Ticker

6/recent/ticker-posts

Ad Code

Responsive Advertisement

Chombezo: Kitumbua Cha Nani Sehemu Ya Kumi Na Tano (15) MWISHOO



Yap, mahakama ilikuwa imetulia kimya kabisa, kiasi kwamba ata kama kikoozi kime kubana, basi ungeona aibu kukooa, maana lazima watu wange geuka kukutazama, “mwendesha mashtaka soma shtaka” alisema hakimu, huku akiweka miwani yake vizuri na kukodolea makaratasi yaliyokuwepo mbele yake, wakati huo mwendesha mashataka akisimama na karatasi mkononi, “kesi namba 0… 51 inayo mhusu Rose mery Danford, mwenye miaka 24, fanyakazi wa Benk, ambae usiku wa tarehe 25, yani siku ya christams aliwavamia bwana Kipanta, na bi Matrida, ndani ndani ya chumba namba … kwenye nyumba ya kulala wageni, ya Luguruni bar, na katika uvamizi huo, alifanikiwa kuweka, dawa za kulevya, ambavyo zilisababisha, walalamikaji, kupoteza fahamu kwa masaa yasiyo pungua, kumi na tano, ushaidi wa pande zote mbili, umetolewa, lakini upande wa mshatakiwa ushaidi wake umekosa nguvu, kwa kukosa uthibitisho, na ushidi wa uoande wa walalamikaji, umeonekana unga nguvu, sababu wenyewe wote wawili wanakili kumwona mtuhumiwa, akiingia na kuwafanyia fujo, huku akigusa gusa, vinywaji vyao” alisikika mwendesha mashtaka, huku watu wakiwa kimya wanamsikiliza, ambapo Rose alikuwa amesha kata tamaa kabisa, na mchozi yana mtililika, sababu usiku unaotajwa kuwa aliwavamia pale guest, yeye alikuwa ana suguiwa kitumbua na kijana Prosper, kule shambani kwake, wakati Rose Adellah, na Joyce wanazidi kukata tamaa, huku bwana Kipanta alie kuwa amekaa karibu na Mtrida, pamoja na rafiki zake Matrida, wale wanne, walionekana, kujawa na nyuso za furaha, maana waliona mafanikio yakiwa karibia kwa speed kali, muda wote midomo yao ilishindwa kukutana, yani wajuu na chini, na kufanya meno yawe nje, kama fisi alieona mfupa, hukuwakiona msoma mashtaka anachelewa, bola arudishe kesi kwa hakimu ili atoe hukumu, “lakini licha ya ushidi wenye nguvu, toka kwa walalamikaji, na video zinazo sambaa mitandaoni, leo tume pata shaidi mwingine, kwa liksa yako mhesimiwa hakimu, tunaomba kabla ya kusoma hukumu, umluhusu, shaidi huyu, awakilishe ushidi wake” alisema msoma Mashtaka, ghafla watu wakaonekana kutazamana, kwa mishangao, mbali mbali, na hapo pande zote mbili, yani mastakiwa na walalamikaji, wakashangaa, huku Rose anajuwa kuwa wakina Kipanta wameleta shaidi mwingine, na wakina Kipanta na Matrida wanajuwa Rose ameleta shaidi mwingine, hivyo kila mmoja akashangaa ka wakati wake, Rose na ndugu zake wakizidi kukata tamaa, “sawa, ushidi wa mwisho” alisema hakimu, na hapo ukapita ukimya mkubwa, na sekunde chache baadae zikaanza kusika sauti za vishindo vya nyayo, vya watu wawili, watu wote wakageuza shingo zao kutazama kule viliko tokea vishindo, ambako ni kwenye mlango mkubwa wakuingilia mahakamani.


Naam siyo Rose siyo Kipanta siyo Joyce wala Matrida, wote walionekana wakitoa macho kwa mshangao, huku wakitazama kule vilikotokea vishindo, yani kwenye kolido la mahakama, Adellah aliona mishangao hiyo, hivyo na yeye akatazama kule vilipo tokea vishindo, na kumwona polisi mmoja akiwa ameongozana na kijana mmoja mtanashati alie valia vizuri kabisa, mwenye sura na umbo zuri, akamtazama Rose, na kusogeza mdomo wak kwenye sikio la mdogo wake huyo, na kabla ajauliza tayari Rose, alisha juwa kuwa dada yake anajambo la kuuliza, hivyo akatangulia kutoa jibu…



“Pross, mlinzi wa shambani kwangu” alisema Rose, kwa sauti ya masikitiko, maana alijuwa kuwa lazima, Kipanta alishaenda kumpanga Pross, ili aje atoe ushaidi wa uongo, Rose akamtazama Pross alie kuwa anatembea kwa uoga, kueleka mbele akisindikizwa na yule polisi, “jamani Pross atawewe” aliwaza Rose huku anafuta chozi la jicho la kushoto, kisha anamtazama Pross alie kuwa anatembea huku anatazama kushoto na kulia, kama vile kunamtu anataka amwone, mala wakakutana macho yao, na Pross akayakwepesha, japo ilikuwa ni nukta chache, lakini Rose aliweza kuona macho yaliyo jawa na uoga na wasi wasi ya Pross, ambae alipelekwa moja kwa moja mpaka mbele.


Rose alimtazama Pross, huku akikumbuka jinsi walivyo peana utamu usiku ule wa Christimas, ikiwa pamoja na kumkabidhi fedha zake zote alizo kuwa anazidai, Rose alikumbuka upole na ukarimu wa wa Pross, na mambo waliyo yapaga kuyafanya baada ya usiku ule wa Christimas, “labda sababu nilikuwa na mnyanyasa siku za nyuma, lakini nilimwomba msamaha”aliwaza Rose, huku ana mwona Pross anatazama upande aliokaa Kipanta, na yeye akamtazama Kipanta, akamwona amemkazia macho Pross, tena macho makali, hapo Rose akishindwa kuendelea kumtazama Pross, na kujiinamia akilia kwa kwikwi.


Wakati Rose anawaza ayo, huku Kipanta nae alikuwa amesha hisi kosa alilo lifanya, ni kumsimulia na kumweleza ukweli Pross, jana jioni, akiwa amelewa, “lakini na mkataa kama nilivyo mkataa Adellah, na tukitoka hapa, asirudi tena kule shambani” aliwaza Kipanta, huku akimkazia macho Pross, tena macho makali, ata Pross alipokutanisha macho yake na Kipanta, alijikuta akishtuka na kuyakuyakwepesha haraka, “ok! huyu ni shaidi wa upande gani na anaitwa anani, apewe kiapo haraka, lazima leo hukumu itoke” alisema Hakimu, na hapo mwendesha mashtaka aka simama akiwa ameshika kitabu cha dini, na kumpelekea Pross, ambae sasa alikuwa ameimama kizimbani.********


Naam polisi walifanikiwa kumchukuwa Waghora ambae walimpeleka nyumbani kwake yani magetoni, na kwenda kumsachi ambapo walimkuta na vitambulisho na card za benk za watu wengi sana, ambazo alisha wai kuziiba siku za nyuma, na ikabainika kuwa akuwa anaishi peke yake, hivyo polisi wakaenda kumkamata sinder kule kazini kwake, yani Luguruni bar, na kisha wakapelekwa kituo cha kati, kule kiluvya, wakiwa na vitu ambavyo nika aushidi, wa uharifu wao.


Baada ya kuandikishwa, na kutolewa vitu muhimu, ambavyo awatakiwi kuingia navyo mahabusu, wakaingizwa mahabusu na kisha akachukuliwa Sinder na kupelekwa kwa insp, ili akatoe maelezo kamili, sasa basi ile anaingia ofisini kwa insp, kwanza aliwakuta askari wawili walio valia tishert nyeusi, na suruali za kaki, na buti nyeusi, sura zao zikiwa zime funikwa kwa kofia za sox, ambazo aliacha mdomo na macho pekee, alafu alimwona insp akiwa amekaa kwenye kiti chake, kilichopo mbele ya meza kubwa, na insp alipo inua uso wake na kumtazama, akamwona insp akiachia tabasamu pana, “wewe ndie yule mhudumu wa Luguruni bar siyo?” aliuliza insp, huku anapekuwa note book yake, na kusoma kidogo, kisha akainua uso wake na kumtazama Sinder, “Sinder Naiso, ndio wewe au?” aliuliza insp lakini Sinder aliinama chini akishindwa kujibu lolote, sijuwi kwa aibu au kiburi, “jibu wewe” hapo alikutana na kofi moja zito la mgongoni, ambalo lili mwingia barabara, na kumfanya ahisi mgongo una waka moto, lakini kwa jinsi gani Sinde alivyo komaa kwenye maswala ya uovu, aliachia mguno tu, kama mtu alie paliwa na pili pili, huku akipeleka mkono ili kujikuna, “Sinder unaweza kuona ni kiasi gani ume mwingiza mwanamke asie na hatia kwenye matatizo?” aliuliza insp kwa sauti flani tulivu, huku akimtazama Sinder usoni, lakini Siner alitazama chini, akikosa la kujibu, unajifanya bubu we mwanamke mwawlifu?” iliskika sauti ya askari mmoja kati ya wale wawili, waliosimama na hapo Sinder, alistuka kigongwa mateke ya nguvu kwenye goko za miguu yake yote miwili, na wale askari wawili walio vaa buti za kijeshi, maumivu makali yalipenya kwenye moyo wa Sender ambae alijitaidi kuvumilia, na kutoa sauti ya kama mtu alie finywa, yani “asssss” huku anaimana kupagungusa, sehemu alizo pigwa, na hapo ndipo alipo stukia buti likigonga kwenye vinganja vyake, huku kofi likituwa mgongoni, safari hii alishindwa kuvumilia, aka piga piga kelele, “mama na kufaaa, jamani basi nitaongea” alisema Sinder, huku akimtazama inps kwa macho ya kumsamaha, “ok! eleza ukweli nani aliwawekea dwa wakina Kipanta,” hapo Sinder alisita kidogo, lakini alipo geuka kuwatazama wale jamaa wawili, akaona ana weza kuuwawa hapa hapa, kwa kipigo, “ni mimi, ni mimi…. lakini nilitumwa na Waghola, “ alisema Sinder kwa haraka haraka, akijiepusha na kipigo, huku akieleza ilivyo kuwa, na kwamba akumwona Rose, eneo lile alisema vile sababu aliona kwenye mitandao ya kijamii, kuwa watu wengi wana mshuku Rose, “ok! vitu vingine vipo wapi, kama simu na fedha?” aliuliza insp, na safari hii Sinder alijibu haraka, “alichukuwa Waghola, akaenda kuviuza” alijibu Sinder, “ok! mtoeni mleteni huyo mshenzia” alisema insp.


Dakika chache badae tayari Waghra alikuwa mbele ya insp, huku zile njemba mbili zikiwa nyuma yake, zina subiri muda wakufanya kazi, “bwana Eaghora, wewe na Sinder mume shilikiana kuwa tilia dawa Kipanta na Matrida, kisha kuwaibia kila kitu, ikiwa mpamoja na simu vitamburisho card yabenk, fedha na nguo walizovaa, ni kweli au siyo kweli?” aliuliza insp, hapo Whagora aliekuwa ameweka uso wa mbuzi, alimkata jicho flani la hasira insp, alafu akatazama chini, lakini kabla ata macho yake ayajaangaza vizuri sakavu ya chumba kile, alishtuka akishiwa ukosi wa shati lake na kuinuliwa juu, akavutiwa pembeni, ile ana tahamaki, tayari miguu yake yote miwili ilisha zolewa, na kujikuta yupo hewani, ambako alidumu sekunde mbili, na kujibwaga chini akifikia kiuno, na ata kabla aja sikilizia maumivu ya kiuno tayari, alisha pigwa teke la mbavu, na kihisi kama pumzi zinabana, ile anajiuliza afanye nini ili kusimamisha kipigo, hapo alishuhudia mvua za buti kwenye ngoko zake za miguu, zikishuka mfululizo, “ndio wazee, ni kweli niliiba” alipiga kelele Waghora, “sisi tunajuwa uliiba, ila tunakufundisha adabu, ujuwe faida ya kusababisha matatizo kwa watu wasio na hatia” alisema insp huku, akimtazama Waghora alivyo kuwa anapokea kipigo cha staiki yake, yani mbwa mwizi.*******


“Naitwa Prosper Feruz, naapa kwamba, kila nitakacho kisema hapa ni kweli tupu” alisema Prossper, akifwatisha maneno aliyo elekezwa, na mwendesha mashataka, akiwa ameshikilia kitabu cha dini, na kuwafanya watu wapande zote mbili wazidi kuingiwa na wasi wasi, maana akuna kati yao alie juwa Pross anataka kuongea nini, mala wakamwona mwanasheria wa serikali, akimsogelea Pross pale kizimbani, “aya endelea kueleza unachoona kinachofaa katika ushaidi wakesi hii” aliambiwa Pross na mwanasheria wa serikali, hapo kila mmoja aktulia na kusikiliza Pross ataongea nini, hofu zikimpanda kila mmoja siyo Rose mwenyewe, siyo Kipanta, siyo Joyce wala Marida na rafikizake, siyo Adellah, dada yake Rose, hapo Rose akamwona Pross anamtazama, kwa macho ya uoga, kisha akayakwepesha, “mimi nipo hapa kusema kuwa Rose siyo mtu alie wawekea dawa wakina Kipanta, na Matrida usiku wa Christimas” maneno ayo ya Pross yali pokelewa kwa namna tofauti katika makundi matatu tofauti, kwanza kundi la Kipanta Matrida na rafiki zake, ambao walishikwa na mstuko mkubwa sana, na mshangao ulio waacha midomo wazi, na kukunja sura zao kwa hasira na chuki, japo Kipanta alijipa moyo kuwa ata mshinda Pross, sababu lazima atasema kuwa aliambiwa na yeye mwenyewe, kuwa Rose ausiki, upande wa watu waliokuja kusikiliza kesi, nao walishangaa sana, kwakuona bado kuna watu wanajaribu kumtetea Rose, wakati tayari ilishaonekana kuwa ametnda kosa, lakini kwa upande wa Rose, Adellah na Joyce, walishikwa na mshangao wa furaha, ambao ilibakia kidogo uwasababishie washangilie kwa sauti.


