ime valiswa pingu, na polisi, wenye silaha, wame mzunguka, muda wote Rose akionekana kushangazwa na tukio lile, huku akilia na kuomboleza, japo Joyce akuweza kuyasikia maneno ya Rose, lakini isinge kuwa vingumu kutambua kuwa alikuwa anakataa kuwa siyo yeye alie fanya jambo ilo.******

“hooo baba kumbe unavaa?” Pross alishtuliwa na sauti ya Stellah, na kwabahati mbaya, akageuka kutazama kule upande wa mlangoni ilikotokea sauti, na macho yake yakakutana na Stellah, alie kuwa amebeba , cartoon la maji ya kunywa, ambae macho yake yalikuwa yanaitazama dudu ya kijana huyu, ambayo kiukweli bado ilikuwa imesimama kweli kweli.

Pross aligeuka haraka kuificha dudu yake, akishindwa kujibu swali la kipuuzi la stellah, ambae aliweka chini cartoon la maji, na kutoka mle chumbani akimwacha Pross peke yake, huku picha ya dudu ya Pross ikimjia kichwani, “mh! kijana huyu anamakubwa, utazania mtu mzima” aliwaza Stellah, huku anaelekea kwenye gari, “alafu anasema ajawai kulala na mwanamke, ni kweli au anatania?” alijiuliza stellah, ambae kiukweli licha ya kusumbuliwa sana na mume wake, lakini akiwai kufikilia kumthaliti mume wake huyo, kitu ambacho kilimsababishia akae muda mrefu bila kuonja dudu.

Wakati mwana mama huyu, ambae licha ya kuwa na miaka yake thelathini na tisa, lakini alikuwa na uzuri wake, wa kuvutia na kutamanisha, akiwa amesimama pembeni ya gari lake, ana msubiri kijana Pross amalize kubadiri nguo, waje wasaidiane, kumalizia mizigo, iliyobakia kwenye gari, ika mjia kumbukumbu, ya tukio la mbezi, ambapo alimwona mume wake akiwa na wadada watatu, na kumfukuza yeye kama hamjuwi, “alafu naenda kumtoa polisi, anaondoka na mwanamke mwingine, kweli huyu mwanaume anaroho ngumu sana” aliwaza Stellah, na wakati huo huo akamwona Pross anatoka kwenye kile kibanda, huku akiwa amejawa na aibu, ya kufumaniwa akiwa uchi, “usione aibu Pross, ni kama ajari tu, alafu mwana ume kuwa uchi mbele ya mwanamke ni kawaida” alisema Stellah huku anatabasamu, na Pross akatabasamu kwa aibu.*****

Aya sasa, Rose alifikishwa ndani ya kituo cha polisi, na kuingizwa kwenye chumba cha mahojiano, akiwa bado na pingu mkononi , wakamkalisha kwenye kiti kimoja cha mbao, mbele ya meza kubwa, ambayo nyuma yake kulikuwa na kiti kingine cha mbao, officer chair, hapo wale askari walio mleta wakatoka, wakaingia askari wawili, wenye miili mikubwa walio ziba nyuso zao, kwa kofia nyeusi za sox, zilizo achia macho na midomo tu! ambao walipoingia awakuongea kitu, wakasimama nyuma ya kiti alicho kalia, Rose, ambae alikuwa anatetemeka kwa uoga, mmoja akisimama kushoto mmoja kulia, huku mikononi mwao, wakiwa wameshikilia marugu makubwa meusi, yenye vishikio, vya mikanda, mavazi yao yalikuwa ni buti nyeusi, suruali za kaki, yani sale za polisi, juu tishet nyeusi, zenye maandishi meupe, yaliyoandikwa POLICE.