Naa wakati watu wapo katika mahangao, mala akasikia sauti ya mwanasheria wa serikali, “bwana Pross, chini ya kiapo ilicho apa unaweza ukaieleza mahakama, ni kwanini Rose akutenda kosa ilo wakati walalamikaji wanasema Rose aliwavamia na kuwaweea dawa kwenye vinywaji vyao, na ukumbuke kuwa ushaidi wa uongo ni kosa pia, na linaweza kukusababihia kifungo” alisema mwanasheria, na hapo Kipanta akatabasamu kwa kujuwa Pross anaweza kuingiwa uoga na kughairi kutoa ushaidi, huku Rose akihisi hivyo hivyo, hapo akaanza kukata tamaa, na ata alipo mtazama, akamwona Pross nae anamtazama kwa macho ya uoga, lakini yaliyo jaa aibu flani, hapo Rose akakumbuka yale waliyo yafanya na Pross, na pengine akayasimulia ili kuweka sawa ushaidi, lakini aikumjalisha sana Rose, kikubwa na kushinda kesi, “nasema hivyo kwa sababu mbili, moja siku ya Christimass siku ambayo imetajwa kuwa ndiyo siku ambayo Rose alifanyatukio ilo, Rose alikuwa shambani kwake, kuanzia jioni ya saa kumi, ambapo alishinda huko mpaka siku ya pili saa sita alipoondoka, kuelekea nyumbani kwake kibamba, na hapo sikumwona tena, wala akunipigia simu, mpaka jana niliposikia kuwa yupo polisi, anakabiliwa na kesi hii” hapo kipanta akashangaa, maana akutegemea kama , Pross ata sema hivyo, sababu akujuwa kuwa siku ile Rose Joyce na dada yake, wakatabsamu huku wanashikana mikono, “ok! sababu ya pili ambayo inakufanya usema kuwa Rose akuusika na uwekaji wa dawa kwenye kinywaji, na pia ulijuwaje kuwa Rose yupo polisi” alisema mwanasheria, na hapo watu wakatulia kusikiliza sababu ya pili, “sababu ya pili ndiyo ambayo itaeleza nilisikiaje” alisema Pross, na hapo Kipanta akatazama chini akijuwa fika kuwa anaenda kuumbuka, maana pombe ndizo zilizo mfanya akalopoka kila kitu, “siku ya ijumaa ndiyo siku ya alhamini nilimpokea bwana Kipnta kule shambani, sababu yeye ndie alie mnunulia shamba boss wangu, hivyo na yeye uwa namwita boss, na sikuwa na shaka nae sababu sikuwa nimejuwa kinachoendelea, baina yao.. mpaka….” hapo mwanasheria akamkatiza kidogo, “fafanua vizuri, ulimpokea kwamaana yakukaa kule shamba, au alikuja na kuondoka?” aliuliza mwanasheria, “alikuja kukaa, na ataleo hii ametokea huko” alisema Pross, na kuwafanya watu mle mahakamani watazamane kwa na kuteta chini chini, “anaendaje kukaa shambani kwa mwanamke anaesema amemwekea dawa” ni baadhi ya minong’ono, ilisema hivyo, “ok! endelea, “alikaa kule shamba, mpaka jana jioni, ambapo alikuja napombe, akanikuta ninaandaa chakula, baada ya kumaliza kula, akaanza kunywa pombe na ndipo alipo anza kunisimulia juu ya kilichotokea” alisema Pross na hapo akaelezea kama alivyoelezwa na Kipanta jana jioni, na mwisho wa simulizi, aliwaacha watu midomo wazi, “bwana Pross kama unamaanisha kuwa bwana Kipanta na bi Rose, boss wako, ni wapenzi?” aliuliza mwanasheria, “walikuwa hivyo sijuwi kwa sasa, maana ata bwana Kipanta alisema kuwa Rose alimfumania na akajifanya kumfungia vioo” alieleza Pross, ambae sasa alipunguza uoga kwa hasilimia kubwa, “na kwamba vitu, ilo shamba ni moja kati ya vitu, ambavyo Kipanta, alivyo mnunulia Rose?” aliuliza mwansheria, “ndiyo tena ni uhakika, sababu mmiliki wa kwanza alikuwa boss wangu pia, na siku wanakuja kuuziana shamba nilikuwepo” alisema Pross, akionyesha kuwa na uhakika, na acho kisema, “kwahiyo bwana Pross umeamua kuleta uongo mahakamani, kuwa bwana Kipanta anataka kumfilisi, mtu alie msaidia yeye mwenyewe?” aliuliza mwanasheria akimkazia macho Pross, “ata mimi nilishangaa mwanzo, lakini baadae, nikagundua kuwa sababu walisha achana, ndio maana anataka kuzulumu” alisema Pross, ambae kila alipoongea watu walikubariana nae kwa kichwa, huku Kipanta, akitukana kimoyo moyo, wakayi huo Matrida na wenzake wana mlahumu, Kipanta kimoyo moyo, “Pross unaweza kusema kwa nini asiwe Rose ndie alie fanya ayo yote, sababu yeye ndie mwanamke alie mfumania Kipanta, na kuingiwa na wivu wa kimapenzi, huku akianza kuwafanyia fujo kule mbezi?” aliuliza mwanasheria, akimkazia macho Pross, “ukweli mimi nimeeleza ninacho kijuwa, ila kuhusu, kufumania na ugomvi wa kimapenzi, nazani kwa kipanta, siyo Rose peke yake, ata mke wake pia anaugomvi nae, sababu mpaka sasa amefukuzwa nyumbani kwa mke wake, na alisema kuwa akisha pata fedha toka Rose, ata enda kumnyasa nyasa mke wake” hapo ulisikika miguno wa wazi kabisa, toka kwa sikilizaji na wafwatiliaji wakesi, wakati huo huo akaonekana askari mmoja mwenye cheo cha insp akiingia ndani ya mahakama na kueleka moja kwa moja kwenye meza ya mwendesha mashtaka, “kwahiyo Pross ukiwa kama mlinzi wa shamba, uliamua kufanya upelelezi, wa maisha binafsi ya Boss wako, au kuna mtu alikutuma kufanya hivyo” aliuliza mwanasheria, huku akimkazia macho Pross, “sija mpeleleza boss wangu, ila yeye mwenyewe ndie alie ni simulia, na wala sija tumwa na mtu” alijibu Pross, “aya bwana Pross unaweza kumtambua, na kutuonyesha huyo boss wako, yani bwana Kipanta?” aliuliza mwanasheria, “ndiyo ni, yule pale” na hapo Pross akamwonyesha Kipanta kwa mkono, “sina swali zaidi, shaidi ni wako” alisema mwanaseria, kisha akaenda kukaa, wakati huo watu waliokuwa wamekaa kwenyemeza ya mwendesha mashtaka, walionekana wakinong’onezana jambo, “huku mwendesha mashtaka akienda kwenye meza ya hakimu na kumnong’oneza jambo, alafu akarudi kwenye kiti chake.****


Yap asubuhi ya leo bwana Fruz alikuwa onekana kukosa amani muda wote pale kijiweni, ata wenzake walimshangaa, sababu ata utendaji wake ulikuwa ni wa taratbiu sana, muda wote akionekana kuwaza sana, ni kweli alikuwa anawaza na alikuwa anawaza kuhusu familia yake, ambayo kwa sasa alijuw aata akikutana nayo asinge weza kuisaidia kwa lolote, sababu yeye akuwa ana uwezo ata wakujinunulia nguo nzuri, zaidi ya kutafuta fedha ndogo ndogo za chakula, kwa kuchota maji, kwenye madumu, na kupeleka kwa waosha magari, “Pross ata kuwa amewakimbia wenzake” aliwaza Kipanta, ambae toka usiku alikuwa anwaza sana juu ya familia yake, na kujiona mjinga sana, kwa kupotezza fedha nyingi akitumia na Khadija, mwanamke ambae akuwa na shukrani, wa fadhira, kuna mambo ambayo feruz akiyakumbuka uwa yana muumiza roho, na kutamani kufanya dhambi ya mauwaji, kwa kwenda kuitoa roho ya Khadija, mschana ambae yeye anamchukulia kama mnyama, kwa mambo aliyo mfanyia, “nilikuwa mjinga sana, sijuwi mke wangu na watoto watakuwa wapi?” aljiuliza Feruz akiwa na dumu mkononi, amekaa pembeni ya mto, “siwezi kwenda kijijini, ni aibu sana, kwa walio fahamu kuwa niliwai kuwa askari” aliwaza Feruz huku akiwawatazama watoto flani wenye umri wa miaka kama kumi natisa au ishirini, wakiokota makopo ya maji na kuyaweka kwenye mfuko, ili wakayauze, hapo Feruz akaona, kuwa kwa kukosa matunzo familia yake itakuwa huko, na kwa ugumu wa maisha, pengine ata mwanae Pross ameamua kuwa house boy, sababu yule mwanamke alie kuwa na Pross, akuwa ana mfahamu, na kama akuwa anamfahamu, na ukizingaia Pross ni mgeni hapa dar, sasa anakuwanae kivipi, “da tayari amesha kuwa house boy, anafua mpaka nguo za baba mwenye nyumba” roho ilimuuma sana Feruz, ambae akiwa pale chini alikumbuka siku ambayo to isahau siku ambayo mbayo alijuwa maana ya mtu kusihi na mke, na siyo hawara, siku ambayo Feruz, aligundua kuwa fedha ndiyo iliyo mfanya Khadija, amwone yeye kuwa ni mtoto, kiasi cha kumwita baby, akimbeba wakati wakwenda bafuni na wakati mwingine kumnawisha uso, ni mala baada ya kuishiwa, ambapo yeye alitegemea kuwa sasa watatumia fedha zitakazo tekea kwenye saloon ya Khadija, saloon aliyo mfungulia yeye mwenye, na kuishi kwenye nyumba ambayo mlipia kodi ya mwaka mzima, huku akinunua vitu vya kisasa, lakini kilicho mtokea sidhani kama atakuja kusahau


nazani itakuwa vyema tukitembea na kumbu kumbu za Feruz, ili kuweza kupata kisa na mkasa wa kile kilicho mtokea, japo yeye mwenyewe akutaka kabisa kujiwa na kumbu umbu hizo, kichwwani mwake, lakini alijikuta ana kumbuka siku ambayo, alienda kwenye ATM machine na kuchukuwa million moja, na kubakiza elfu kumi na nne, akiwa na mpenzi wake Khadija, pamoja na marafiki zake, na kuingia tena kwenye bar moja kubwa kishakuanza matumizi, sasa walikuwa awaendi kulala guest kama mwanzo, walikuwa wanaenda kulala kwenye nyumba ambayo Feruz alikuwa amempangishia Khadija, wakati yeye mwenyewe akuwa nasehemu ya kuishi, na ata familia yake akujuwa inaishije, maana akuiachia ata shilingi moja, na aliiacha katika ukata mmoja kali sana wafedha,


Wao walipiga ela, mpaka walipoona bar inafungwa, wakaondoka zao, na kila mmoja akaelekea kwake, huku Feruz akielekea kwa Khadija, ukweli siku ile Feruz akujuwa ametumia kiasi gani cha fedha, ila anacho kumbuka ni kwamba asubuhi alipo amka na kujipapasa akajikuta ana tsh laki mbili tu!, hapo akajikausha, na kuugulia kimoyo moyo, huku akijilahumu, kwa matumizi mabaya ya fedha, akufukilia kuwa wakati amelala, Khadija alipitia kwenye mifuko yake na kuondoka na tsh laki sita, kwa hiyo usiku wa jana alitumia kiasi cha fedha kisichozidi laki mbili, napengone akufikisha idadi hiyo ya fedha, idadi hii yafedha ndiyo iliyomfanya Feruz aanze kuikumbuka familia yake, kwamba sasa aliona kuwa maisha ya aibu ndiyo yana fwatia, mana fedha aliyo kuwa nayo, isinge tosha kuwa nywesha pombe wale wanawake, sababu ilikuwa ndogo sana, sehemu pekee ambayo fedha ile ingeonekana kuwa ni nyingi ni nyumbani kwake yani kwenye familia yake tu! na siku hiyo jioni, walikaa bar yakaribu kabisa na saloon kwa Khadija pale pale mivinjeni, ambapo walitumia laki moja tu! huku Feruz, akishindwa kufurahia siku ile, kutokana na kutawaliwa na mawazo kuhusu fedha ambayo ilisha mwishia, na siku ya pili ndiyo siku feruzi, alipo maliza kabisa fedha zake, na kualipo jikagua siku iliyo fuata, alijikuta ana shilingi elfu tatu mfukoni, na aikuwa siri tena kuwa ameishiwa, Khadija alitambua mapema sana, mana siku ile walishindwa ata kunywa supu


Picha ilianza pale Khadija alipo mwacha Feruz ndani na kwenda kujipatia supu ya kutolea lock, huku Feruz, akishinda na njaa mpaka mida ya mchana, alipo pikiwa chakula na Khadija, ambae aliishi na Feruzi kwa siku kadhaa huku masimango yakianza taratibu, ikifwatiwa na sharau, za hali ya juu, na “yani ndani hakuna maji alafu umekaa tu unangalia TV, au unasubiri nirudi nichote maji” ali sema Khadija kwa kulalamika, akimweleza Feruz, ambae alikuwa amelala kwenye sofa alizo zinunuanyeye akiangalia TV aliyo inunua yeye.


Feruz akuwa na jinsi, akainuka na kwenda kuchota maji, ambapo alijaza jaba kubwa, kwa kubebelea kwenye madumu ya lita ishilini, huku njiani akikutana na rafiki zake Pross waliokuwa wana msalimia, “shikamoo baba Pross” na yeye naliitikia kwa mkato, huku akiendelea na safari yake na madumu mkononi.


siku zilienda ukakatika mwezi, Feruzi akizidi kufanyishwa kazi zandani, maana ilianza maji, na siku moja akaambiwa, “jamani we mzee, yani kila kitu nifanye mimi, usafi ni fanye mimi, ela nitafute mimi wewe kazi yako kula na kulala tu” hapo Feruzi akajuwa kuwa anatakiwa aoshe vyombo na kudeki ndani, hivyo akaanza kazi hiyo ambayo toka alipoanza kuishi na mke wake akuwai kuifanya, na kitu ambacho kilimuumiza zaidi Feruz, ni kitendo cha Khadija, kuanza kuchelewa kurudi, toka kazini kwake yani saloon, ambapo alirudi saa sita mpaka saa saba, huku akiwa amlewa, akujuwa kama zile pombe alikuwa ana nunuliwa na wanaume tofauti tofauti kila siku.


Tukio ambalo akuweza kulisahau, ni siku ambayo, Khadija alirudi mchana pale nyumbani, akiwa na kijana mmoja hivi, ambae alionekana kujiamini sana pale nyumbani, Khadija alimwita Feruz watoke nje kidogo, “sikia baby, huyu ni shemeji yangu anakaa na mdogo wangu, kule temeke mwisho, sasa akijuwa ninaishi na wewe bila ndoa ata mwambia, na dogo ataenda kumsimulia mama na baba, alafu watanisema sana, mimi nime mweleza kuwa wewe ni mzee wa hapo jilani uwa una tuchotea maji” alisema Khadija kisha akampa Feruz shilingi elfu thelasini, akanunue bia kumi na konyagi kubwa, na ikawa hivyo leo Feruz alionja pombe baada ya kukaa miezi kadhaa bila kunywa pombe, na aliifakamia konyagi kama maji, huku wenzake wakinywa bia, na ata alipopitiwa na usingizi, akujuwa ilikuwa saa ngapi, ila alishtushwa na ubaridi mkali sana, akatazama pale alipolala, palikuwa ni sebuleni, na ile kutazama vizuri ilikuwa ni saa kumi na moja za alfajili, akainuka toka juu ya sofa ile anakanyaga chini akaona kama amekanyaga nguo akajuwa ni kitambaa cha kwenye kochi, lakini alipo kiokota ndipo alipogundua kuwa ilikuwa ni nguo ta ndani ya Khadija, na alipotazama vizuri pale sebuleni, aliona nguo za yule jamaa, ikionyesha kuwa alikuwa amevulia pale sebuleni, sambamba na nguo za Khadija, kengere ya tahadhari ikagonga kichwa ni kwa Feruz, ambae alieleka chumbani.


Naam ile kuingia chumbani nusu azimie kwa kile alicho kiona, alikuta mle chumbani, ukweli Feruz aliwakuta Khadija na yule kijana wakiwa wamelala fofo juu ya kitanda kile, wapo uchi wa mnyama, nusu ya mwili wa Khadija ukiwa juu ya mwili wa Kijana yule, ukweli Feruz alihisi miguu inakosa nguvum akajikongoja mpaka kitandani, na kumshika mguu yule kijana, “we kijana wewe ndie shemeji yake Khadija” alisema Feruz huku anamvuta mguu, hapo Khadija na yule kijana wakashtuka toka usingizini, “we mzee mbona umekosa adabu hivyo kwanini unavamia watu walala” alipiga kelele Khadija, Feruz aka duwaa, “tena nasema toka haraka humu ndani we mshnzi nenda nyumbani kwako” alisema Khadija huku akianza kupekuwa pekuwa, nguo za Feruz, alie kuwa amesimama, na kumrushia, “lakini Khadija kumbuka yake niliyo kufanyia…..” alisema Feruz kwa sauti ya kubembeleza, huku akijaribu kumsogelea Khadija aliekuwa bado ajavaa nguo yoyote, “usinisogelee we mzee” alisema Kahdija huku anamsukuma Feruz alie rui hatua kadaa nyuma, “baby ebu mtoe huyu mzee” alisema Kahdija huku akimtazama yule kijana, ambae alichomoka kama mshalke na kuanza kumsukuma bwana Feruzi kutoka nje, huku Khadija akizoa nguo za feruz na kumtupia nje.


Hapo Feruz ndipo alipo kumbuka kuwa akuwa na sehemu ya kuishi na alisha maliza fedha zote, benk, akakumbuka kuwa aliiacha familia yake kule kwenye nyumba za makazi ya askari, hivyo akutaka mpaka juwa lichomoze aka ondoka haraka kuelekea kule kotaz, ambako aligonga mlango wa nyumba ambayo aliiacha familia yake lakini alishangaa anatoka askari kijana, na kumwuliza amsadie nini, Feruz akajieleza vyema, na kwamba anaiulizia familia yake, jibu la kijana yule askari, lilimfanya Feruz, agundue kuwa familia yake ilisha ama pale kotaz, ila akuna alie kuwa anajuwa familia ile imeenda wapi, na huo ndio ulikuwa mwanzo wa maisha machungu ya bwana Feruz, ambae alienda kuchukuwa elefu kumi kwenye ATM ikiwa ndiyo hakiba pekee iliyo bakia, na kuanza kuangaika, na maisha, akitanga tanga kwa kufanya vijikazi vidogo, na kujipatia fedha za kula, huku akilala kwenye vijichochoro vya mtaa, na alipoona watu wameanza kummnyooshea vidole vya kumsimanga, akaamua kuhama na kuamia mbezi ambako alianza maisha mapya kama kilaka, kazi yoyote alifanya ilia pate fedha ya kula, na mwisho aka jikita kwenye uoshaji wa magari,


Ukweli kumbu kumbu hii uwa ina mtoaga machozi Kipanta kila apo ikumbuka.******


Naam tuachane na kumbukumbu za Feruz na kurudi mahakamani, ambako sasa insp alikuwa ameingia mle ndani akionekana kuwa na ujumbe flani, ulifwatia ukimya wa dakika mbili nzima, huku wakionekana wale wanasheria na mwendesha mashtaka wakiambizana jambo flani, alafu mwendesha mashataka aka simama, “sasa nakuita mlalamikaji namba moja, bwana Kipanta, upande kizimbani” alisema mwendesha mashataka na Kipanta akasimama na kuelekea Kizimbani, alafu mwanasheria wapili nae wa serikali, akasimama na kusogea pale kizimbani, “bwana Kipanta, maelezo yak o ya awali yanasema, sili ya tarehe 25 mwezi wa kumi na mbili, ulivamiwa na mshtakiwa Rosemery kiwa na mpenzi wako Matrida, na kukufanyioa fujo huku akishiak shika vinywaji vyenu, je ni kweli maelezo hayo, au kuna jambo ulilisahau?” aliuliza yule mwanasheria, “nihayo tu mheshimiwa” alijibu Kipanta, ambae alikuwa anasubiri swali la kuhusu maneno ya Pross, “bwana Kipanta siku ya tukio ulikuwa umelewa, je una uhakika kuwa ulie mwona akiwavamia na kuwafanyia fujo ni mshtakiwa Rose mary?” aliuliza mwanasheria huku akimtazama Kipanta alie kuwa amesimama Kizimbani, “ndiyo mheshimiwa, nilimtambua vizuri sana, mimi atakama nikilewa uwa sipotezi kumbu kumbu” alisema Kipanta kwa kujiamini, “safi sana Kipanta, unaonyesha ni jinsi gani ulivyo hodari, na unavyo jielewa, sasa bwana Kipanta unaweza kuielezea mahakama, unamtambuaje kijana Pross?” aliuliza mwanasheria, huku akitazama upande mwingine, upande wa wasikilizaji, “huyu kijana ni mlinzi wa shamba, ambalo nilinunua na Rose wakati tulikuwa wapenzi na tunaishi pamoja” alijibu Kipanta, kwa jiamini, “unakumbuka maneno uliyo ongea mbele ya kijana huyu, jana jioni?” aliuliza mwanasheria, safari hii akimtazama Kipanta usoni, hapo Kipanta alitulia kidogo, kama anajikumbusha maongezi yake na Pross, “hapana, sikumbuki” alijibu Kipanta, ambae alifanya hivyo makusudi kwa kujuwa ndiyo njia pekee ya kukataa ushidi ule ambao aukuwa na kielelezo, “mheshimiwa naomba ni mkumbushe kidogo mlalamikaji namba moja, kuwa ulimwita kijana Pross kwa lengo la kumfundisha kitu juu ya wanawake, na hapo ulimsimulia kama alivyoelezea Pross, “bwana Kipanta unakumbuka hayo?” alimaliza mwanasheria kwa kuuliza hivyo, “mheshimiwa ukweli hayo maneno siyakumbuki, na huyu kijana ame yaongea hayo, sababu anajuwa nilikuwa nime lewa na siwezi kuyakumbuka” aliongea Kipanta, akiamini kuwa anakanusha ushaidi wa Pross, “Kipanta mwanzo ulisema kuwa wakati rose anavamia uliweza kumtambua, japokuwa ulikuwa umelewa, na siku hiyo ulikuwa umekunywa pombe kuanzia saa tano asubuhi, mpaka saa mbili usiku, muda ulipoingia ndani, ya chumba ulicho kodi, sasa utawezaje kusahau kitu ulicho kiongea ukiwa ujamaliza ata chupa moja ya pombe?” aliuliza mwanasheria, nahapo Kipanta akaa kimya, akijilahumu kwa kuto kumbuka alicho kiongea dakika chache zilizo pita, “bwana Kipanta nikisema kuwa ata tarehe 25 ukuwa unajitambua na ukuweza kumtambua mtu alie wavamia, nitakuwa nakosea?” aliuliza mwanasheria, huku akimtazama Kipanta, ambae alikuwa amemkata jicho Pross aliekuwa amekaa, benchi la tatu nyuma ya wakina Rose, huku mala kwa mala Rose akiwa anageuka na kumtazama Pross, ata macho yao yalipokutana walitabasamuliana, hakika Rose akuamini, alicho kifanya juu yake maana ulikuwa msaa mkubwa sana, “mheshimiwa ilo ninalikumbuka, na siwezi kusahau” alipaza sauti Kipanta, kiasi cha kukumfanya hakimu agonge nyundo mezani, “Kipanta, hii ni mahakama, na utatakiwa kuongea kwa sauti ya chini” alisema Hakimu, na hapo Kipanta akwa mpole, “mheshimiwa Hakimu sina swali zaidi” alisema mwanasheria, na hapo Kipanta akatolewa kizimbani, na ikafwata zamu ya Matrida, ambae aliulizwa maswali na yule yule mwanasheria, “mlalamikaji namba mbili bi Matrida, ukweli siku ile ulikuwa umelewa sana, kama alivyolewa mpenzi wako Kipanta, je una weza kuithibitishia mahakama kuwa, licha ya kulewa uliweza kumtambua vizuri mstakiwa Rosemary, ambae kwenye melezo yako ya mwanzo, ulisema kuwa ndie alie wavamia na kuwawekea dawa kwenye kilevi?” aliuliza mwanasheria namba mbili, “ndiyo nilimtambua, na nilimwona akiingia chumbani na kuanza kutuletea fujo” alisema Matrida, kwa sauti ya chini iliyokosa kujiamini, “unakumbuka ilikuwa je, yani mala baada ya kuwavamia Rose alifanyanini?” aliuliza mwanasheria, hapo kwa kubabaika, Matrida akajibu, “alituvamia akaanza kututukana, huku anashika shika chupa zetu za pombe, alafu akaondoka” hapo mwanasheria aka mtazama Matrida kwa macho ya tabasamu la kumcheka, “unakumbuka nyie mlifanya nini baada ya kuondoka Rose mary?” aliuliza mwanasheria, hapo Marida alibakia kimya akionekana akuwa na jibu, “nazani ujaelewa swali, je mlitoa taarifa kwenye uongozi wa hotel?” aliuliza mwanasheria na hapo Matrida akamtazama Kipanta, ambae pia alikuwa ametoa macho kwa fadhaa, “hapana atukutoa taarifa, ila tuliendelea kunywa pombe na ndipo tulipo poteza fahamu na kujikuta tupo hospital” alijibu Matrida, Matrida labda nikuulize swali jingine, kama kweli ulikuwa na kumbukumbu, je wakati Rose anawavamia, alikuwa na na mtu au watu wengine?” aliuliza mwanasheria, “hapo Matrida alikataa kwa kichwa akimalizia kwa sauti, “alikuwa peke yake” alisema Matrida, “ok Matrida nitaomba umtambue mtu mmoja, hapa mahakamani” alisema mwanasheria, kiisha akamtazama mwendesha mashtaka, ambae alisimama na kumweleza jambo insp, ambae alitazama upande wan je, na kuonyesha ishara ya kuwa mtu aingie, hapo wote wakageuka na kutazama kwenye lango kubwa la kuingilia, ukweli Rose, Adellah, Joyce na marafiki wa Matrida, awa kujuwa yule mwanamke alie kuwa anaingia mle mahakamani akiwa amefungwa pingu mkononi, na kusindizwa na polisi akuwa ni nanani, na kwanini atambuliwe na Matrida.