Naam, mlango, ukafunguliwa, akaingia mtu mmoja mwaume, alie valia sale za polisi, na mabegani mwao, akiwa ametundika vyeo vya nyota mbili, kila upande, “binti, tunaomba ujibu maswali yetu kama tunavyo kuuliza, ilikuokoa muda” alisema yule nyota mbili, huku anakaa kenye kiti cha mbele ya meza, hapo Rose akaitikia kwa kichwa kukubariana nae, “ok! nazani unafahamu kwanini hupo hapa?” aliuliza yule insp, wa polisi, “nime ambiwa kuwa natuhumiwa kwa kuwa wekea wakina Matrida sumu kwenye vinywaji, lakini…” alijibu Rose na kutakuongeza neno, lakini akawaiwa kwakofi moja zito la mgongoni, “wewe umeambiwa ujibu uncho ulizwa” alisema mmoja kati ya zile njemba, zilizo kuwa zime simama nyuma yake, na ndie alie mshindilia Rose Kofi la mgongoni, “mhhhhh! na kufaaaa” aliongea Rose kwa sauti ya shida, ungesema ameosa pumzi, huku akiwa amejikunja , na kushindwa kujikuna mgongoni, maana alikuwa amefungwa pingu, mikononi mwake “ok! kwanini umefanya kitendo hicho cha kinyama?” aliuliza yule insp, hapo Rose akawatazama wale walio simama nyuma yake, kwa uoga, akiofia kuongea, wasije waka mtandika tena, na kweli lilikuwa kosa kama ucheleweshaji wajibu, hapo hapo mmoja kati ya wale wawili akainua mkono, tayari kuushuaha tena mgongoni kwa Rose, na kumfanya Rose afumbe macho, kwa uoga akisikisubiria kofi lituwe mgongoni, lakini akaona kimya, na ile kufumbua macho, akaona kuwa yule alie kaa kwenye kiti, akiwa amenyoosha mkono kuwazuwia, wasi mpige, “ok nijibu binti, ni kitu kani kilicho sababisha ufanye ukatili kama huo” aliuliza tena yule jamaa, mwenye nyota mbili, “kaka polisi, ukweli mimi ata sijuwi kama wakina Matrida wamewekewa sumu, nilipo wafumania mimi nikaenda zangu shamba, pale mliponikuta ndio nilikuwa nafika toka shamba” alisema Rose huku sauti yake ya kutia huruma ikiambatana na kilio cha chini chini, “unataka kusema yule mzee ni mume wako?” aliuliza insp kwa mshangao, hapo Rose akatazama chini, “hapana kaka Polisi, yule mpenzi wangu, lakini yeye anafamilia yake” alijibu Rose, na hapo maswali mengine yakaendelea, kama vile, “pale nyumbani unaishi kwa wazazi, au ndugu?” aliuliza yule insp, “hapana pale na kaa mwenyewe, ila siku moja moja uwa anakujaga Kipanta” alisema Rose ambae sasa alipunguza kulia kulia, “inamaana ile nyumba ni ya kwako?” aliuliza yule insp kwa mshangao, akiacha kuandika na kumtazama Rose usoni, Rose akaitilkia kwa kichwa, hapo yule insp akainamisha kichwa chini kwa sekunde kadhaa, kisha akainua kichwa na kumtazama Rose, “sasa mschana mzuri kama wewe, una kazi nzuri, kwanini unatembea na wazee kama awa, tena wanafamilia zao, mpaka yanakukuta majanga kama aya?” aliuliza yule insp wa polisi, kwa sauti iliyo jawa na simanzi, kaka afande ukweli nishetani tu alinipitia, na mwanzo sikujuwa kama ni mume wa mtu, maana alinidanganya ajaowa” alisema Rose kwa sauti ya kubembe leza, “ok! mke wake anaitwa nani na anaishi wapi” aliuliza insp na hapo Rose akaeleza kama anavyo mfahamu mwalimu Stellah, wa shule ya msingi luguruni, “sasa binti utakaa hapa chini ya ulinzi, kwaajili ya usalama wako na kupisha uchunguzi, kikubwa ambacho unatakiwa kuomba, ni kwamba wale wagonjwa kule hospital wapone na waoe ushaidi wao kuwa siyo wewe ulie wafanyia hivyo” alisema insp, na baada ya hapo Rose aka chukuliwa na wale askari wawili wenye kujiziba uso, akapelekwa counte, ambako aliacha kila kitu alicho kuwa nacho, akibakia na nguo alizo vaa tu!.

Naam insp huyu, akatoa maelezo kwa askari wake kuwa, yeye pamoja nae, wanatakiwa kwenda kumtafuta mke wa bwana Kipanta, ili kumjulisha juu ya kilicho mpata mume wake na kumchukuwa maelezo kidogo, juu ya maisha ya mumewe na watu wanaomzunguka, ili kujuwa kama anamaadui, ambao pengine wanaweza kuwa ndio walio mfanyia hivyo.******

Akiwa ajuwi lolote kuhusu, kilicho mtokea mume wake, mwana mama Stellah, mida hii ya saa sita mchana, alikuwa amekaa kwenye mkeka, ameegemea gogo, pembeni ya kijana Prosper, chini ya mwembe mkubwa, pembeni ya kibanda cha mabati cha kijana Prosper, wakipulizwa na upepo mwanana, wakisikilizia utamu wa wine, waliyo kuwa wanaendelea kuinywa, taratibu, ni mala baada ya kumaliza kula pilau lililo andaliwa na mwanamama huyu, mwenye umbo la kuvutia, na kushawishi, kwa mambo ya chumbani, “hivi Pross uogopi kukaa peke yako hapa?” lilikuwa swali la kwanza toka kwa stella kwenda kwa Pross, ni baada ya kimya cha muda mrefu, “siogopi, nimesha zowea” alijibu Pross ambae sasa alikuwa anaelekea kuwa mnywaji wa pombe, maana alikunywa kwa mfulilizo, wa siku tatu.