Lakini kwa Kipanta na Matrida wao walitoa macho ya mshangao uliochanganyika na fadhaa, pamoja na mshtuko, waliganda wakimtazama yule mschana akiletwa mpaka mbele ya mahakama, “Matrida unaweza kumtambua huyu dada” aliuliza mwanasheria, na hapo Matrida alie kuwa amesha isi kitu, akamtazama Kipanta, kwa macho ya kumwuliza ni jibu nini, Kipanta akamwonyesha ishala ya kukataa, “hapana smtambui” Matrida nae alifwata ushauri wa Kipanta, kwa kukataa kuwa amtambui mwana dada huyo, “mlete mlalamikaji wapili nae amtambue” alisema Hakimu, na hapo mwendesha mashtaka akamsimamisha Kipanta ili amtambue, mwana dada huyo, nae aka goma kumtambua, “simtambui, na sidhani kama niliwai kukutana nae” alisema Kipanta, kwa sauti iliyo jifanya kujaa uhakika.


Hapo Kipanta akiwa pamoja na Matrida wamesimama kizimbani, wakasikia mwendesha mashtaka akisema, “mheshimiwa hakimu, kesi hii imekuwa na changamoto nyingi sana, huyu mschana unae mwona hapa mbele yako, anaitwa Sinder Naiso, ni mhudumu wa Luguruni bar, alie wahudumia walalamikaji siku ya tarehe 25, leo hii yeye pamoja na mwenzie wakiume, ambae amekimbizwa hospital kwa mataibabu, bada ya kuumia kwenye mahojiano na polisi, wamekamatwa na polisi, wakijaribu kutumia card ya benk, ya bana Kipanta kwenye tawi la benk, la mbezi, pamoja na hiyo card pia wamekamatwa na vitamburisho, huku wakikili kuwa wao ndio walio weka dawa za kulevya kwenye vinywaji vya walalamikaji, kisha kuwaibia, kila kitu walicho kuwa nacho” alisema mwendesha mashtaka, na hapo bwana Kipanta akamtazama Matrida, ambae pia alikuwa anamtazama, kwa macho ya mshangao, wakatazamana kwa sekunde kadhaa, wakigutuliwa kwa sauti ya hakimu, “mpandishe kizimbani ili ahojiwe anaweza kuwa ni shaidi muhimu sana katika kesi hii” alisema hakimu, kwa sauti ambayo japo ilikuwa ya kawaida tu, lakini iliwavuruga wakina Kipanta, na Matrida, ambao walimwona yule mwana dada akipanda kizimbani na akasogezewa kitabu cha dini, kwaajili ya kuapa…





Kuona hivyo Kipanta akamtazama Rose kwamacho ya kumlahumu na kumchukia, lakini ndiyo kwanz alimwona Rose alikuwa amegeuka kumtazama Pross, kisha akageuka huku anatabasamu, “ona yanavyo chekeana” alijisema Kipanta kimoyo moyo, huku akishtuliwa na sauti ya Sinder alie anza kula kiapo, “mimi Sinder Naiso, naapa kuwa nitakachosema hapa, ni ukweli mtupu, mungu nisaidie” alimaliza kusema Sinder akiwa ameshika kitabu cha dini yake, “Sinder kama ulivyo hapa, mbele ya mahakama, kuwa utasema kweli tupu, mbele yake, sasa unaweza kueleza mahaka siku ya tarehe 25 ilikuwaje” alisema mwanasheria na hapo Sinder akaanza kueleza kuanzia saa tano mida aliyo wapokea wakina Kipanta na Marida, na kuanza kuwa hudumia, nilipoona kuwa wana fedha nyingi alafu wanalewa bila mpangilio, nikampigia simu Waghora, aje ili tuwaibie” alisema Sinder, na kuendelea kusimulia, kisa chote mpaka alipowaingiza ndani na kuwawekea dawa kwenye glass zao za finywaji, kisha wao kunywa na Waghora kuja kuwaibia kila kitu, “alafu nika singizia nilimwona yule dada akiingia mle chumbani., sababu niliona kwenye mitandao akisemwa kuwa yeye ndie atakae kuwa amefanya hivyo” alimaliza Sinder, “Sinder Naiso, unaweza kuwatambua wateja ulio kuwa una wahudumia na kuwawekea dawa siku hiyo ya tarehe 25?” aliuliza yule mwanasheria, “ndiyo ni wale pale” alisema Sinder akiwaonyesha vidole wakina Matrida na Kipanta, ambao kwa sasa walikuwa wametazama chini kwa aibu, huku moyoni Kipanta akijawa na chuki kubwa sana, “huyu mschana mshenzi, ajuwi kama ananiaribia” alijisemea Kipanta pasipokujuwa kuwa, kuna madhara makubwa yana fwata kutokana na ushaidi ule, “sina swala zaidi, shaidi ni wako” alisema mwanasheria na hapo maswali yakaamia kwa wakina Kipanta, “bwana Kipanta uliithibitisshia mahakama kuwa japo ulikuwa umelewa, lakini uliweza kumtambua, mtuhumiwa Rose, alipoingia chumbani, je una kubariana na ushaidi uliotolewa na mhudumu alie wahudumia tarehe 25?” aliuliza mwana sheria, “mimi sikuwa nime lewa kiasi cha kuto kujitambua, hii ni njama ya Adellah, sababu niliacha kumuoa na kuoa mwanamke mwingine, sasa ananikomoa na kutaka nisipate mali zangu toka kwa Rose” alisema Kipanta kwa sauti ya jazba, huku watu wote wakimshangaa, hapo hapo ikasikika sauti toka kwa hakimu, “bwana Kipanta, kwanza unaonekana wewe mtelekezaji wa wake zako, kwa ilikuwa ni Adellah, ukaoa na kutelekeza mke, ukafumaniwa na hawara, ukiwa na hawara mwingine, na hayo ndiyo matunda ya uthariti na utelekezaji” alisema hakimu, kisha akamwachia mwanasheria aendelee na maswali, “kwahiyo bwana Kipanta una msingizia Rose, sababu unaitaji mali ulizo mnunulia wakati mkiwa wapenzi, uku unafahamu fika kuwa Rose akuwepo eneo la tukio, je unafahamu ni kosa kisheria kusema huongo mbele ya mahakama, wakati ulihapa kusema ukweli, pili ni kosa pia kumsingizia mtu kosa” aliuliza mwanasheria na hapo Kipanta akatazama chini kwa aibu, “mheshimiwa sina swali zaidi, shaidi ni wako” alimaliza mwanasheria na ikafwata zamu ya Matrida nae aka simama kizimbani, “mlalamika ji namba mbili, ulisema kuwa siku ya tukio japokuwa ulikuwa umelewa lakini ulikuwa na uwezo wa kutambua ni kweli?” aliuliza mwanasheria, “ndiyo mheshimiwa nilikuwa na uwezo wa kutambua” alijibu Matrida kwa sauti ambayo ilionyesha wazi, kujawa na wasi wasi, “kwahiyo unakubaliana na shaidi bwana Prosper kuwa wewe na bwana Kipanta mmefanya mausudi kumsingizia Rosemerry kuwa aliwavamia, ili muweze kumfilisi mali zake?” aliuliza mwanasheria, na hapo Matrida alibakia kimya, akitazama chini, “bi Matrida, unakumbuka kiapo ulicho apa mbele ya mahakama, na ulisema kuwa utalo sema ni kweli tupu?” aliuliza mwana sheria, na Matrida aliitikia kwa kichwa akikubari, “kwa hiyo una kili kuwa umekiuka kiapo na umefanya kosa, la kudanganya mahakama na pia umefanya kosa, la kumsingizia bi Rose kosa ambalo ajalifanya, kwa lengo la kuchukuwa mali zake kama mwenzio kipanta alimweleza kijana Pross?” hapo Matrida ajikuta ana angua kilio, mahakamani, “mimi nilishawishiwa na Kipanta, aikuwa nia yangu kumsingizia” hapo atawasikilizaji wa kesi, mle ndani ya mahakama, walishindwa kuvumilia na kujikuta wakiachia miguno ya fadhaa, iliyo ambatana na minong’ono ya chini chini, “kumbe awa ni washenzi matepeli” alisema mmoja wawatu waliokuwepo mle ndani, “tena inabidi wa hukumiwe washenzi awa” iliendeleea kusikika minong’ono, mpaka walipomsikia mwanasheria akisema, sina maswali zaidi, shaidi ni wako mheshimiwa” kisha mwanasheria akaenda kukaa sehemu yake.******


Naam ukweli ni kwamba mwalimu Stellah, kwa sasa alikuwa nje ya mahakama, akiwa nje ya gari lake, yeye ndie aliemleta Pross na kumkutanisha na mwendesha mashtaka, Stellah alisha gundua kuwa kuna kitu kinaendelea kati ya Rose na Pross, maana jana usiku alipokuwa pale hotelini na Pross, ana mweleza kitu cha kufanya, alimwomba amweleze ukweli juu ya mausiano yake na Rose, zaidi yay ale ya kumlindia shamba, na hapo Pross akumficha kitu, alimsimulia, kila kitu, kilicho fanyika, siku moja kabla awajaanza mausiano yao, ukweli ni kwamba Stellah alikubariana na maneno hayo, japo wivu ulimchoma kidogo, “ok! kwahiyo mimi ndie nilie iba, basi akuna tatizo, ila nitakapo kuitaji nakuomba usikatae” stellah, alikumbuka maongezi yake na Pross, na sasa Stellah, alikuwa anaendelea kusikiliza kesi, akiwa nje ya mahakama.******


Naam ndani ya mahakama baada ya mwanasheria kumaliza kuwa hoji, wakina Matrida, hapo akasimama mwendesha mashtaka, ambae akawaeleza walalamikaji wote wapende kizimbani, na pia akamweleza mshatakiwa apande kizimbani, baada ya hapo mwendesha mashataka akachukuwa file la kesi, na kuanza kusoma marudia ya kesi hii, toka mwanzo, mpaka ilipofikia, “mheshimiwa tunaomba itolewe hukumu ya kesi hii, na iwe mfano kwa wengine watakao idharau mahakamani na kufanya makosa kama aya” alisema mhendesha mashtaka, kisha akaenda kukaa sehemu yake.


Mahakama ilikuwa kimya kabisa, akuna ata sauti iliyo sikika kwa muda dakika tano nzima, huku hakimu akisoma kwenye kijitabu flani mezani kwake, siyo Rose mtuhumiwa wala, Kipanta na Matrida walalamikaji, wote walikuwa na wasi wasi kibao, mala wakamwona Hakimu anainuwa kichwa chake, na kutazama kwenye Kizimba cha mtuhumiwa, yani Rose ambae alikuwa na wasi wasi, mwingi sana, “kutokana na ushidi ulio tolewa na pande zote mbili, maelezo ya mpelelezi wa polisi, hivyo basi kifungu cha sheria namba …. ina ni pa mamlaka ya kutoa huku ifwatayo” alisema hakimu kisha akatulia kidogo, na kutazama tena kijitabu mezani kwake, safari hii akutumia muda mrefu aka mtazama tena Rose, huku mioyo ya watu mle ndani ikienda mbio, asa Adellah, Joyce, Pross wakina Kipanta na Matrida ata maarafiki wa Matrida, na watazamaji wengine ambao walisha gundua ukweli kuwa Kipanta na Matrida walikmsingizia kesi Rose, kwa lengo la mdhurumu mai zake, “Bi Rose mahakama ime kupata auna hatia yoyo wala kesi ya jibu, kwa hiyo kuanzia sasa hupo huru, na unaweza kwenda nyumbani kwako, baada ya mahaka hii” hapo Kipanta na Matrida walihisi, wana banwa na haja, maana wakati Matrida anafikilia aibu itakayo mkuta kazini kwao, kwa kitu alicho kifanya, huku Kipanta alikuwa anafikilia ataishije baada ya hapo, maana kuwepo huru kwa Rose ndio kukosa kwake mali za fedha toka kwa mschana huyo, ukizingatia akuwa na sehemu ya kwenda na mke wake alisha mtimua nyumbani, kwa hiyo kitu pekee alicho kuwa nacho, ni gari tu! tena lipo nyumbani kwa Rose, Kipanta akamtazama Rose akamwona akiwa amesimama kizimbani, huku tabasamu pana likiwa limechanua usoni mwake, huku anatazama upande waliokaa wakina Adellah, ambao karibu wote walikuwa wametawaliwa na nyuso za furaha, ata Pross nae alikuwa ametabasamu, “Pia mahakama hii ime baini kuwa, walalamikaji namba moja na namba mbili, wakiwa na hakiri timamu, walimsingizia bi Rosemerry, kuwa aliwatendea uharifu huo, huku walalamikaji hao wakijuwa ni kosa kisheria, hivyo basi, kutokana na usmbufu walio usababisha kwa Bi Rose, mahaka imewapata na hatia, kwakosa hilo, hivyo basi, hukumu ya kwanza, ya kumsingizia Bi Rose kuwa amewavamia na kuwatendea kosa, Bi Rose mwenyewe ata taja kiasi cha fedha kama fidia ya usmbufu na muda walio upoteza kwa Bi Rose ambae amekaa mahabusu week nzima” alisema hakimu na kutulia kidogo, akiwatazama Matrida na Kipanta, ambao sasa walionekana wazi kuchanganyikiwa, mala wakamsikia hakimu akiongea tena, “pili bwana Kipanta, utaenda jela miezi sita, kwa kosa la kudanganya mahakama na kuiletea usumbufu” hapo Kipanta akashika kichwa na kuachia yowe, “mayo nacha boleeee” aliongea lugha ambayo anamiaka mingi ajawai kuiongea, nakufanya kisikike kicheko mle ndani ya mahakama, “bi Matrida uta hukumiwa kifungo cha nje, kwa miezi mitatu, na utafanya kazi za kijamii kila siku kwa masaa mawili, kama utakavyo kuwa unapangiwa na mahakama, kwakosa la kushiriki kosa la kumsingizia Bi Rosemerry, huku ukijuwa fika kuwa siyo mtu alie wavamia na kuwaekea dawa kwenye vinywaji” na baada ya hapo hakimu akimu alimwambia Rse ataje kiwango cha fedha sikichozidi million tano, kama malipo ya usumbufu alio sababishiwa na wakina Kipanta, hapo kwa haraka Rose akafilia kwa haraka haraka, na kuona kuwa ata akitaja million tano bado Kipanta akuwa na uwezo wa kumlipa, maana alicho bakiza ni gari pekee, gari aina ya Toyota ist, “wanilipe million tano” alisema Rose, “Rose yote niliyo kufanyia bado unashindwa kunionea huruma” alipiga kelele Kipanta, na hapoakatulizwa na hakimu akimkumbusha kuwa pale ni mahakamani, “bwana Kipanta uta lazimika kulipa fedha hiyo ndani ya week moja, kama auto kuwa na fedha tathrim, basi bi, Rose ata weza kuchukuwa kitu chochote chenye thamani ya fedha hiyo toka kwako” alimaliza hakimu na kugonga nyundo mezani, hapo watu wote mle ndani wakamwona Kipanta akianza kukosa nguvu na kuanguka chini, kama kiroba, akiwa amepoteza fahamu, mana kipanta alijuwa kuwa, kibao kime mgeukia, lazima Rose atachukuwa gari, kitu ambacho kinge msaidia pindi akitoka gerezani*******


Naam watu walitoka mahakamani, waandishi awakuwa mbali, kuchukuwa picha na video za wakina Rose alio onekana akiongozana na dada yake pamoja na mschana Joyce, alie kuwa nae bega kwa bega kipindi chote cha matatizo, wakiwa wenye nyuso za furaha, waliongozana mpaka kwenye BMW lililosimama pembeni ya Toyota vits, na mwana mama mwenye umbo la maana akiwa amesimama nje yake.


Kabla awaja ingia kwenye gari lao, aina BMW wakamwona Kipanta akitolewa mahakamani juu juu amesha lejewa na fahamu zake, amepigwa pingu, anainamisha kichwa chini, anaona aibu, waandishi wakimchukuwa video na picha za kawaida, pia walimwona Matrida akitoka mahakamani akiwa peke yake, mbali kabisa na wale rafiki zake ambao tayari walisha ingia kwenye gari lao na kuondoka zao wakimwacha Matrida, ambae alikuwa anabubujikwa machozi, na kumtazama Rose kwa macho ya kuomba msamaha.


Lakini Rose akumjali, “jamani Pross yupo wapi?” aliuliza Rose akitazama nyuma, na kumwona Pross akisogea kwenye Vits pale aliposimama mke wa Kipanta, ambae Rose na Joyce walikuwa wanamfahamu vizuri kabisa, “hoo dada kumbe hupo hapa” aliuliza Rose huku akimsogelea mke wa kipanta yani Stellah, ambae alikuwa anamtzama mume wake alie kuwa anapakizwa kwenye kalandinga……….…



Huku ameziba uso wake, akiogopa kupigwa picha na camera za waandishi ambao walikuwa wametapaa pale nje ya mahakama, “ingia kwenye gari” alisema Stellah akimweleza Pross huku ana anamfungulia mlango wa gari, na Pross na akaingia kwenye gari, hapo wakina Rose wakamwona Stellah akitoka na kuelekea kwenye kalandinga, na yeye akataka kwenda kuongea na Pross sababu alikuwa ana itaji jambo flani, “Subiri kwanza yule mama arudi” alisema Joyce, na hapo waka mtazama Stella, ambae alifika kwenye kalandinga, na kuongea na askari polisi walio changanyika na askari magereza, akawasalimia na kuomba kumsalimia mfungwa Kipanta, “ni nani wako?” aliuliza mmoja wa askari alie onekana kuwa na cheo kikubwa kuliko wenzake, “ni mzazi mwenzangu” alisema Stellah, na hapo yule askari akamluhusu amsalimie, na Stellah akasogea ubavuni mwa lile gari kubwa mfano wa loli, lililo zibwa kama box, likiwekewa na wavu wa kupitishia hewa, muda wote wakina Rose walikuwa wamesimama wanamtazama Stellah, siyo wao tu ata polisi pia, walikuwa wana mtazama mama huyu, siyo wakitaka kuona anachoenda kufanya kwa Kipanta ila walikuwa wanashangaa umbo la mama huyu, na wengine wakajiuliza ni kitu gani Kipanta alikuwa anafwata nje ya ndoa, “habari yako bwana Kipanta” alisalimia Stellah, na kumshtua Kipanta ambae alikuwa ameinamisha sura yake chini, na baada ya kuisikia sauti ya mke wake, akainua uso na kumtazama, “mke wangu naomba uni saidie, ongea na hakimu tuweze kukata rufaa” alisema Kipanta, kwa sauti ya kubembeleza, “mh! ni kusaidie iliiweje, si uongee na wanawanawake wako, wakutoe ili mkaendelee kunywa bia” alisema Stellah, kwa sauti ya chini, ikionyesha kuwa akutaka, watu wengine wasikie, “mke wangu na kuahidi sito rudia tena, naomba unisamehe, nisaidie nisiende gerezani” aliomboleza Kipanta, kwa sauti ya juu, na kuanza kuwa ng’amua waandishi waliokuwa wana anza kutawanyika, maana kesi zilizo kuwa zina fwatia, azikuwa na mvuto kama ile ya Kipanta, “sikuja kuongea hayo, nilikuja kukuona iliujuwe kuwa, nilikuwepo na watoto wako wata sikia kama ume fungwa miezi sita” alimaliza kuongea Stellah, na kurudi kwenye gari lake, na yeye akimwona mschana alie semwa kutembea na Kipanta, na kuwekewa nae madawa, yani Matrida akipita mbele yake na kuelekea njia ya kutokea pale mahakamani, yeye akumjari akaondoka zake na kuelekea moja kwa moja kwenye gari lake, na wakati analipita BMW jeusi, akashtuliwa na Joyce, “dada shikamoo” alisalimia Joyce nae Stellah, akasimama na wakasalimiana huku pia akimsalimia Adellah mume wake, na Rose, Stellah akuonyesha kinyongo chochote kwa Rose, “bila shaka wewe ndie Adellah” alisema Stellah, akimtazama dada yake Rose, “ndiyo mimi, bila shaka ulisha wai kunisikia hapo mwanzo?” aliuliza Adellah, “ndiyo, nime elezwa kila kitu, na mimi ndie nilie amua kumshawishi Pross aje atoe ushaidi mahakamani , na nime elewa ni kwa nini Rose alifanya hayo yote, hivyo sina kinyongo na yeye, ila sijalizishwa na adhabu aliyo ipata Kipanta, japo akitoka jela, ndiyo ata ipata adhabu kamili, maana atokuwa na ata pakuanzia” alisema Stellah, na hapo Rose pia akatumia nafasi hiyo kuomba msamaha kwa Stellah, kwa madai kisasi chake, kili iumiza familia nzima, “mwisho niseme tu asante sana, nazani sasa tuta kuwa na mausiano mema, nichukuli kama mdogo wako” alisema Rose, huku Adellah, nae akamshukuru Stellah kwa moyo alio uonyesha, na kujitolea kuwasaidia, akimwomba kumsamehe mdogo wak, mwisho wakashikana mikono, na kusahau yaliyopita, zaidi Rose alimwomba Stellah, kuwa anaitaji kuondoka na Pross, maana aliitaji kumshukuru, na kukaa nae kama mtu wa karibu na rafiki wa familia, japo ilikuwa ni hatua ngumu sana kwa Stellah, alie kuwa anafahamu kuwa, Rose na Pross walisha wai kupeana kitumbua, lakini akuwa na la kufanya zidi ya kumluhusu, Pross kuondokaa pamoja na Rose.*****


Rose na familia yake, awakuwa wachoyo, wali enda nyumbani kwa kina Pross pale kwenye kijumba cha udongo, na kuichukuwa familia ya Pross, kisha kwenda nayo kwenye hotel waliyo fikia wakina Adellah, ambako walishinda huko, wakipata chakula cha mchana na jioni huku wakipata vinywaji, na kuburudika kwa kuogelea kwenye swimming pool, muda mwingi Rose na Pross walionekana wakijitenga na kuongea yanayo usiana na penzi lao, huku Rose akimshukuru ssana, Pross, kwa kitendo cha kusimama na kueleza ukweli.