Kikapita kimya cha muda mfupi, kama vile kila mmoja alikuwa anatafakari, sijuwi Pross alikuwa anatafakari nini, lakini mala kwa mala alikuwa anamtazama maam huyu, alie kuwa amekaa karibu yake upande wa kushoto, akimtazama maeneo ya mapaja na makalio, wakati mwingine akipandisha macho yake kwa wizi, mpaka eneo la kifua, la mama huyu, lililo jazia, na kufanya sehemu flani za maziwa ya mama huyu, yaonekane kwa nje, na kutengeneza picha ya kusimanzisha, yani kwa haraka unge sema ni makalio ya mwanadada mdogo mdogo, vitu vilivyo sababisha, dudu ya Pross izidi kusumbua, ndani ya suruali yake, na kutengeneza taswala, flani juu ya suruali ya kijana huyu, ungesema kuna lipanya, liliingia kwabahati mbaya ndani ya suruali ile, na kukosa sehemu ya kutokea.

Wakati huo huo, Stellah nae, yani mke wa bwana Kipanta, alikuwa anawaza yakwake, ikiwa anavuta picha ya jinsi alivyo iona dudu ya kijana huyu ilivyo shupaa, kwa kusimama, utazani kijana alikuwa mbele ya mwanamke alie uchi, “kana onyesha kana hamu kweli kweli, hapa kame niona nimevaa nguo, sasa nikikavulia, si kata kojolea kwenye mapaja, kabla akajaingiza?” aliwaza Stellah, huku ana tupa jicho la wizi, kwenye lisani la Pross na kuiona ile taswila, iliyo msisimua, maana ata yeye alikuwa ajapata dudu muda mrefu, na kuwakwake karibu na kijana huyu, kulimfanya kuamsha wadudu, waliokuwa wana mfanya ahisi kuna kitu kina mtekenya kwenye kunde yake ya kitumbuani, “mh! ebu kaone, si kana weza kubaka aka katoto” aliwaza Stellah, huku ana inua usowake na kumtazama Pross usoni, na kwa bahati mbaya, wakati huo, Pross nae alikuwa anaondoa macho yake kwenye kifua cha Stellah, na kupeleka usoni, wakajikuta macho yao yamekutana, wote wakatabasamu huku wakikwepesha macho yao, kwa aibu, “Pross mbona unanitazama sana?” aliuliza Stellah, huku akicheka cheka, “hapana, nakutazama tu!” alisema Pross, ambae kiukweli alikuwa anatathmini, umbo la mwanamama huyu, na lile alilowai kuliona live, la Rose, “unapo nitazama unanionaje, mimi mzuri hen?” aliuliza Stellah, huku akicheka cheka, “mzuri” alijibu Pross sauti yake ikikosa ujasiri, na kujikuta akiishia kucheka cheka, “kweli Pross, mmama kama mimi nawezake kuwa mzuri kwako” aliuliza Stellah, wakiendelea kunywa wine taratibu, huku upepo ukiendelea kuwapepea pale chini ya mwembe, “mzuri tu!” alijibu Pross, ambae alionekana kujawa na kijiaibu flani, “kwahiyo unatamani niwe mpenzi wako” aliuliza Stellah, huku akicheka cheka, ukweli swali hili lilionekana kuwa gumu kwa Pross maana aliinamisha kichwa kichini, na kujikuta mkono wake wakushoto, ukichezea vile viji ukili, vya mkeka vilivyo kuwa vina chungulia, “sema bwana Pross, au ndio unitaki, maana ndio maana ulinikimbia kitandani” alisema Stellah, safari hii akipeleka mkono wake kwenye mabega ya Pross na kumshika, “hapana” alisema Pross akisaidia na kutikisa kichwa, kuwa akumkimbia sababu hampendi, “sasa kwa nini unijibu?” aliuliza Stellah, “nitakubari” alijibu Pross kwa sauti ya chini, tulivu, iliyo jawa uoga, ungesema yeye ndie mtoto wakike, “alafu ukikubari utaweza kufanya wanavyo fanyaga?” aliuliza Stellah, pembengine alisaidiwa na wine aliyo kunywa, huku akiwa akiwa bado ameweka mkono wake begani kwa Pross, ana mtazama kijana huyu, alie kuwa ametazama Chini kwa ugumu wa maswali ya mama huyu, “sema basi Pross, kama ukikubari niwe mpenzi wako, utaweza kufanya wanavyo fanyaga?” ………



ITAENDELEA

Post a Comment

0 Comments