Tukio la kwenda hotelini na kufurahia maisha, kilimfanya mama Pross azidi kujivunia uzazi wa mwanamke mwenzie, kuna wakati alijikuta, akisema kimoyo moyo, “Feruz umetoweka, lakini umeniachia kijana” ni kweli Feruz alikuwa amemwachia mke wake msaada mkubwa sana, maana ukiachilia mke wake watoto wake na shmeji yake yani mama mdogo, kuenjoy pale hotelini, na kurudi siku ya pili, Rose aliwaamishia wanafamilia wale kwenye nyumba yake ya pale kibamba, na kuwakabidhi moja ya maduka yake, kuwa duka lao moja kwa moja, hiyo ilikuwa kama ndoto, kwa mke wa feruz, ambae alikuja kushangaa na roho yake siku chache mbele, ni baada ya Rose kukabidhiwa gari, la bwana Kipanta ikiwa ni fidia ya milioni tano, alizo takiwa kulipwa na Kipanta, na yeye akampatia mama yake Pross, na kumtafutia mwalimu wa kumfundisha kuendesha gari, yeye pamoja na wadogo zake na mama mdogo, wakati huo Adellah alikuwa bado hotelini mjini pamoja na familia yake, wanafanya mpango wa passport mbili yani ya Pross na Rose, iliwaende wakapumzike kidogo, huko ufilipino, Rose mwenyewe alikuwa analala shamba na Pross, wakiitaji muda mwingi sana, wa kuwa pamoja, tayari Rose aliacha kazi benk, sababu dada yake alimweleza anatija kufanya inshu nyingine, ambazo ni za kibiashara, na tataribu zilipo kamilika, kabla awajaondoka, Rise alifanya jambo ambalo ni la kushangaza kidogo, kwanza alimkabidhi nyumba mama Pross na kuwa ni yakwake, pamoja na maduka mawili, na lile gari lake, huku maduka na salon zilizo bakia akimkabidhi Stellah, kwamba zimsaidie na watoto wake, kwamana yakwamba ni matunda ya baba yao.


Naam baada ya kumaliza mapumziko yao bwana Mauricio kumaliza mapumziko yake nchini Tanzania, aliondoka na familia yake, pamoja na Rose alie ambatana na Pross, na sasa walikuwa wanajuwa kabisa kuwa wawili awa ni wapenzi, na kule shamba walimwacha kijana mmoja ili aendelee kuliangalia shamba chini ya usimamizi wa mama Pross, wakipanga kuwa ndiyo sehemu ambayo itajengwa kiwanda cha sabuni, za kuogea na mfuta ya ngozi, hiyo ni kwa ufadhiri wa shemeji yake bana Mauricio Frenandez.********


Yap, siku zilienda, ilikatika miezi sita, Kipanta alitoka jela, na kuamaua kuridi kijijini kwao Itaga, huko mkoa wa tabora, Rose na Pross sasa walikuwa wameshaanza kazi katika kiwanda chao walicho kijenga kule kisalawe, huku wakiishi kwenye nyumba yao kubwa sana, waliyo ijenga Mbezi Malamba mawili, na sasa Rose alikuwa anaujauzito wa miezi minne.


Upande mwingine mama Pros alikuwa anaendelea vizuri na maisha yake, na watoto wake na mdogo wake, wakisaidiana kuendesha biashara walizo pewa na Rose, na sasa mama ross alikuwa ame nawili kiasi cha kwamba ungezania ni mwanamke wa miaka ishilini na tisa au therasini, kwa jinsi alivyo pendeza kwa mavazi ngozi, na sura, kama ulimwona miezi sita iliyopita akia anauza mboga mboga, basi leo usinge mtambua atakidogo, mama Pross pia alikuwa anauwezo wa kuendesha gari vizuri kabisa, kiasi cha kuweza kwenda mmwenyewe mbezi au kaliakoo, kufwata bidhaa za madukani na saloon na alipenda sana kuendesha Toyota alphad.*******


Naam siku moja mama Pross akiwa anatoka kaliakoo anaelekea mbezi, akiwa ametoka kuchukuwa bidhaa za dukani, akipitia barabara ya Kinyelezi ni baada ya kuona barabara ya morogoro ina foleni kubwa sana, na na wakati anakatiza maeneo ya segera mwisho, njia panda ya kwenda kwa bibi, akaona madimbwi flani ya maji, akapunguza mwendo ilikuya ingia yale madimbwi, sasa basi wakati amesha yaingia madimbwi, mala likatokea fusso na mchanga, ambalo liliingia mazima kwenye yale madimbwi, na kurusha maji machafu kwenye gari lake, bahati nzuri uwa aachi vioo wazi, hivyo gari lilichafuka vibaya sana.


Mama Pross akawa anatembea huku anatazama sehemu ya kuoshea gari, mpaka alipo fika mbezi akua ameona sehemu ya kuoshea gari, lakini ile anakamata barabara ya kuelekea Kibamba, kaona kuna sehemu pameandikwa tunaosha magari bei poa, na alipotazama nikweli akaona kuna gari moja na pikipi kadhaa zinaoshwa, hivyo akaona aitakuwa mbaya, akipeleka gari maali pale…….





Ukweli leo pale kijiweni, nikama alilala bundi, maana ukiachilia gari ili moja ambalo uoshwa kwa elfu tatu, na hizi pikipiki chache ambazo uoshwa kwa buku mpaka buku jero, akukuwa na kazi yoyote waliyo letewa, mpaka mida hii ya saa sita kasolo, hivyo ata fedha ya kuwalipa wachotra maji, aikuwa imepatikana, na kusababisha wachota maji wakae pembeni wakisinzia kwa njaa, na uchovu, huku wanaombea itokee kazi, yani lije gari la kuoshwa, ilinawao walipwe chao, na ata lilipoonekana Toyota Alphad lina ingia maali pale, wote wakainua vichwa na kutazama lile gari, akiwepo kijana Nungu, aliekuwa anamalizia kuosha gari alilikuwa nalo, akacha kidogo na kukulisogelea lile gari, ambalo dereva wake alishusha kioo, na ndipo Kijana Nungu alipo mtambua kuwa dereva huyu alikuwa ni wakike, “karibu mama, shikamoo” alisalimia Nungu akijuwa kuwa amesha pata fedha, “marahaba, mwanangu naitaji kuosha gari, sijuwi mnafanya bei gani?” aliuliza mama yule ambae sisi tuna mtambua kama mama Pross, ambae bado alikuwa ndani yagari, kitu ambacho kilisababisha wale watu wengine waliokuwa wame kaa pembezoni, akiwepo na bwana Feruz, wasimwone vizuri mteja huyu, japo sauti yake waliweza kuisikia kwambali, sambamba na sauti ya music mmoja sijuwagi kama ni wadini, au mipasho ya kawaida, unasema “ombea adui yako aishi siku nyingi, iliunapo fanikiwa akujionee kwa macho” , “tunaosha nje na ndani, au nje peke yake” aliuliza Nungu, huku wenzake wakimtazama, huku bwana Feruz akihisi kuifananisha ile sauti, kama vile alisha wai kuisikia sehemu, na akuna kitu alikuwa apendi kama kukutana na mtu alie wai kufahamiana nae kipindi akiwa askari, hivyo Feruz, lakini akajipa moyo kuwa akuwa anafahamiana na mwanamke mwenye fedha za kuweza kumiliki Alphad, “nje tu! siunaona hapo palivyo chafuka” alisema mama Pross, “kama nje ni elfu tatu, yani dakika kumi umeondoka mama” alisema Nungu, na hapo mama Pross akatoa elfu, tano na kumpatia Nunguasante sana mama ngoja nimtume mtu akatafute chenji, alafu gari liweke pal..” kabla ajamaliza, ghafla akavamiwa na Feruz, ambae ni kama alikuwa anasubiri apewe ile ela, “lete buku langu nikapate wali ndodo” alisema Feruz, huku anaikwapua ile ela mkononi kwa Nungu, “baba Pross ni wewe mume wangu, au macho yangu?” Feruz alisikia sauti ya yule mwanamke aliekuwa ndani yagari, akiuliza kwa mshangao mkubwa, siyo Feruz peke yake ata wenzake walishangaa, hapo moja kwa moja Feruz akaitambua ile sauti kuwa ni ya mke wake, lakini mke wake atakuwa wapi, maana akufikilia kuwa yule mwanamke ndani yagri ndie mke wake, anaanzaje yani, mama Pross kuwa ndani ya gari lile au amepewa lift, hivyo Feruz, akageuka haraka na kutazama kwenye gari, ambako ilitokea ile sauti, nikweli alimwona mwanamke anae fanana na mke wake, lakini siyo mke mke, yani kwa mawazo ya feruz, maana kwa mwonekanano wa wamanmke alie kuwa anamwona mbele yake, labda kama alizaliwa upya kwenye kizazi hiki, sababu uzuri aliokuwa nao, ata kipindi cha uschana wake akuwai kuwa nao, lakini Feruz, alikuwa ameganda anamkodolea macho mwana mama huyu, mrembo alie fanana aswa na mke wake, japo huyu ni mrembo kuzidi, “umekutwa na nini mume wangu, yani mwisho wako ndiyo ume kuwa huu?” aliuliza mama Pross, na kuzidi kumchanganya Feruz, ambae sasa alianza kuisikia sauti ya music kwenye redio yagari, ombea adui yako, na sasa ndiyo ikamjia hakiri kuwa alimwona Pross akiwa na mama mmoja hivi, na watoto wake, ikionyesha ni familia yenye kujiweza, na ata Pross alionekana kuwa mtanashati, hivyo huyu pia ni mke wake, na kwa hakiri ya haraka, akajuwa kuwa mke wake alisha olewa tena na mtu mwenye fedha zake, hivyo yeye amesha vuna alicho panda, hapo ghafla bwana Feruz akahisi kizungu zungu, na mwili ukaanza kukosa nguvu, hukugiza likitanda kwenye mboni za macho yake, “Nungu mdake anaanguka huyooo!” Feruz aliskia kwa mbali watu wakiongea maneno hayo, huku akijihisi anaenda chini kama kiroba, giza nene likiwa bado limetanda usoni, akaisi Nungu anamdaka, lakini akamshinda nguvu, na kuzidi kwenda chini akajitaidi kujidaka, lakini akuweza miguu aikuwa na nguvu, hivyo akajipiga chini pwaah! “jamani nisaidie ni mume wangu jamani” Feruz akasikia sauti ya mke wake kwambali akipiga yowe la kuomba msaada, hapo Feruz akajitaidi kujiinua akashtuka akizuiliwa, maeneo ya kifuani, “doctor njoo haraka, amezinduka” Feruz alisikia sauti ya mke wake akipiga kelele kwa furaha, huku kama vile akiondoka sehemu hiyo, “mh! doctor tena?” alishangaa Feruz akijiuliza kimoyo moyo, huku anafuambua macho, kweli aliweza kufumbua macho, na kujikuta yupo kwenye chumba kimoja tulivu, chenye kuta nyeupe, akiwa amelazwa kitandani, huku amefunikwa shuka jeupe, na vitu kadhaa vilivyo ashilia kuwa alikuwa hospital, “inamana nilizimia” alijiuliza Feruz, huku anautazama mlango uliokuwa wazi, na hapo akamwona mke wake, ambae mpaka sasa akuwa anaamini kama kweli ni yeye na ana mwangaikia vile, akiwa ameongozana na doctor mmoja na nurse, wote wakike, Feruz akamtazama mke wake ambae kwamwonekano wake leo aligundua kuwa kuna mambo mengi sana akuwa amemtendea haki, maana alikuwa mzuri wa sura na umbo, maana kuna tu vitu ambavyo hapo mwanzo akuwa navyo lakini sasa tulionekana wazi wazi, kama vile hips makalio, na hata uzuri wa sura, akuweza kumfananisha ata na Khadija mschana kahaba alie mmalizia pensheni yake, yani Khadija asingeweza kumfikia mke wake ata robo ya uzuri, “unajisikiaje bwana Feruz?” aliuliza doctor, huku anaweka ki Bp machine kifuani kwa feruz, “najiskia vizuri lakini kichwa kizto kidogo” alijibu Feruz, huku akimtazama mke wake, na macho yao yalipo kutana Feruz alijikuta anatoa machozi, “usiwe na wasi wasi bwana Feruz, au atatizo lolote, una aja ya kulia” alisema doctor alie maliza kupima mapigo ya moyo, kisha akamtazama mke wa bwana Feruz, “dada unaweza kuondoka na mgonjwa wako, ila sasa akapumzike ale vizuri inaonekana alifanya kazi ngumu, bila kula, hivyo ukampe chakula chepes kabla uja mpa mlo kamili” alisema yule doctor na hapo mama Pross akafanya utaratibu wa kulipia matibabu aliyopewa, mume wake, ambae alikuwa amekaa kweny bench akimsubiri mke wake huyo, huku akiitafakari hukumu yake, ambayo itafidia ushenzi alio ufanya, huku wakati mwingine akiwaza kama mke wake atakuwa ameolewa basi yeye aombe msaada wa kiasi cha fedha kitakacho msaidia kuanza maisha mapya, “kuna mambo utokea ili wengine wapate nafasi ya kuishi kwa amani, maana ninge kuwa nae asinge fanikiwa hivi” aliwaza Feruz huku akimwona mke wake anakuja pale alipo kuwa amekaa, “aya twende mume wangu” alisema mama Pross kwa sauti ya upole iliyo jaa upendo wa hali ya juu, kiasi cha kumshangaza bwana Feruz, amba aliamua akae kimya bila kuhoji, mpaka atakapo somewa shitaka lake.


Walitoka pale hospital na kupitia, madukani, ambako mama Pross alihakikisha amenunua nguo kadhaa na viatu, kwaajili ya mume wake, ambae kila walipo pita sehemu mbali mbali, watu walizania kuwa mama huyu, ameongozana na mtu wa kwenda kumpa kazi za kufanya usafi nyumbani kwake, lakini licha ya kuonyesha upendo wa hali yajuu kwa mume wake, ukweli bwana Feruz akuelewa kama amesamehewa au anaenda kufanywa kijakazi, au ata ambiwa kuwa safari yako imeishia hapa, unaweza kuendelea na zako.


Lakini waliingia kwenye gari, na moja kwa moja walielekea nyumbani, kuliko mshangaza Feruz ambae alishangaa jumba lile ambalo nje yake kulikuwa na gari jingine lime egeshwa, na waka pokelewa na dada wakazi, ambae siyo siri, alishangaa kumwona boss wake, yani mama Pross akiingia na mtu wa aina ile pale nyumbani, na mbaya zaidi alimwingiza chumbani kwake, huku boss wake huyu, akiagiza vipikwe vyakula ambavyo kiukweli vilikuwa vya kipekee, ikionyesha kuwa vyakula hivyo ni kwaajili ya mgeni huyu, ambae alipo mwona kwa mala ya kwanza alizania kuwa ni mtu ambae amekuja kupewa kazi ya kuokota taka taka kwenye eneo la nyumba ile, lakini dada wa kazi, akujuwa kuwa kule chumbani kulitawaliwa na mambo mengi sana, kuanzia vilio na kumbana msamaa, “mke wangu naomba unisamehe sana kwa yote niliyo yafanya kwa ko na watoto, naomba uniombee msamaha kwa watoto, kiukweli siwezi kupiga magoti mbele yao” alisema Feruz huku anaangua kilio cha chinichini, akisaidiwa na mke wake, “mume wangu, nilijuwa lazima utarudi, na nilisha panga kukupokea naamini umesha jifunza, na uwezi kurudia tena” alisema mama Pross, huku anabubujikwa na machozi, walikumbatiana ikiwa ni ishala ya kuwa akukuwa na utofauti kati yao.


Feruz aliingia bafuni kuoga akisaidiwa na mke wake, alie mwogesha, na alipomaliza alivaa vizuri, na kuelekea sebuleni kwenye meza ya chakula, alikaa pamoja na mke wake na kuanza kupata chakula, kwa pamoja, huku wakiongea ili na lile, “lakini mke wangu, kabla sija ulizia watoto wapo wapi, wacha nikueleze ukweli, mwenzio nime teseka, yani nimeishi maisha ambayo sikuwaza kuishi ata siku moja” alisema Feruz, huku wote kwapamoja wakicheka kwa uzuni, “ukweli sisi atuja teseka, kama wewe, na mshukuru sana ulituachia Pross, ndiyo maana sijaona sababu ya kukataa kukupokea, maana mwanao ndie amekuwa msaada mkubwa kwetu” alisema mama Pross, na kuanza kumsilia jinsi Pross alivyo wasaidia kwa kila kitu, mpaka kufikia pale walipo fikia.


Naam watoto wote wa Feruz walipewa taalifa ya ujio wa baba yao pale nyumbani, kwakifupi mtoto ni mtoto tu! awakuwa na kinyongo na baba yao, walimchukulia kama baba yao, Pross alimtammburisha Rose kwa baba yake, na maisha yakaendelea, sasa bwana Feruz aliishi kama baba wa familia, japo mwanzo akujiamini, lakini siku zilivyo songa ndivyo alivyo anza kujiamini, na kujikubari kuwa yeye ni baba tena, mke wake akuwa mbinafsi, alimpa uhuru mume wake, na kumpa nafasi yake kama baba, mfano bwana Feruz aliweza kuchukuwa gari na kutembea tembea mitaani, alikuwa huru kutumia fedha, kwa matumizi binafsi, aliweza kununua vinywaji vya ulevi na kunywea nyumbani, huku akizidi kunawili, kila siku zilivyoenda, na kurudisha ngozi ya ujana, na mwili wa kiungwana, ule mwili ambao unaamkiwa na kila mtu wa lika lolote, kasoro wazee, mwili ambao ukiomba namba ya simu ya mwanamke siku hiyo hiyo lazima utasikia “baby nikuambie kitu kama uto jari” sijuwi uwa kina fwataga nini hapo, maana lazima utaonekana unafedha ukiwa na mwili kama huo, ambao sasa alikuwa nao bwana Feruz, toka kwenye ule mwili wa kubebea maji ya kuoshea magari, kwa bwana Nungu, ambae sasa alikuwa anapita siku moja moja, kuwasalimia na kuwapelekea gari walioshe.


Kwakifupi sasa alikuwa baba mwema, akumsumbua mke wake, lakini usilo lijuwa ukweli lita kusumbua sana, sikuelewa Feruzi likuwa na maana gani, kumbe basi siku zote alikuwa anatamani sana, kwenda mivinjeni, sijuwi kufanya nini.******


Naam ilipita miezi kadhaa tayari Rose alisha jifungua mtoto wakike, mama Pross ndie alie enda kukaa na mzazi, na ndipo ilipo timia siku ile ambayo, Feruz alikuwa anaiitaji, siku ya kwenda mivinjeni, yeye mwenye alisema siku ya kurudisha heshima yake iliyo potea, ilikuwa ni siku ya jumamoss, mida ya kumi jioni, siku ambayo mtaa wa mivinjeni nje kidogo ya makazi ya polisi, kwenye mtaa uliochangamka, kwa maduka bar na saloon vibanda vya biashara, watu magari na boda boda, pembezoni mwa bar moja kubwa sana, ambayo kwa sasa ni mpya, bar iliyo jaza watu kibao, palionekana saloon, ambayo kiukweli ilikuwa kama ime kosa mvuto, na kuanza kufilisika, kilichoonyesha kuwa ni saloon, ni wana dada wanne waliokuwa wamekaa nje yake, huku macho yao kwenye bar, unajuwa kwanini macho yao yalikuwa kwenye bar, ni kwamba wana dada awa walikuwa wanatazama kule, ikiwa ni kawaida yao, kutazama mwanaume yoyote atakae wakonyeza, kwa lengo la kwenda kula nae bata, na mwisho wa siku kwenda kuepeana dudu, kwa makubaliano ya malipo, hiyo ilikuwa siku za nyuma, lakini kwa sasa, ghalama ilikuwa ni bia tu, mwanaume huyo ange pewa kitumbua, mpaka asubuhi, ni kutokana na kuchoka kwa wanawake awa, ambao sasa walipoteza mvuto, kwa ukata wafedha, “sikuizi mambo magumu jamani, yani akuna ata wa bia” alisema mmoja wao, akikumbuka kuwa sasa walikuwa wanamaliza week pasipo kuitwa na mwanaume yoyote, “yani siyo kama kipindi cha Feruz, tulikuwa tuna kula raha jamani” alisema Khadija, na hapo zikaanza story za zama hiyo, lakini ikabakia kuwa plau la jana alipozi njaa ya leo, “hivi yupo wapi mtu mwenye, ajafa kwa stroke kweli” aliuliza mmoja wao, na wote wakacheka, “nilisikia anaonekana huko mbezi ya kimara, anaosha magari” alijibu Khadija, na wote wakacheka tena, “uliweza kumfilisi yule baba jamani” alisema mmoja wao, huku wakijikalisha kiasala asala, na kufanya vinguo vyao vifupi kuacha vitumbua wazi, kama umetokea mkoani leo unge sema ni bahati mbaya, ila ilikuwa ni makusudi, kuvutia mtu yoyote atakae ona, “tena anabahati nilimjulia uzeeni, mbona ange nikoma” alisema Khadija huku wakilitazama gari moja aina ya Toyota Alphad lililokuwa lina pita mbele yao taratibu, na kwenda kusimama pale kwenye bar, “mh! wenye magari mazuri kama awa wanakuja na watu wao” alikosoa Khadija baada ya kuona wenzake wanalikodolea lile gari, kutazama ata shuka nani, toka ndani yagari, ambalo lilizimwa mala tu baada ya kusimama.


Naam mlango wa dereva wagari ulifunguliwa, nao waka kaza macho, wakamwona anashuka mzee mmoja wa makamo, mwenye umbo pana kidogo, na mwenye kuvalia kitanashati, “hhhhhaaaa! Feruz” kwa sauti ya mshangao na yachini, iliwatoka wote wanne, huku wakijikuta wanatazama usoni vinywa wazi, tabasamu la bumbuwazi, na macho ya mshangao…





kisha waka mtazama Feruz alie kuwa anaingia kwenye eneo la ile bar, akitokomea ndanikabisa ya bar upande wa counter, “inamaana ajaniona?” aliuliza Khadija huku anasimama, “asinitanie” alisema Khadija, huku na kuvaa viatu vyake vya wazi, (sendo) zilizo chakaa kiasi, ni kwavipi alionyesha amekosa ata buku za kununulia sendo za plastic, alafu akatoka mbio mbio, kueleleka kule bar, huku wenzake pia wakiinuka na kumfwata mwenzao wakijuwa leo wana kumbushia enzi zao.


Naam waliingia kwa speed mle ndani ya bar, na kusimama kati kati, wakaanza kuangaza macho huku na huku, kumtafuta bwana Feruz, ambae walimwona kuwa ni tupa tupa, wakamwona ndio kwanza anaelekea counter, na alipoifikia counter ambayo ilikuwa na watu wachache, akasimama, hapo Khadija akatoka mbio tena, kuwai counter, huku macho ameyaelekeza kwa Feruz, na kumwona akiingiza mkono mfukoni, na kutoa wallet, mpaka anaifungua ile wallet, tayari Kahdija na wenzake walisha mfikia, “jamani baby, afadhari nime kuona, yani nilikuwa na kutafuta mwenzio” alisema Khadija huku anaweka mkono kwenye bega la Feruz, macho kwenye wallet, ambayo ilikuwaimeshona fedha zikiwa ni note za elfu kumi kumi, zilizo jaa kiasi cha wallet kushindwa kufunga vizuri, Feruz akashtuka kidogo, na kuutoa mkono wa Khadija begani kwake, kisha akajifanya kumtazama kwa mshangao, “jamani baby, ni mimi, hooo pole nime kushtua” alisema Khadija kwa sauti flani ya kutokea puani, ambayo aikumkela Feruz peke yake, ata waliokuwa karibu na pale nao, walikeleka, “sasa utaha rabu gani wa kuvamia mtu ata ujasalimiana nae?” aliuliza Feruz, huku akimtazama Khadija kwa jicho kali, “basamahani baby nilijuwa umesha niona” alisema Khadija, kwa sauti ya upole, hapo nikama Feruz alipoa flani, akamgeukia mhudumu, na kumpatia note mbili za elefu kumi kumi, “naomba wine” alisema Feruz, kisha akatulia kusubiri alicho agiza, “na mimi nipatie bia ya baridi” alisema Khadija kisha akawatazama wenzake nikama alikuwa anawaeleza na wao waagize, “na mimi kama hiyo” “na mimi kama hiyo” wote wakaagiza, jumla ya bia nne, huku wanakaa, kwenye viti virefu vya pale counter “yani baby kuna watu wanaroho mbaya, eti waliniambia sijuwi hupo mbezi una fanya nini sijuwi” alisema Khadija kwa sauti ya kujibebisha, “ni kweli nipo upande huo, lakini nipo Kibamba” aijibu Feruz, kwa sauti flani hivi, ambayo utumiwa na watu wenye fedha zao, yani sauti tulivu, na yaupole, “vipi ubaridi huu?” aliuliza mhudumu wa counter, “huo huo unatosha” alijibu Khadija, huku na yeye akiwa anapanda juu ya kiti kirefu, namhudumu aka wafungulia bia zao, ambazo ile kabla ata mhudumu aja chukuwa wine na kumpatia Feruz tayari zilikuwa nusu, maana walizigugumia ungesema walikuwa na kiu ya miaka, “bado elfu nne, alisema yule mhudumu, huku anampatia bwana Feruz wine na glass, hapana sinywei hapa, naenda kunywea nyumba, alafu hii wine bei gani?” aliuliza Feruz, huku wakina Khadija wakimtazama Feruz kwa mshtuko, na mshangao, ni baada ya kusikia kuwa anywei hapa, ila anaenda kunywea nyumbani, hapo wakatazama kwa mshangao, “wine elfu kumi na sita” alijibu yule dada mhudumu huku ameshikilia zile noti mbili za elfu kumi kumi, “sasa mbona unasema bado elfu nne, wakati mimi ndiyo nadai elfu nne” aliuliza Feruz akionyesha mshangao kiasi, na kuwafanya wakina Khadija washtuke kidogo, “baby, si anadai na hizi bia?” aliuliza Khadija huku akishuka kwenye kile kiti kilefu na kumsogelea Feruz, “eti ndiyo una maanisha hivyo?” aliuliza Feruz, akimtazama yule mhudumu, “ndiyo mzee wangu, au hukunielewa?” aliuliza yule dada mhudumu, huku anajitabasamulisha, “kwani mimi nilipokuja hapa nilikuagiza nini?” aliuliza feruz, akimtazama yule mhudumu, hapo akadakia Khadija, “lakini baby…” kabla ajamaliza kuongea akakatizwa na Feruz, “weee kwanza ilo jina siliitaji, unatasababisha watu wanione wa hajabu, mimi na familia yangu, alafu unaniita majina ya ajabu ajabu” alisema Feruz, akiwa amemtazama Khadija, usoni, kwa macho makali kweli kweli, “sahamani lakini bab.. lakini Feruz jamani usikasilike, tuakae tuongee kwanza” alisema Khadija huku wenzake wakitazama zile bia mezani, ambazo mpaka sasa zilikuwa nusu chupa, na wakijuwa fika kuwa walikuwa wanaitajika kulipia wenyewe, na wakati awakuwa na ata shilingi moja, ya mkoroni, “tuongee nini, kuna maongezi gani yenye faida, kati yetu” aliuliza Feruz, kabla aja mgeukia mhudumu, huku watu waliokuwa karibu wakigeuka na kuwatazama, “dada nipatie chenji yangu, naitaji kuondoka haraka” alisema Feruz, na hapo yule dada mhudumu akachukuwa shilingi elfu nne, na kumpatia Feruz, ile anataka kuondoka Khadija akamdaka mkono, plizzzz jamani Feruz, naomba basi utulipie ata hizi bia nne tu, usinifanyie hivyo jamani” alilalamika Khadija huku akiwa ameung’ang’ania mkono wa Feruz, “we mwanamke mbona sikuelewi, nikulipie bia nne kwa mkataba gani, yani yote uliyo nifanyia, na aibu uliyo nisaidia kuitafuta, bado unataka kunifanya mimi mjinga, ebu niachie mkono, ukapambane na hali yako” alisema Feruz, huku ana upapatua mkono wake na kujitoa kwa Khadija, ambae sasa nikama alianza kulenwga na machozi, “jamani baby, ni samehe, nilikukosea kweli, mwenzio nina umbuka” alisema Khadija waka kulalama, huku akimtazama Feruz, alie kuwa anatembea kuelekea nje kabisa ya eneo la bar, “kwahiyo nikusamehe ili waje, unifanye tena mjinga wako?, labda ume sahamu, mjinga ni wakati wa kwenda tu, lakini wakurudi ninakuwa mwelevu” alisema Feruzi, na kuendelea na safari yake, Khadija akaanza kumfwata, lakini kabla aja fika mbali, akamsikia yule mhudumu wa pale counter anasema, “we dada ebu njoo hapa, unaenda wapi wakati hamjalipa vinywaji.


Naam hapo ndipo Khadija alipo kuwa amepasahau, kuwa kuna kulipa vinywaji, akageuka nakuwatazama wenake wanne, ambao pia walikuwa wamekaa kwenye vile viti virefu, wanamtazama, kama vile wanamtazama boss alie filisika, “sasa dada tuna fanyaje maana mtu tulie mtegea ndiyo yule ameondoka?” lakini wakati rafiki zake Khadija wana waza ilo, Kahdija akaona sasa anaumbuka vibaya, na ukichukulia pale ni mtaani kwake, hivyo ni aibu ya mwaka, akaona ni vyema akiwai kwenye gari aka mbebeleze Feruz, ambae kiukweli matendo aliyo wai kumfanyia ni mabaya sana, lakini ilionyesha kuwa, Khadija alisha mchukulia kama huyu jamaa ni bwege, na kwa jinsi alivyo mzimia kipindi kile, na kumaliza fedha za penshen bila kukumbuka familia, lazima leo ata mwelewa, na kuendelea kula bata, hivyo Khadija akachomoka mbio, kueleka nje, kule alikoelekea Feruz, lakini ile ana piga hatua mbili, akumwona mhdumu alie beba tray lenye bia tatu, aka mvaa mzima mzima, na kumsukuma nyuma huku tray kiliponyoka mkononi kwa mhudumu na kujibwaga chini, huku ukisikika mlio kama wa bomu, bia zikizibuka na kupasuka, huku Khadija mwenye akijisogeza pembeni kukwepa vipande vya chupa, pasipo kuangalia kama kulikuwa na meza iliyo jaa vinywaji ya wateja,a mbao walipo jaribu kumzuwia walisha chelewa, tayari Khadija alisha sukuma meza nako ikasikika, “bwah!!!!” hapo Kahadija akajuwa tayari amesha zalisha deni jingine kubwa, akajishika kichwani kwa mshangao wa fadhaa, huku akizungusha macho kutazama watu waliokuwepo mle ndani ya bar, akaona wana inuka kwenye viti vyao, na kutazama pale palipotokea mtimbiliko, akawatazama wenzake pale walipokaa, akuwaona, na alipotazama upande wakutokea, akawaona ndio kwanza wapotelea barabarani kwa mwendo wa jinni, yani wakunyemelea, ikionyesha wazi walikuwa wanatoroka, “dada unalipa” ilisikika sauti ya kijana mmoja, hapo Khadija akakumbuka kuwatazama wale waliokaa kwenye ile meza, aliyo isukuma, akawaona vijana sita, wakiwa wamesimama huku watano kati yao, wakiwa wamekunja sura za hasira, ni mmoja tu alikuwa ametulia anatabasamu, Khadija akazama kule kwenye maegesho ya magari, akamwona Feruz akiwa amesimama nje ya gari akimtazama huku anacheka, hapo Khadija akajuwa kuwa Feruz siyo yule wa zamani, alie mlia fedha zake zote, na kumtimua nyumbani kwake, huku akimwingizia waume humo humo ndani, “we! mwanamke, una shangaa nini ebu toa fedha nunua bia nyingine hapa” alisema mmoja kwa hasira, huku ana mshika mkono Khadija na kumvutia kwake, ni kati ya wale watano wenye hasira, “hapana jamani mbona ni mambo madogo sana haya, bia kitu gani?” alisema yule ambae alionekana kutabasamu, huku anamtazama Khadija, wakati huo yule dada mhudumu wa counter,alikuwa amesha sogea eneo la tukio, nakumtazama Khadija kwa mshangao, “jamani we dada zile za counter ujalipa ume vunja tena bia tatu, na ume vunja bia za wateja” aliseyule dada wa couneter, kwa mshangao uliochanganyika na lawama, “kwakweli lazima alipe” alisema yule mhudumu alie sukumwa na kuangusha vinywaji, hapo Khadija akamtazama tena Feruz, ambae sasalimwona akiingia kwenye gari lake na kuondoka zake, “dada unamdai bei gani?” aliuliza yule ambae akuwa amekasirika, na kumfanya Khadija alipukwe na furaha ya kimoyo moyo, “elfu kumi na nne” alijibu dad wa counter, uwezi amini, jamaa alizama mfukoni, na kuibuka na na wekundu wawili, aka mkabidhi, ok tuleetee vinywaji vingine tunaenda kuka pale” alisema yule jamaa, huku wenzake akimshangaa, “asante sana kaka yangu, lile zee lilizania nitaumbuka” alisema Khadija kwa sauti ya juu, iliyo jaa dharau na furaha, huku anataka kuondoka zake, “dada jiunge na sisi, uoni kama ni bahati, watu tume kulipia na tuna taka tukupe offer, au hupo na mtu wako?” aliuliza yule jamaa, kwa sauti ya kirafiki huku anatabasamu, hapo khakaadija akachekelea kimoyo moyo na kujisemea, “ange kuwepo yule baradhuri, roho inge muuma, nanitakutafuta tu! nile ela zako” Khadija akajifanya kuona aibu, jamani sija wazowea alafu nitakuwa nimewaongezea bajeti msiyo ipanga” alisema Khadija kwa sauti flani ya kujifanya mwema, lakini kwa wazoefu, usinge danganyika, sababu sauti yake na vitendo avikulingana na sura yake, “usijari wangu, twende tuka pige pige story, si unaona tupo wenyewetu!” alisema yule asiye na hasira, huku wenzake wakionekana kuanza kuelewa anacho kifanya mwenza.


Ukweli Khadija alijiunga na wale vijana sita, na kuanza kunywa nao pombe, Khadija aliwacheka rafiki zake pamoja na bwana Feruz, ambae alitamani ange kuwa na namba yake ya simu, ange mpigia na kumweleza, jinsi anavyo kula bata, na vijana wale, aliyawaza hayo Khadija, huku anakunywa pom,be kwa fujo, akiofia kuichelewa ile offer, ambayo akujuwa itaishia saangapi, pasipo kujuwa kuwa kinachofwata baada ya masaa machache ni zaidi ya mateso.


Maana walikunywa pombe mpaka saa tano usiku, uku muda wote akifanyiana michezo ya kimahaba, na vijana wale, ambapo kama unge fika kwa haraka, usinge tambua kuwa nani anaenda kula kitumbua, ata Khadija mwenyewe alikuwa amesha juwa kuwa lazima mmoja wao akale kitumbua chake na yeye alisha jiweka tayari kuliwa kitumbua, na aikuwa kesi kwake, sababu amesha zowea kuliwa kitumbua kiolela.


Mida hiyo ndiyo mid ambayo, waliondoka pele bar, wakitumia gari lao, na kupotelea kusiko julikana, maana wale vijana walikuwa na gari aina ya Toyota Noah, hakuna alie juwa walikoelekea, usiku ule, na akuna alie juwa kilicho tokea, japo mimi najuwa kilicho tokea, na kama nikisema nisimulie kilichotokea basi tuta lazima kuongeza kurasa nyingine tano, na watoto wakafungiwe, japo nao wanaitaji kujifunza mambo ambayo awatakiwi kuyafanya, ata kwabahati mbaya, ila basi, watu walio pia mapema kuwai makazini na kwenye miangaiko yao, ndio walio mkuta Khadija akiwa amelala pembezoni mwa ile bar, karibu na saloon yake akiwa mtupu kama alivyo zaliwa, ajitambui kabisa, huku akionenaka kuaribiwa sehemu zake za siri, yani mbele na mgongoni, huku akitapakaliwa na hajakubwa, iliyo changanyika na damu, huku Khadija mwenyewe akiwa ajitambui, sikujuwa kama ni usingizi, au alipoteza fahamu, kama ujuwavyo wanadamu, kitu cha kwanza wakapiga picha nyingi sana, kwa aajili ya kupost mitandaoni, kisha waka piga simu polisi, ilia je achukuliwe.


Mpaka namaliza kuandika simulizi hii, Khadija bado alikuwa hospital ameshazinduka, na mesha shonwa nyuzi kadhaa kwenye nyia ya hajakubwa, ikisemekana kuwa aliingiziwa kitu kigumu, japo yeye anasema, wale vijana walimpaka kwazamu, wakiitumia njia hiyo, mpaka alipopoteza fahamu kutokana na maumivu makali, aliumia sana, ata rafiki zake walipokuja kumtazama, alihisi wanakuja kumsanifu, kuna wakati alitaka kuhisi, kuwa wale vijana walitumwa na Feruz, lakini ukweli ni kwamba vijana wale walikuwepo pale muda mrefu, na awakuwa na mausiano na Feruz, ambae Khadija akutaka ata kumtafuta tena, alimwona kama mkosi.*****


Naam mapaka sasa Feruz anaishi vizuri na familia yake, huku bwana Kipanta akiwa tabora anafanya vibarua kwenye mashamba ya tumbaku, kwa ujira mdogo, mscha Joyce sasa yupo ufilipino kwa ufadhiri wa Adelah anasoma chuo kikuu cha Suns philipe, akichukuwa shahada ya usimamizi wa fedha, Pross na Rose wanaendelea na maisha yao na biashara zao vizuri uku wana lea mtoto wao, japo anajiiba mala moja moja kwa madam Stellah, ambae licha ya kufanikiwa katika maisha na kuweza kuendesha maisha yake yeye mwenyewe, na kuishi maisha ya kifahari, lakini akutaka kuolewa tena, kwa kutegemea dudu ya Pross, ambayo sas alikuwa anaipata mala moja au mbili kwa week.


Hapo ndiyo mwisho wa simulizi yetu, ya #KITUMBUA_CHABUKU, na kama ilivyo kawaida yetu, huo ndio mwanzo wa simulizi nyingine, asanteni sana kwa kuwa pamoja nasi toka mwanzo mpaka leo tumefikia mwisho



MAKALA ZA MAFANIKIO ZIPO HAPA

MWISHO******


Post a Comment

0 Comments